Wizi wa watoto wachanga live waendelea muhimbili;mkurugenzi unalijua hili

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Wapendwa ktk bwana
habarini za saizi,najua ni vigumu kuamini lakini
hali hiyo nilioandika hapo juu imenisikitisha kuamua kuweka wazi mwenye msaada nini cha kufanya kupunguza huu uutapeli wa watoto.....

Nina dada yangu yuko muhimbili sasa wiki moja ndani ya siku saba jamani watoto 5 wamepotea kwenye chumba kile cha kuhifadhia watoto wenye matatizo yaani chumba cha joto..dada ngu akufikisha siku zake ikabidi afanyiwe operation so anakuwa anapanda juu ananyonyesha then anarudi chumbani...majuzi siku 4 zilizopita wapendwa dadangu akiwa anaenda kunyonyesha akakuta mama wawili wanalia ....alipouliza zaidi wakasema watoto wao awaonekani na manesi wamewaambiwa waje mchana kuwaangalia kama watapatikana

hali hii ilinishtua nikaenda kumjulisha uncle wangu mmoja upande wa wizara ya afya..nimeona kimya sasa limekuja la jana wandugu...dadangu akiwa anaenda kunyonyesha kwa wanaojua chumba kile wanaingia wamama wakiwa na kanga tuuuu kufunika maziwa yao

akiwa amefika pale akawa wa kwanza na wengine wawili wakija polepole akatoka dada mmoja amevaa hijabu na mbele kama amevimba....wakaanza kulizana huyu mjahidina katokea wapi....ilichukua muda kuamini jamani kumbe wizi wa watoto upo...baada ya muda aakaenda kumnyonyesha mtoto wake gafla akaja mama mmoja anatafuta mwanae..jamani alilia ukunga alilia naa maana alilia kama aamepigwa panga la shavu kule mara...baada ya muda akatollewa na nurse husika wa jana jamani.....wakamwambia aje saa kumi na moja labda ataonekana..mama akaanza kumwaga radhi
ifuatayo

wizi mwingine umefanyika jana tu jamani na mwenye kufwatilia atupe mtoto kama amepatikana ama lah!!!pale muhimbili wadi ya wa toto kuna mambo mengi sana muhimbili wanaficha
"""""""nyie nia wanga wakubwa wauwaji kabisa na nasema mwangu mtamtafuta alipoenda.....akamwaga lingine amna hata wiki mbili kuna mama mmoja amekuja pale muhimbili akazidiwa akafanikiwa kuzaa mapacha mama baada ya muda akafariki...jamani baada ya siku 2 ndugu kuuliza watoto wakaambiwa awaonekani

kwenu wapendwa mwenye uwezo wa kufikisha ujumbe huu kwa waziri husika itasaidia kiasi...

Mpaka ssasa tumeshindwa kuamini hawa watoto wanaenda wapi na kwa nini ma nesi wako pale wanalinda watoto gafla wanapotea....je ni wanachukuliwa na msukule???je ma nesi wameanza tabia yao ya kuuza watoto kama hospital ya mwananyamala????afadhali hii walikuja kujulikana hadi wafanyabiashara wanaowalipa manesi sh million moja kwa mtoto wa mtu...

Kingine kuweni makini kumekuwa na tabia ya kupewa mtoto si wako mbaya zaidi unaambiwa amekufa...huu uchafu ulikuwa ukisikika mpaka sasa mwenye uwezo wa kufwatilia tutashukuru mpaka hao watoto wapatikane

wanauzwa wanauwawa ama wanaenda wapi!!!!!!

Tuwe makini kwenye kujifungua;manesi wamekuwa nyoka wa watoto jamani.....
 
sasa sijui tukanyonyeshe na wake zetu ili wawe na uwoga labda????
yaani dadangu nimelia nkatoa machozi nkasema basii kama imefika hapa muhimbili!!!
 
Kitengo kizima wafukuzwe kazi na kuwekwa ndani wajibu mashtaka. Kama sivyo basi waziri wa afya alielezee hili au naye ajiuzulu. Huu ni ujinga na unyama uliopita kipimo. Watu mnauza mpaka uhai. Watu husika watupwe jela kieleweke.
 
P Diddy, itasaidia kama utaweza kufuatilia majina ya hao manesi waliokuwa zamu, muda gani tukio limetokea na kadhalika.

Je mmeenda kuripoti kwa Mkurugenzi au hata Matron wa Hospitali? Kwa sababu hili si swala la Waziri wa Afya moja kwa moja kama mdau mmoja hapo juu alivyosema
 
P Diddy, itasaidia kama utaweza kufuatilia majina ya hao manesi waliokuwa zamu, muda gani tukio limetokea na kadhalika.

Je mmeenda kuripoti kwa Mkurugenzi au hata Matron wa Hospitali? Kwa sababu hili si swala la Waziri wa Afya moja kwa moja kama mdau mmoja hapo juu alivyosema

Dawa ni kutafuta mwanasheria ashughulikie haya mambo. Tgnp, lhrc?
 
Kuna njama labda inayoendelea kati ya manesi na hao wezi wa watoto. Lakini cha kusikitisha utaratibu wa hapo Muhimbili hodi za wazazi upo hovyo sana sijui kama wamebadilisha. Kwa kitendo cha kuwarundika wazazi pamoja na kuwarundika pia watoto wadogo pamoja ni utaratibu wa makusudi kabisa wa kusababisha wizi. Kwa kawaidi mama mzazi huwa anafungwa "tag" yenye number ya mtoto na kwamba hawezi kumsogelea wala kushika mtoto asie wake. Wangekuwa wanawatengaisha kwa sekseni na kuweka kuzuizi cha kuingia mpaka uwe na "tag" ingessaidia lakini sasa mazingira hayo yamewekwa ili kusadia hivyo vitendo vichafu.

Ni vigumu kuamini matukio wanayofanya baadhi ya binadamu wenzetu ya kutojali maumivu ya kutafuta mtoto. Nakubaliana 100% na mtoa hoja kuwa Muhimbili na hata hospitali nyingi za Serrikali zinazotoa huduma za kujifungua zinautaratibu mbaya wa kuzuia matukio hatari kama haya ya wizi hata ajali nyingine kama moto nk iwapo utatokea kwa kuwarudika watoto pamoja (utawaokoaje??)..

Nadhani Wizara husika itakuwa inayajua haya kwani yametokea mara kwa mara tu na hakua utaratibu wa makusudi wa kuyazuia.
 
P Diddy, itasaidia kama utaweza kufuatilia majina ya hao manesi waliokuwa zamu, muda gani tukio limetokea na kadhalika.

Je mmeenda kuripoti kwa Mkurugenzi au hata Matron wa Hospitali? Kwa sababu hili si swala la Waziri wa Afya moja kwa moja kama mdau mmoja hapo juu alivyosema

injinia kwa kweli nilishindwa nilichofanya ni kwenda kumweleza mzee wangu nimwitae uncle ambae alihamaki like if anaelekea asbh muhimbili ..akuna kilichoendelea nilipofika leo..akika ninavyokwambia nenda kwenye wadi za watoto wafinyie hizo data utapata info tu...tatizo mbaya wanachofanya manesi wanawatisha wenye ujauzito ama waliojifungua si unajua watoto wanakaa nao wao so wanaogopa wanaweza hata kuwapiga XPRAY YA MBU UKIJA WANADAI AMEKUFA KUMBE DOMO LIMEKUPONZA....NDIO MAANA UKIFIKA MUHMBILI MANESI WANAOGOPEKA SANA HIVYO WANAAMUA KUUTUMIA MWANYA WAO KUFANYA UHARAMIA HUO....YAANI

VERY SHAME JAMANI!!!!TATIZO LILILONIFANYA NISIBWATUKE PALE MGONJWA WANGU BADO YUPO BEST WATAMUWASHA
NA MTOTO WANAO WNYEWE NKASEMA TULETANE HUKU MAWAZIRI ,WATOTO WA MAWZIR,WANAOUJUA WAZIRI HUSIKA UJUMBE UTAFFIKA
 
kingine jamani

LEO NIMESHTUKA WAMEKUJA MADADA WAWILI WANAPITA KWENYE WADI WANASALIMI ALAFU WANADAI WAO WANAUZA NGUZO ZA WATOTO
JAMANI MUHIMBILI IMEGEUKA"BIG CREATION YA KRKOO???

WALIPOONDOKA WAKAENDA KWA WENGINE KWETU ILIKUWA MARA YA KWANZA KUWAONA ..NKASEMA UMEENDA ****** SI ANACHUKUA MTOTO TENA ANA MFUKO WA RAMBO MKUBWA ANAKAHIFADHI UTAHISI BETRI YA YUASA ..MPAKA UJUE ANASHANGILIA USHINDI...WAKATI WATU WANAANZA KULALAMA WAZAZI WENGINE WAKADAI TUKO WK 3 HAPA
HAO WANAWAJUA MANESI UNAFIKIRI AWAWAJUI HATA UKIENDA KULALMA WANAISHIA TUTAWAFANYIA KAZI..NKASEMA NI CHANNEL NDEFU......MANESI WANAITAJI ROHO MTAKATIFU AWASIMAMIE...JAMANI WENYE KUWEZA KUFWATILIA WAULIZE TU JANA....WALIOKUWA ZAMU..HUKU NGUMU KUWAFWATA USHAWAHI KUMFWATA "MAMBA MAJINI""NEXTY...
 
Hivi hii nayo ni tarehe moja tayari?

sikonge hii ni origin case,,..jitambue ujinga ni tar moja apr kuanzia saa 6 usiku mapaka 4 asbh.....karibu uchangie
heshimu swala linalohusu jamii kutenganisha na mizaha uabrikiwe
 
sikonge hii ni origin case,,..jitambue ujinga ni tar moja apr kuanzia saa 6 usiku mapaka 4 asbh.....karibu uchangie
heshimu swala linalohusu jamii kutenganisha na mizaha uabrikiwe

Wanasema, hakuna swali la kijinga. Ila .....................

Swali fupi, jibu ndiyo au hapana. Issue yako nzito sana (kama ni kweli) ila tarehe umechagua mhhh. Hiyo saa ni kwa nchi gani? Wengine hapa tupo Kiribati, wengine Australia, wengine Waikiki, China, Russia, Chechenia, Albania, Sweden, Greenland, UK, USA, Canada, Tanzania nk nk. Sasa unafikiri tutakuwa na saa moja?
Think in 3-D.
 
unaenda kutizama mtoto wako hayupo.....unatakiwa upige ripoti polisi hapo hapo
mtoto atapoteaje! eboo!
 
Back
Top Bottom