Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,340
- 22,628
Wizi mkubwa na ujambazi wa aina yake umevamia maeneo ya Mbezi Beach kuanzia mto Kawe kupanda juu na kuvuka mpaka JK Nyerere school. Vijana wa kihuni wakitembea kuanzia watano wamekuwa wakikaba mapema sana na hali hii imefanya wananchi kukosa amani kabisa.
Wale wanaotumia mto Kawe ndio balaa wanawake wamekuwa wakibakwa live usiku saamoja wakirudi makwao, jambo hili lilishaisha ila limeanza tena baada ya sungu sungu kusitisha huduma kutokana na kutopata ushirikiano kati ya wananchi na mwenyekt serikali za mitaa Mbezi Beach.
Serikali za mitaa imekuwa ikiitisha mikutano isiyo na tija hasa hasa wakizungumzia dili za mchanga badala ya usalama wa wananchi.
Hapo nyuma kulikuwa na makubaliano asielipa serikali za mtaa wanapelekewa majina wanandikiwa barua ya kuitwa . Jambo hili baada ya makubaliano wanapopelekewa majina huamua kuweka chini ya meza wakiwadanganya sungusungu tutawaita.
Mpaka sasa ni mwezi wapili hakuna sungusungu serikali za mitaa imekaa kimya hivi sasa vijana wanavunja majumba wanavunja maduka watu wamekaa kimyaa haipendezi kabisa.
Swala la kubaka ni jambo la kutisha baadhi yao wanapokamatwa na kufikishwa pale Kawe mkuu wa kituo hope ajajua asubuhi yake unawakuta mtaani na wengine wakitishia wanarudi kivingine sasa.
Tunaomba mkuu wa polisi Kawe sungusungu wapewe ushirikiano wa kutosha, Mwenyekiti serikali za mtaa najua ma uncle sina jinsi wacha tuwekane sawa wapone wengi tumika sasa mda muafaka sasa kuitisha kikaoo na wananchi wa Mbezi Chini CHADEMA.
Tunaomba wote wasiolipa pesa za sungusungu wachukuliwe hatua ikishindikana shirikiana na mkuu wa Kawe hanaga shida atasaidia hili tukae kwa amani. Wengine tuko majumbani asubuhi mpaka usiku kuogopa corona.
Tunaposema hata tutembee usiku saaambili tuna kutana na corona zingine jamani mtusaidie wamama wanabakwa wadada wakule mtoni wana siri nzito awasemi awajakwambia mwenyekiti sababu hawana msaada.
Mwisho usomapo hili tunaomba uje na maji na sanitaiza kabisa mkutano wa jpili kama utaitisha kujilinda na corina
Wale wanaotumia mto Kawe ndio balaa wanawake wamekuwa wakibakwa live usiku saamoja wakirudi makwao, jambo hili lilishaisha ila limeanza tena baada ya sungu sungu kusitisha huduma kutokana na kutopata ushirikiano kati ya wananchi na mwenyekt serikali za mitaa Mbezi Beach.
Serikali za mitaa imekuwa ikiitisha mikutano isiyo na tija hasa hasa wakizungumzia dili za mchanga badala ya usalama wa wananchi.
Hapo nyuma kulikuwa na makubaliano asielipa serikali za mtaa wanapelekewa majina wanandikiwa barua ya kuitwa . Jambo hili baada ya makubaliano wanapopelekewa majina huamua kuweka chini ya meza wakiwadanganya sungusungu tutawaita.
Mpaka sasa ni mwezi wapili hakuna sungusungu serikali za mitaa imekaa kimya hivi sasa vijana wanavunja majumba wanavunja maduka watu wamekaa kimyaa haipendezi kabisa.
Swala la kubaka ni jambo la kutisha baadhi yao wanapokamatwa na kufikishwa pale Kawe mkuu wa kituo hope ajajua asubuhi yake unawakuta mtaani na wengine wakitishia wanarudi kivingine sasa.
Tunaomba mkuu wa polisi Kawe sungusungu wapewe ushirikiano wa kutosha, Mwenyekiti serikali za mtaa najua ma uncle sina jinsi wacha tuwekane sawa wapone wengi tumika sasa mda muafaka sasa kuitisha kikaoo na wananchi wa Mbezi Chini CHADEMA.
Tunaomba wote wasiolipa pesa za sungusungu wachukuliwe hatua ikishindikana shirikiana na mkuu wa Kawe hanaga shida atasaidia hili tukae kwa amani. Wengine tuko majumbani asubuhi mpaka usiku kuogopa corona.
Tunaposema hata tutembee usiku saaambili tuna kutana na corona zingine jamani mtusaidie wamama wanabakwa wadada wakule mtoni wana siri nzito awasemi awajakwambia mwenyekiti sababu hawana msaada.
Mwisho usomapo hili tunaomba uje na maji na sanitaiza kabisa mkutano wa jpili kama utaitisha kujilinda na corina