Wizi wa magari Dodoma

Murotooo now days kapoa au
Anazidiwa kete

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sirro alimwambia mzee we endelea tu kuwaonyesha hao watuhumiwa kwenye vyombo vya habari/mbele ya waandishi kuna siku watakuburuza mahakamani muda huo ukiwa tayari umestaafu huku serikali haina muda na wewe ndipo utaelewa hua inakuaje.

Mroto akafyata baada ya hapo.
 
We jamaaa umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea yako mkuu nimekubali. Bonge la wazoo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa naona kweye Tv mnasema mwizi akiingia Dom hatoki akajaribu mikoa mingine, sasa imekuwaje tena? Au mmejisahau!
 
Mbinu za wazee wa mwaka 47!
Dear tunaomba mbinu za kulinda wasifanye chochote
Kwa gari aina zote ,za funguo na keyless entry pia

nachojua mi ni kulock steering wheel tu

gps tracking sijui zinasaidia?
Alarm?.
 
Dear tunaomba mbinu za kulinda wasifanye chochote
Kwa gari aina zote ,za funguo na keyless entry pia

nachojua mi ni kulock steering wheel tu

gps tracking sijui zinasaidia?
Alarm?.
Tracking inasaidia sana. Wezi wa Tz sio advanced kivile,sidhani kama wamefikia level za kuiba gari zenye immobilizer au keyless. Ukiweka tracker hata ikiibiwa dakika chache tu mnajua iko wapi.
 
Humo kwenye 'na kadhalika (n.k.) sio kuwa kuna aina zote za magari yaliyobaki- yaani wanapenda magari aina zote?
Hayo magari aliyotaja ndio yale ukichonga funguo unawasha na kuondoka. Au ukiwa na funguo kumi za magari aina hio mojawapo inawasha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona kama unanafasi kwny uwanja wako mbinu nziri na effective ni kulijengea gari banda lake na kukifungia humo usiku sio kibanda mbavu za mbwa unajenga vizuri chumba cha tofari na unatengenezea geti kama fremu vile ambalo unaliwekea intruder alarm mtu akigusa getu ya banda la gari alarma inalia..

Kama una gari ya milion 20 sidhan ka utashindwa hilo mana ningharama ya mara moja tu ukishaweka basi..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…