Nahisi mtifuano wa Watumwa wa dini zileee kwenye huu uzi, ngoja niwe Mpenzi Mtazamaji tu.Kwanini kuibiana viatu katika msikiti?
Hii tabia ikomeshweeeee
Kwani ni lazima kila mtu aende kavaa kobazi?
Tazama video chini
View attachment 2891743
Umejuaje ni watu wa dini moja? Mwizi hana dini mkuuHe! watu wa dini moja wanaibiana, kuna mungu hapo au ni mkusanyiko wa wezi?
Kwahiyo najisi inaingizwa msikitini?Wenzenu wanavua viatu na wanaviingiza humohumo
Msikitini.
Au kama wanaviacha nje kunakuwa na mlinzi mwangalizi.
Mkuu si nasikia kuna dua inaitwa Albadri msomeeni aache kuleta utani kwenye nyumba ya Allah. Au hizi story za Albadri ni uongo.Kwanini kuibiana viatu katika msikiti?
Hii tabia ikomeshweeeee
Kwani ni lazima kila mtu aende kavaa kobazi?
Tazama video chini
View attachment 2891743
Wa Dini yoyote ile si ana ajiriwa tu.Huyo mlinzi anakua dini gani?
Watu walipigana ppummbu kanisani unashangaa kuiba!!.. binaadam asipomjua na kimhofu Mungu anakua zaidi ya mbwaIla kuna watu hawaogopi aisee. Kweli unaiba kwenye nyumba ya Ibada
WoiiiiihKwahiyo najisi inaingizwa msikitini?
Mimi tokea niibiwe viatu nikiwa mdogo hadi leo hii huwa naenda msikitini na ndala.
Jana tu nimeenda kusali na ndala zangu, bila stress.