Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,672
Reaction score
4,560
UKISEMA wewe ni mkristo utaulizwa ,dhehebu gani?Hapa Kuna Wakatoliki (mama wa dini zote),Kuna waprotestanti (Lutheran, Anglican, n.k.) ,Kuna Wasabato , Jehovah witness, latter day saints,Kuna madhehebu mengine chungu nzima.Kuna wapentecoste hawa ndiyo wanajulikana hapa Tanzania kama (WALOKOLE).

Nimesoma Warumi 10:9 inasema Kwakuwa umkiri YESU Kwa kinywa chako kuwa ni BWANA utaokoka.Sasa mstari huu unatafsiriwa tofauti kulingana na madhehebu,Kuna mistari mingine mingi kwenye biblia inayozungumzia KUOKOKA ,WOKOVU.

Swali langu je MKATOLIKI au MLUTHERI akimkiri YESU Kwa kinywa chake tayari AMEOKOKA? je WALOKOLE wana kipi Cha ziada,je mtu anaweza KUOKOKA ndani ya dhehebu au akiokoka identity yake inabadilika?

Je Leo hii YESU au wanafunzi wake wakija wataabudu dhehebu gani?

NB.Lengo la Uzi huu ni kuchangamsha mjadala siyo kukejeli, Kwa mwenye mapenzi mema hivyo comment za matusi au dhihaka hazitavumiliwa . Karibuni wajuvi mtuelimishe.
 
Sema unaweza kuwa mkatoliki au mlutheri na ukapata kichaa ?

Jibu ni ndio inawezekana , hata ukiwa muislamu unaweza pata kichaa pia.
 
Sema unaweza kuwa mkatoliki au mlutheri na ukapata kichaa ?

Jibu ni ndio inawezekana , hata ukiwa muislamu unaweza pata kichaa pia.
Kichaa? Kuokoka ni kichaa au sijaelewa mkuu
 
Hiyo Warumi 10:9 ndio umemaliza Kila kitu.Sasa identity yake sasa baada ya kumkiri utaacha dhambi.Dhambi utaiacha huko huko kwenye dhehebu lako.
 
Hiyo Warumi 10:9 ndio umemaliza Kila kitu.Sasa identity yake sasa baada ya kumkiri utaacha dhambi.Dhambi utaiacha huko huko kwenye dhehebu lako.
Suala la kukiri kuwa YESU ni BWANA linatafsiriwa tofauti na Kila dhehebu,sasa naomba ufafanuzi Ili kujua ukihama dhehebu, automatically unasema ulikotoka hakuna WOKOVU! Is that so?
 
UKISEMA wewe ni mkristo utaulizwa ,dhehebu gani?Hapa Kuna Wakatoliki (mama wa dini zote),Kuna waprotestanti (Lutheran, Anglican, n.k.) ,Kuna Wasabato , Jehovah witness, latter day saints,Kuna madhehebu mengine chungu nzima.Kuna wapentecoste hawa ndiyo wanajulikana hapa Tanzania kama (WALOKOLE).

Nimesoma Warumi 10:9 inasema Kwakuwa umkiri YESU Kwa kinywa chako kuwa ni BWANA utaokoka.Sasa mstari huu unatafsiriwa tofauti kulingana na madhehebu,Kuna mistari mingine mingi kwenye biblia inayozungumzia KUOKOKA ,WOKOVU.

Swali langu je MKATOLIKI au MLUTHERI akimkiri YESU Kwa kinywa chake tayari AMEOKOKA? je WALOKOLE wana kipi Cha ziada,je mtu anaweza KUOKOKA ndani ya dhehebu au akiokoka identity yake inabadilika?

Je Leo hii YESU au wanafunzi wake wakija wataabudu dhehebu gani?

NB.Lengo la Uzi huu ni kuchangamsha mjadala siyo kukejeli, Kwa mwenye mapenzi mema hivyo comment za matusi au dhihaka hazitavumiliwa . Karibuni wajuvi mtuelimishe.
Si walokole si wakatoliki si wasabato bali WATAKATIFU TU NDIYO WATAKAO PATA WOKOVU ...MUNGU AKUWAAMBIA WATU WAWE WASABATO WALA WAKATOLIKI WALA WALOKOLE NK ...BALI ALIWAAMBIA WATU 👉WAWE WATAKATIFU KWA SABABU YEYE PIA NI MTAKATIFU.
 
Si walokole si wakatoliki si wasabato bali WATAKATIFU TU NDIYO WATAKAO PATA WOKOVU ...MUNGU AKUWAAMBIA WATU WAWE WASABATO WALA WAKATOLIKI WALA WALOKOLE NK ...BALI ALIWAAMBIA WATU 👉WAWE WATAKATIFU KWA SABABU YEYE PIA NI MTAKATIFU.
Soma Warumi 10:9 utuambia unaelewaje maana ya WOKOVU,au SALVATION
 
Si walokole si wakatoliki si wasabato bali WATAKATIFU TU NDIYO WATAKAO PATA WOKOVU ...MUNGU AKUWAAMBIA WATU WAWE WASABATO WALA WAKATOLIKI WALA WALOKOLE NK ...BALI ALIWAAMBIA WATU 👉WAWE WATAKATIFU KWA SABABU YEYE PIA NI MTAKATIFU.
Soma Warumi 10:9 utuambia unaelewaje maana ya WOKOVU,au SALVATION
 

Mathayo 7:21​

“Si kila mtu aniambiaye, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
 
Wokovu si kuwa msabato wala mlokole, wokovu ni kumpenda mungu na kuzishika sheria zake ndani yako na kuzitenda.
 
Mitume wa Yesu wenyewe hawakuoka, wanasubiri hukumu ya mwisho ndio wajue kama wameokoka au na wao ni Vimeo tuu. Walokole ni vichaa kujiona waneshaokoka duniani kabla ya hukumu ya mwisho.
 
Back
Top Bottom