Wizi wa magari Dodoma

Uko sahihi kabisa , gari za siku hizi zina mfumo wa magneto ambayo timing signals zinasomwa na sensor iliyopo kwenye flywheel, very accurate ,
Distributor zilinitesa sana miaka ya nyuma enzi hizo niaendesha landrover 109 ,
Gari za zamani ndio zilikuwa na distributor. Gari za kisasa hazina distributor. Electronic fuel injection imeondoa distributor.

Mfano GX100 kavu ina distributor ila GX100 VVTi haina distributor. Maybe I'm wrong.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ukitoa betri au ile fuzi ya powersuply kweli hawataweza kuliwasha ila inakuwa tatizo jingine kwamba hata kibaka akija akivunja kioo haitapiga ata alam n anaweza fungua chochote mfano taa, power window etc

Idea nzur madhani kifunga CAR TRACKING... kama kuna mwenye maujuzi atuambie how it works...

Insuarance kubwa ni nzuri.zaid ila garama sana... yaani unalipa 4% kila mwaka mfano kama gari ni 20M basi unalipa not less than laki 8 kwa mwaka...

yaani ma option yote hayo ni.full STRESS... leten mbinu mpya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapolala toa battery ya gari weka ndani.
Ukilala toa upepo tairi zote.

Hakikisha unakicompressor kidogo cha kujazia upepo kinachotumia 12VDC.
Hili wazo kama la kijinga lakini ni zuri ,ni kweli na watu wenginwanuziwa sana magari ...kadi nyinginza magari hawa wezi wanazitoa kwa wauza magari ya screpa ...na yaliyopata ajali

Kuna hatari sana ya sisi tunaopenda magari ...tunaponunua ikiwezekana nendeni kwa mwanasheria usiuziwe kihuni itakugharimu

sent from HUAWEI
 
Hizi majuzi nimesikia watu watatu ninao wafahamu wameibiwa magari Dodoma. Na jhuu wizi unafanyika kibabe sana, wanakuja nyumbani wanafunga grill zenu kwa kufuli hata mkiamka wakato wanawasha gari msiweze kutoka.

Tena naskia kama una geti la ku slide wanaruka ukuta wanaingia ndani kisha wanavunja kufuli na kifungua gari...

hawa jamaa inaelekea ni wajuzi sana kiasi kwamba wanaweza washa gari lolote na hata kama lina alarm zinakuwa disabled.

Magari wanayopenda mpaka sasa ni Run X, Toyota Allex, Kluger, IST, n.k

Ushauri
Tufunge car tracking, japo sijui kama wanaweza.kuzi.disable au kujua kama ipo

Funga kamera nyumbani au motion detector

Kama kuna mwenye ujuzi zaid tujuzane maana hii hali ni hatar kw mkoa wa DODOMA kwa sasa... Polisi naona ni kama wameanza mishe za kuyasaka.. Mungu atusaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribuni kuwa wabunifu. Ukiachana na njia official kama za kuweka alarm, tracking devices etc fanya ujanja wa kuzaliwa. Sehemu unapolaza gari isiwe mbali na dirisha la chumba unacholala, halafu tafuta nguzo ya chuma ndefu eg taruma la reli. Ichimbie chini kama unavyosimika nguzo za umeme , lakini iingie ardhini karibu yote na uache ichomoze kwa juu kama futi moja tu. Imarisha na sementi ikiwezekana. Kwa juu ya nguzo chomelea sehemu ya kuweka mnyororo. Wakati wa kuilaza gari isogeze gari mpaka isimame juu ya nguzo (nguzo iwe imechomoza kwenye uvungu wa gari). Kisha tumia mnyororo wa chuma imara, ingia uvunguni wa gari na kufunga eg diff ya gari kwenye nguzo kwa kofuli kubwa na imara. Wezi watakapokuja hawatajua kuwa kuna kikwazo cha aina hiyo. Wakiwasha gari na kujaribu kuliondoa halitasogea. Fanya ubunifu zaidi kwa kuunganisha huo mnyororo na taa na spika zilizofichwa sehemu. Spika unganisha na kinasa sauti utakachorekodi sauti. Wezi watakaposogeza gari likivuta ule mnyororo taa ziwake ziwamulike huku spika ikipiga kelele ''ua, washenzi hawa'' ua wezi hawa''
 
Duh umenikumbusha kisa fulani
Kitambo Sana tuliendaga moshi
Tulipopaki Gari ilikuwa land crusher hardtop
Mwenzangu usiku alifungua taili akaingia nalo gesti nlicheka sanaaa
Aliskia story za sambeki

Ova
Unapolala toa battery ya gari weka ndani.
Ukilala toa upepo tairi zote.

Hakikisha unakicompressor kidogo cha kujazia upepo kinachotumia 12VDC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom