tetesi lakini kuna conclusion??????
kipindi hiki tutaona mengi
Haya yote washindani(vyama vilitakiwa kujiandaa mapema), bila hivyo vinakuwa subjected kwenye group la blind na wanaosubiri matokeo kwa bahati bahati tu.I am sorry huko kwenye kundi hilohilo. Tulipopiga kelele kuwa vijiandae mapema kwenye mabadiliko ya NEC na katiba wakasema( tena slaa alisema kabisa ni ngumu sana) aliposema hivyo tu ni-ka-conclude hatuna wapinzani nchini,SLAA is not the one, ikiwa mambo ya msingi hayafanywi kwanza basi wote ni walewale,nchi imeuzwa hii kwa uangalifu mkubwa mno.
pole sana hizi tetesi si tetesi, ni hali halisi maana wapinzani watayakubalimatokeo na watamkubatia JK kwa ushindi, tupo, jipe moyo baada ya uchaguzi you will surely confirm my words, HATUNA WAPINZANIA HAWA WOTE NI MAGARASHA TU
Cheers!!!
pole sana hizi tetesi si tetesi, ni hali halisi maana wapinzani watayakubalimatokeo na watamkubatia JK kwa ushindi, tupo, jipe moyo baada ya uchaguzi you will surely confirm my words, HATUNA WAPINZANIA HAWA WOTE NI MAGARASHA TU
Cheers!!!
Kijana ni tetesi lakini kuna maswali ya kuuliza
1. Hivi chama gani cha siasa ambacho hakijui/hakikujua kwa NEC ni ya CCM? maana liko wazi kabisa!
2. Je nini matarajio ya vyama hivi baada ya uchaguzi, mathalan akishinda SLAA na NEC ikatangaza mshindi ni JK, what they will do? sheria inasemaje? NEC akisema fulani mshindi is final isnt it?
3 Je ukiingia kwenye ushindani hali ukijua utashindwa tu, kwa sababu ya mambo kama haya ya NEC, dwa yake ni nini?
Athari
1. Kutoamini NEC ni kuendeleza hizi tetesi huoni kunapoteza muda wa campaign, kama vyama vya siasa in the last 5 yrs vingepigania angalau tume ya uchaguzi iwe huru, walifanya hivyo? kwa nini?
2. Hali tete nchini, tetesi hizi zinaweza kuvuruga amani, je inasaidia nini tukipigana nchi hii kisa tetesi
Haya yote washindani(vyama vilitakiwa kujiandaa mapema), bila hivyo vinakuwa subjected kwenye group la blind na wanaosubiri matokeo kwa bahati bahati tu.I am sorry huko kwenye kundi hilohilo. Tulipopiga kelele kuwa vijiandae mapema kwenye mabadiliko ya NEC na katiba wakasema( tena slaa alisema kabisa ni ngumu sana) aliposema hivyo tu ni-ka-conclude hatuna wapinzani nchini,SLAA is not the one, ikiwa mambo ya msingi hayafanywi kwanza basi wote ni walewale,nchi imeuzwa hii kwa uangalifu mkubwa mno.
pole sana hizi tetesi si tetesi, ni hali halisi maana wapinzani watayakubalimatokeo na watamkubatia JK kwa ushindi, tupo, jipe moyo baada ya uchaguzi you will surely confirm my words, HATUNA WAPINZANIA HAWA WOTE NI MAGARASHA TU
Cheers!!!
Ukweli ni kuwa hiyo hofu ni moja ya strategy ya kina Rutashubanyuma na wenzake wakitegemea itawapa sympathy na kuongeza rebelion ndani ya CCM. Mbaya zaidi ni kuwa hofu hii inajengwa sambamba na mkakati wa kuaminisha jamii kuwa CHADEMA imeshashinda na isipokuwa hivyo basi ni lazima CCM na vyombo vya dola wamewadhulumu. This is the kind of irresponsible politics that WAKOMBOZI CADRE would dare to go and at the same time whining a victim rhetorics when those with capacity, experience and resources for such respond in kind...Hawajui na wala hawajali madhara ya siasa hizi huko tuendako....
Ndio maana nasema kwa uthabiti kuwa siamini katika ukombozi huu....nasubiria unaokuja ambao utaendana na Tanzania I would want to see....
Ndani ya wana ccm kuna watu wamechoka na USANIII akiwemo Mh. SUMAYE ameanza kushusha kombola moja moja. Msichague Mafisadi kombola la kwanza. Shule za kata zinatishia Umoja wa kitaifa kombola la pili la Sumaye. Naamini mageuzi ni kwa manufaa ya wote Wana ccm na hata wasio wana ccm. Ahadi za JK zinatosha kufikia maamuzi. ameahidi mambo mengi kama vile atatawala milele.
Kijana ni tetesi lakini kuna maswali ya kuuliza
1. Hivi chama gani cha siasa ambacho hakijui/hakikujua kwa NEC ni ya CCM? maana liko wazi kabisa!
2. Je nini matarajio ya vyama hivi baada ya uchaguzi, mathalan akishinda SLAA na NEC ikatangaza mshindi ni JK, what they will do? sheria inasemaje? NEC akisema fulani mshindi is final isnt it?
3 Je ukiingia kwenye ushindani hali ukijua utashindwa tu, kwa sababu ya mambo kama haya ya NEC, dwa yake ni nini?
Athari
1. Kutoamini NEC ni kuendeleza hizi tetesi huoni kunapoteza muda wa campaign, kama vyama vya siasa in the last 5 yrs vingepigania angalau tume ya uchaguzi iwe huru, walifanya hivyo? kwa nini?
2. Hali tete nchini, tetesi hizi zinaweza kuvuruga amani, je inasaidia nini tukipigana nchi hii kisa tetesi
Haya yote washindani(vyama vilitakiwa kujiandaa mapema), bila hivyo vinakuwa subjected kwenye group la blind na wanaosubiri matokeo kwa bahati bahati tu.I am sorry huko kwenye kundi hilohilo. Tulipopiga kelele kuwa vijiandae mapema kwenye mabadiliko ya NEC na katiba wakasema( tena slaa alisema kabisa ni ngumu sana) aliposema hivyo tu ni-ka-conclude hatuna wapinzani nchini,SLAA is not the one, ikiwa mambo ya msingi hayafanywi kwanza basi wote ni walewale,nchi imeuzwa hii kwa uangalifu mkubwa mno.
pole sana hizi tetesi si tetesi, ni hali halisi maana wapinzani watayakubalimatokeo na watamkubatia JK kwa ushindi, tupo, jipe moyo baada ya uchaguzi you will surely confirm my words, HATUNA WAPINZANIA HAWA WOTE NI MAGARASHA TU
Cheers!!!
Pamoja na uhuru ulionao wa kutoa maoni yako, nami pia niseme kwamba, kujaribu kutudanganya kuwa wapinzani wote ni magarsha ni sawasawa na kuvaa miwani ya mbao, tena usiku!!
Yani pamoja na uelewa wako woooote unaishia kumlalalmikia Dr. Slaa kwa kuendelea kuwepo tume ya uchaguzi ile ile? you must be kidding dude.
Hivi umeshawahi kujiuliza kama wapinzani wakigomea uchaguzi nini kitatokea? yani unataka kusema mkulima awasusie nyani shamba la mahindi? utakoma kulinga wewe!!au unataka waingie msituni kudai tume huru ya uchaguzi? hapana hatuhitaji kufika huko. Uamuzi wa kushiriki uchaguzi huku wakijua tume haiko huru ni sawia kabisa kwa mazingira yaliyopo.Kidogo kidogo tu hadi kitaeleweka.
Tatizo lako Omar, unadhani kuwa wewe pekee, na marafiki zako wachache (kina january makamba) ndio mnaofaa kuingoza Tanzania. Hainishangazi ukiandika kuwa hayo kwenye bold
Ukweli ni kuwa hiyo hofu ni moja ya strategy ya kina Rutashubanyuma na wenzake wakitegemea itawapa sympathy na kuongeza rebelion ndani ya CCM. Mbaya zaidi ni kuwa hofu hii inajengwa sambamba na mkakati wa kuaminisha jamii kuwa CHADEMA imeshashinda na isipokuwa hivyo basi ni lazima CCM na vyombo vya dola wamewadhulumu. This is the kind of irresponsible politics that WAKOMBOZI CADRE would dare to go and at the same time whining a victim rhetorics when those with capacity, experience and resources for such respond in kind...Hawajui na wala hawajali madhara ya siasa hizi huko tuendako....
Ndio maana nasema kwa uthabiti kuwa siamini katika ukombozi huu....nasubiria unaokuja ambao utaendana na Tanzania I would want to see....