Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,674
- 37,852
Ha ha ha !
Du hapa Mkuu ulilamba dume.
Na mimi hasira yangu ingeisha.
Nitapata wapi hiyo felcos?
naitafuts nipe muda as long uko humu kuna washikaji wanaendaga jnb ntakujuza ...uwakamatishe si nyingi kama randi 200 enzi hizo 2009 hope kama imepanda sana 250..ni swadakta nakwambia majuzi ilibidi nimpe kamoja jiran yangu maana ninapoficha anajua mama didy tu si unajua wakizijua wanakugeuzia kibao hawa basi naficha kama ile sehemu ya shemeji yako