DICTATOR
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 391
- 3
heko mkuu, jamvini tusiishie kuisoma na kuikumbatia tutakuwa hatujafanya kitu. Tuma hata kwa marafiki kwa njia yeyote ile kuna watu hawapati hizi habari kabisa tena wana kiu zaidi yetu lakini wamefungiwa kila kitu (Landlocked) hawaana access ya information zaidi ya redio mchwara na ccm.