Wizara ya Nishati igawanywe mara mbili ili kuongeza ufanisi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,326
8,239
Wizara ya nishati ina mambo mengi makubwa,
Kuna mafuta yanayo endesha uchumi wetu.
Kuna gesi, sekta iliyo na matrillioni ya gesi ambayo ikiiuzwa mapema hatuta hangaika pesa za kuendeshea nchi.

Mwisho kuna umeme, unaoimulika Tanzania.

Napendekeza hii wizara ili kuharakisha haya mambo tuigawe mara mbili. Tuwape nawaziri wawili.

Waziri anayependa mafuta na gesi apewe mafuta na gesi. Ninahakika akipewa hii wizara ya mafuta na gesi, anaweza kuwa catalyst ya kuikuza hii sekta ya mafuta na gesi kwa uharaka hapa Tanzania.

Swala la umeme, tutafute mtu mwingine.

Najua kuna watu watapinga lakini huu ndio ukweli. Watu watasema TPDC wanafanya nini.

Elewa mara zote mtu aliyejuu ndio mwenye maamuzi yote ya chini. Kama akiamua kutotoa motivation usidhani kunakitu kitafanyika kwa hawa wa chini.

Maamuzi ya TPDC yanaanzia wizarani.
Ndio maana nilikua nawaza kama tukipata waziri anayependa hizo gesi, akashikiria gesi tu muda wote, naona kama tunaweza kutembea kifua mbele kwa uharaka.
 
Wizara ya nishati ina mambo mengi makubwa,
Kuna mafuta yanayo endesha uchumi wetu.
Kuna gesi, sekta iliyo na matrillioni ya gesi ambayo ikiiuzwa mapema hatuta hangaika pesa za kuendeshea nchi.

Mwisho kuna umeme, unaoimulika Tanzania.

Napendekeza hii wizara ili kuharakisha haya mambo tuigawe mara mbili. Tuwape nawaziri wawili.

Waziri anayependa mafuta na gesi apewe mafuta na gesi. Ninahakika akipewa hii wizara ya mafuta na gesi, anaweza kuwa catalyst ya kuikuza hii sekta ya mafuta na gesi kwa uharaka hapa Tanzania.

Swala la umeme, tutafute mtu mwingine.

Najua kuna watu watapinga lakini huu ndio ukweli. Watu watasema TPDC wanafanya nini.

Elewa mara zote mtu aliyejuu ndio mwenye maamuzi yote ya chini. Kama akiamua kutotoa motivation usidhani kunakitu kitafanyika kwa hawa wa chini.

Maamuzi ya TPDC yanaanzia wizarani.
Ndio maana nilikua nawaza kama tukipata waziri anayependa hizo gesi, akashikiria gesi tu muda wote, naona kama tunaweza kutembea kifua mbele kwa uharaka.

Nafikiri wizara zibaki chache, ila mawaziri wa wizara husika wawe na uwezo pia weledi mkubwa wa kusimamia sera ktk wizara zenye idara za utaalamu mkubwa wa gesi, mafuta, mabwawa ya umeme wa maji n.k kwa kifupi idara nyingi kwa ufanisi mkubwa.

Mfano nchi ya Marekani US ina wizara 15 lakini idara kibao na hapo ndipo uwezo wa waziri, wakuu wa idara * (makatibu wakuu), wakurugenzi inatakiwa wawe na weledi mkubwa .....



The Cabinet​

President Obama leads a Cabinet meeting in the Cabinet room

Established in Article II, Section 2 of the Constitution, the Cabinet's role is to advise the President on any subject he may require relating to the duties of each member's respective office.

Read the Cabinet Exit Memos here.
The tradition of the Cabinet dates back to the beginnings of the Presidency itself. Established in Article II, Section 2, of the Constitution, the Cabinet's role is to advise the President on any subject he may require relating to the duties of each member's respective office.

The Cabinet includes the Vice President and the heads of 15 executive departments — the Secretaries of Agriculture, Commerce, Defense, Education, Energy, Health and Human Services, Homeland Security, Housing and Urban Development, Interior, Labor, State, Transportation, Treasury, and Veterans Affairs, as well as the Attorney General...

Source : The Cabinet
 
Uwezo wa watendaji wakuu au wakuu wa wizara.
  • Kuongoza mabadiliko
  • Kubunia mbinu za kufikia malengo
  • Kumudu ongozeko la kazi / changamoto
  • Kutengeneza utamadumi wa taasisi husika (Organizational culture)
  • Kuwa muoteaji / visionary
  • Siyo muoga wa kufanya maamuzi.



What is a CEO (Chief Executive Officer)?

A CEO, which stands for Chief Executive Officer, is the highest-ranking individual in a company or organization. The CEO is responsible for the overall success of a business entity or other organization and for making top-level managerial decisions. They may ask for input on major decisions, but they are the ultimate authority in making final decisions. There are other titles for CEOs, such as chief executive, president, and managing director
 
MKWAMO WA KIUTENDAJI WA VIONGOZI WATEULIWA WA UMMA

Matatizo ya viongozi wetu wakubwa wa umma na wasomi wenye vyeo ktk ofisi za umma.

Chuo Kikuu cha University of California, USA kimebaini masuala mengi ktk jamii inayowazunguka wateule hawa kama mawaziri, makatibu wakuu na hata waajiriwa wasomi ktk nafasi mbalimbali wanaosemekana 'wameula' yanawakabili kiasi cha kushindwa kufikia utendaji unaotarajiwa tukiwalinganisha na wenzao katika nafasi hizo hizo Marekani ya Kaskazini, Ulaya ya Magharibi, Japan, Asia na nchi za Oceania

Chapter Eleven — The Unofficial Lives

The behavior of most African public servants cannot be understood if we confine our observations to the office place. The demands of private life have an especially profound effect on the official actions of African administrators.[1] Of course the informal has a significant effect on the way formal roles are performed in American organizations too, as we have known for over half a century.[2] But the ideal of the separation of personal and job roles is very strong in the West, and it is possible to describe official actions there without referring to administrators' private obligations. Africa simply does not permit such a narrow, focused view. Kinship duties frequently impinge on work roles, and unless we understand how our four administrators handled the unofficial demands on their lives, we will not unlock some of the most important secrets to their official successes. READ MORE :


Chapter Twelve—

African Managerial Success:

Conclusions about Individuals

Many have expressed concern lately about the quality of public management in Africa.[1] The performance of Kenya's public organizations is generally held to be above average for the continent of Africa. But "above average" is still not satisfactory. Focusing on public corporations (parastatals), where performance can be quantified more easily, the Kenya government's Working Party on Government Expenditures found that "examples of unsound and poorly controlled investments can readily be found. . . . [The sector is frequently characterized by a] lack of advance planning, adequate safeguards for Government investment and good management, which has resulted in uncontrolled cost escalations, inefficient technologies and unprofitable enterprises."[2] Similarly, Barbara Grosh reports that half of the corporations she studied had serious problems.[3]
Source : African Successes
 
Kigali, Rwanda



Taasisi nyeti nchini Rwanda ikiwemo mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii sasa inaongozwa na Wataalamu wa kigeni.

• Christopher John Wales (Uingereza)
Mwenyekiti wa Rwanda Social Security Board (RSSD)

•Philipe Watrine (Uingereza)
Naibu Mkurugenzi Mkuu anayesimamia uendeshaji wa Mfuko

•Itzhak Fisher (Israel)
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Maendeleo ya Rwanda

•Ron Weis (Israel)
Mtendaji Mkuu wa Rwanda Energy Group

•Marck Holitzman (US)
Chairman of Bank of Kigali

•Patricia Campbell (US)
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Rwanda
 
Elewa mara zote mtu aliyejuu ndio mwenye maamuzi yote ya chini. Kama akiamua kutotoa motivation usidhani kunakitu kitafanyika kwa hawa wa chini.
Wenye maamuzi ni sisi wananchi ila kuna genge limejificha sehemu linatuendesha as if lasilimali ni zake na familia yake
 
Wizara ya nishati ina mambo mengi makubwa,
Kuna mafuta yanayo endesha uchumi wetu.
Kuna gesi, sekta iliyo na matrillioni ya gesi ambayo ikiiuzwa mapema hatuta hangaika pesa za kuendeshea nchi.

Mwisho kuna umeme, unaoimulika Tanzania.

Napendekeza hii wizara ili kuharakisha haya mambo tuigawe mara mbili. Tuwape nawaziri wawili.

Waziri anayependa mafuta na gesi apewe mafuta na gesi. Ninahakika akipewa hii wizara ya mafuta na gesi, anaweza kuwa catalyst ya kuikuza hii sekta ya mafuta na gesi kwa uharaka hapa Tanzania.

Swala la umeme, tutafute mtu mwingine.

Najua kuna watu watapinga lakini huu ndio ukweli. Watu watasema TPDC wanafanya nini.

Elewa mara zote mtu aliyejuu ndio mwenye maamuzi yote ya chini. Kama akiamua kutotoa motivation usidhani kunakitu kitafanyika kwa hawa wa chini.

Maamuzi ya TPDC yanaanzia wizarani.
Ndio maana nilikua nawaza kama tukipata waziri anayependa hizo gesi, akashikiria gesi tu muda wote, naona kama tunaweza kutembea kifua mbele kwa uharaka.
Kwani Waziri ni Nani hapo Wizara zaidi ya kuwa Uso wa Wizara na kusimamia sera.

Watendaji wapo wengine.

Bora ungesema kuwe na Makatibu Wakuu Wawili kama ilivyo TAMISEMI
 
Wizara ya nishati ina mambo mengi makubwa,
Kuna mafuta yanayo endesha uchumi wetu.
Kuna gesi, sekta iliyo na matrillioni ya gesi ambayo ikiiuzwa mapema hatuta hangaika pesa za kuendeshea nchi.

Mwisho kuna umeme, unaoimulika Tanzania.

Napendekeza hii wizara ili kuharakisha haya mambo tuigawe mara mbili. Tuwape nawaziri wawili.

Waziri anayependa mafuta na gesi apewe mafuta na gesi. Ninahakika akipewa hii wizara ya mafuta na gesi, anaweza kuwa catalyst ya kuikuza hii sekta ya mafuta na gesi kwa uharaka hapa Tanzania.

Swala la umeme, tutafute mtu mwingine.

Najua kuna watu watapinga lakini huu ndio ukweli. Watu watasema TPDC wanafanya nini.

Elewa mara zote mtu aliyejuu ndio mwenye maamuzi yote ya chini. Kama akiamua kutotoa motivation usidhani kunakitu kitafanyika kwa hawa wa chini.

Maamuzi ya TPDC yanaanzia wizarani.
Ndio maana nilikua nawaza kama tukipata waziri anayependa hizo gesi, akashikiria gesi tu muda wote, naona kama tunaweza kutembea kifua mbele kwa uharaka.
Lakini tuanze na swali. Je gesi hiyo ni mali ya Watanzania au ni ya wawekezaji? Tulishaambiwa kuwa hatuna mamlaka nayo hata kupanga bei tu ili kunufaisha wananchi.
 
Back
Top Bottom