Wizi mpya: Kaeni chonjo!


NMB bado hawajaboresha security zao eeeh? then ni risk sana kutumia mobile bank yao

Sisi (umojaswitch) tunatoa mobile banking kwa TWB, Kilimanjaro, Mwanga, Mbinga community bank, mufindi community bank na benki kama hizo na tume-implement IMSI, hawa NMB na ukuwa wote ule bado?
 
Uwezo wa kupata password upo,hata mie naweza ni kwa ku2mia social engineering knowledge.
 

Wanawake bwana!
Inawezekana hao wezi wangeenda tena an 'extra mile', wangepata another stuff!
Anyway, poleni sana.
 
***350,000,000***
... Nimekugongea 'like' kwa kuwa angalau ume.note something, lakini na wewe pia umekosea. Hiyo uliyoandika ni milioni 350, laki 350 aliyomaanisha jamaa ni 35,000,000 (i.e laki ina sifuri tano)
 
Inamana password zako unarikodi kwenye simu??walipataje hizo nmb mobile password??hata wakichukuwa sim card bado hawatoweza kuchukua pesa zako kama hukuweka wazi password zako,haijaniingia bado sorry.
Huenda hao wafanyakazi halisi wa Vodacom ndio waliovuta hiyo hela (laki 350 kama ulivyosema), waki-take advantage ya upoteaji wa SIM Card alioripoti jamaa ambapo kwao (Vodacom) ni rahisi tu kujitetea kwamba wezi ni wale waliobadilisha SIM Card
 
Huenda hao wafanyakazi halisi wa Vodacom ndio waliovuta hiyo hela (laki 350 kama ulivyosema), waki-take advantage ya upoteaji wa SIM Card alioripoti jamaa ambapo kwao (Vodacom) ni rahisi tu kujitetea kwamba wezi ni wale waliobadilisha SIM Card

hii kuifatilia ni rahisi sana, je waliitoaje bank..
 
Wanawake bwana!
Inawezekana hao wezi wangeenda tena an 'extra mile', wangepata another stuff!
Anyway, poleni sana.

Mkuu tuombe radhi.....wengine hatuingiliki kirahisi hivyo......unakutanaje na watu huwajui unawapa simu....?.....ofisi za kampuni hazijui.....?...aseme vizuri bana kapeleka wapi pesa.....alishindwa nini kumpa mumewe simu aweke internet..?....au na mumewe ndio wale wale.....angekuwa shoga'ngu ningemzabua.......
 
Mwenzako keshasema 350,000,000!!! Mbona unamshusha hadhi? Lol!

Jamani na wewe ni mwongo unamsingizia mtoto wa watu, kasema laki 350 yaani sawa na milion 35 (35,000,000) na si million 350 kama unavyodai wewe!
 
Pole sana ndugu.
Majibu mengine, mhhhhh!!!!!
Hope ni LIKIZOTIME.
Na hii BIG RESULT NOW...
 
Yaani jamaa umechelewa kumuingiza mkeo kwenye Internet kama wakenya walivyochelewa kuhamia digital
 

Kuna uwezekano mkubwa huyo mama pesa amehonga....ila jamaa kapigwa chenga ya mwili kaingia king...
 

Sijafaham zaidi inakuwaje mtu unampa sim yako while haina tatizo lolote, mbaya zaidi mtu unakutana nae mtaani tu. Kipindi tunakamata maafisa usalama feki, matrafic feki na asikal feki ilitangazwa kabisa on public now iweje kusiwe na wafanya kazi wa vodacom feki na ile ni private sector. Mnatia hasira sana watu kama nyie.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…