ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Mkuu nipe contact na mm nikambambike laki mbili hapo unaposema alikutunuku mambo yale ina maana ulimfir.....! ww nomaSasa wa hapa waterfront ndo balaa dada mmoja wa teller ya pili kulia kama unaingia alinipiga laki mbili yan bando la noti mia za elfu mbilimbili
Ni mweupe hv nikamshtukia akaniambia nisimuharibie akanipa uchi na kunitunuku mambo yetu yale juu ndo nikamsamehe
Washenzi sana hawa mateller ***** zao
OhooSalute buda kumbe umekura adi papa xema daa kaumia yule
Hiyo haki hawana ww mteja huwezi fidia hasara ya bank kwenye mazingira kama hayo walikupigaMimi nilikuta nimekatwa elfu tano kwenye account yangu ya CRDB tawi la Dodoma ilikuwa mwaka 2010 Baada ya kuhoji pale mapokezi wakaniambia kila mteja amekatwa kiasi hiko eti bank kuna hasara ilipata ikabidi kila mteja akatwe. Nikawauliza kwanini wakate bila taarifa wakasema wakati najiunga na bank nilikubaliana na masharti yote ya bank. Hivyo sina changu, niliumia sna japo ni pesa kidogo, lakini nilitafakari wamekusanya kiasi gani kwa huo mcheza. Hivyo siyo leo tu crbd wamezoa tayari.
Unakwenda kudeposit mil na kuendelea ...utaandika namba ngapi mkuu?Mtego wao ni rahisi, andika namba kabla ya kuwapa fedha. Wakikwambia ama pungufu au feki, lianzishe. Hiyo ndo dawa yao, ORODHESHENI NAMBA ZA PESA ZENU?
Vp totoz lakin ..maana ma bank teller mademu huwa wako vizuriHii ndo kaz yangu ila nauchukia kutokana na perception za watu juu ya hii kazi, kiuhalisia haina maslahi makubwa ni kazi ambayo ni kama uko jail,huoni jua ksa siku sita, unakumbana na aggressive customer wanakuzngua bado supervisor hajakuletea shida ukija mtaani tunaitwa wavaa tai ila hatuna kitu,,,,,kazi ya kudeal na cash ni ngumu ndugu zangu msitukane na kulaumu tu sometime kweli mtu anapitiwa na system sio rafiki sana japo kweli wapo tellers ambao sio waaminifu hii ipo kila organization
MUNGU nipe ujasiri niondokane na hii kazi
Sijakupata vizuri mkuu, unamaanisha mateller wa kike wako vizuri ama ma teller kwa totoz wako vizuri?Vp totoz lakin ..maana ma bank teller mademu huwa wako vizuri
Namaanisha watoto wa kike ma teller wako vizuri...wako bombaSijakupata vizuri mkuu, unamaanisha mateller wa kike wako vizuri ama ma teller kwa totoz wako vizuri?
Hahaaa wako poa mkuu, katika kitengo hcho lazima wawekwe wazuri ili kuvutia watejaNamaanisha watoto wa kike ma teller wako vizuri...wako bomba
Ooh kumbe ndo mana...vp huwa wanahongeka?Hahaaa wako poa mkuu, katika kitengo hcho lazima wawekwe wazuri ili kuvutia wateja
Kila benki na utaratubu wao. Kuna wenye makato makubwa n kuna wenye makato kifogo ya kila mwezi au ya kila unapoto helaMkuu hii bank imekuwa ya kishwaili Sana plus wizi nilikuwa na pesa kwenye account yangu MDA nikaziamisha nikabakiza kama elfu kadhaa za kulinda account badae badae company flani wakanipa gawio langu la hisa mwenz wa kumi na moja mwaka Jana nikawa naendelea kufatilia pesa nyingne za gawio la nyuma ili niweze kuzichua zote lakin Cha ajabu nilishangaa Sana kila baada ya mda nikiangalia sakio pesa zinapungua kakibia elfu 20 sasa nashindwa kuelewa makato yamepanda au ni wizi nimefatilia Sana hapo premier naambiwa watakifanyia Kaz mpaka now na card imeexpire siend kurenew ngoo
Umeongea kwa uchungu sana...ni kweli kabisa usemayoHii ndo kaz yangu ila nauchukia kutokana na perception za watu juu ya hii kazi, kiuhalisia haina maslahi makubwa ni kazi ambayo ni kama uko jail,huoni jua ksa siku sita, unakumbana na aggressive customer wanakuzngua bado supervisor hajakuletea shida ukija mtaani tunaitwa wavaa tai ila hatuna kitu,,,,,kazi ya kudeal na cash ni ngumu ndugu zangu msitukane na kulaumu tu sometime kweli mtu anapitiwa na system sio rafiki sana japo kweli wapo tellers ambao sio waaminifu hii ipo kila organization
MUNGU nipe ujasiri niondokane na hii kazi
Amina. Akufanyiwe wepesi haraka, kwa maana hapo hata ule mlango wa segerea unakunyemelea pia.Hii ndo kaz yangu ila nauchukia kutokana na perception za watu juu ya hii kazi, kiuhalisia haina maslahi makubwa ni kazi ambayo ni kama uko jail,huoni jua ksa siku sita, unakumbana na aggressive customer wanakuzngua bado supervisor hajakuletea shida ukija mtaani tunaitwa wavaa tai ila hatuna kitu,,,,,kazi ya kudeal na cash ni ngumu ndugu zangu msitukane na kulaumu tu sometime kweli mtu anapitiwa na system sio rafiki sana japo kweli wapo tellers ambao sio waaminifu hii ipo kila organization
MUNGU nipe ujasiri niondokane na hii kazi