POle sana Majoja...
we should just kill those dudes who steal, inauma sana aisee
Wizi mpya umeibuka jijini Dar.
Wezi wanaigia na kupaki karibu sana na gari lako na kuchungulia umeacha nini garini.
Kama umeacha laptop umekwisha!!
Wanachukua "spray ya kichina" ambayo inapuliziwa kioo.Kioo hicho kina kauka(harden) halafu kikiguswa tu kina katika vipande vipande kama chembe chembe.
Wanaingiza mkono na kufungua mlango kiulaini sana na kuchukua wakitakacho.
Jana mimi nimelizwa!!!
View attachment 37095
Ni team iliyoachwa na vijana wa Mahita, tutakoma kuwa na jeshi la polisi wenye maslahi duni
Ni team iliyoachwa na vijana wa Mahita, tutakoma kuwa na jeshi la polisi wenye maslahi duni
Rip our mirror
jamani was so nice rest in peace
majoja hawa watu nunua spray moja inaitwa felcos nilinunua southafrica incase ukikutana na washenzi kama hawa unaspray unaingia kwenye gari wanatafutana ni balaa nilikuja nazo 5 moja imefanya kazi sana ikaisha wakati nikiwa
nahamia kwangu si unajua maisha nikaweka nyavu kwanza wakawa wanachana mmmh nikajipanga nikaanza kuweka madirisha ya CHUMBA CHANGU KWANZA ,siku inayofwata nikalala chumba cha wageni wakaja usiku nilispray kwenye macho mmoja kama sina akilinzuri haoni mpaka leo
na alikutwa asb pemben ya nyumba watu wamemzingira sikutaka hata kumjua..nikaenda job
nitaleta maisha bora kwa kila mtanzania,nitazalisha ajira kwa vijana,naenda ulaya kuwatafutia mitaji.