Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Wizi mpya umeibuka jijini Dar.
Wezi wanaigia na kupaki karibu sana na gari lako na kuchungulia umeacha nini garini.
Kama umeacha laptop umekwisha!!
Wanachukua "spray ya kichina" ambayo inapuliziwa kioo.Kioo hicho kina kauka(harden) halafu kikiguswa tu kina katika vipande vipande kama chembe chembe.
Wanaingiza mkono na kufungua mlango kiulaini sana na kuchukua wakitakacho.
Jana mimi nimelizwa!!!
Wezi wanaigia na kupaki karibu sana na gari lako na kuchungulia umeacha nini garini.
Kama umeacha laptop umekwisha!!
Wanachukua "spray ya kichina" ambayo inapuliziwa kioo.Kioo hicho kina kauka(harden) halafu kikiguswa tu kina katika vipande vipande kama chembe chembe.
Wanaingiza mkono na kufungua mlango kiulaini sana na kuchukua wakitakacho.
Jana mimi nimelizwa!!!