Wizara ya Fedha na BoT tuambie kwanini dola zimeruhusiwa kuuzwa kwenye black market?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
942
4,433
Biashara yakuuza dola imekuwa na mkanganyiko mkubwa. Mabenki na taasisi za kubadilisha fedha wametangaza hawana dola.

Ila yapo maeneo sasa hivi unanunua dola kwa bei karibia na elfu tatu na fedha hizi zinaletwa kwenye mifuko.

Waagizaji mizigo wengi tunachofanya sasa hivi ni kununua dola kwenye black market tuweze kulipia uagizaji wa mizigo.

Zipo bidhaa ambazo baadhi ya wafanyakazi wa mabenki ikiwemo nmb wanapokea Tshs ila wanafanya exchange kwa high rate. Wao dola wanazitoa wapi.

Labda BoT na wizara ya fedha watoke adharani watueleze kwanini dola ni nyingi kwenye black market? Sisi tunaonunua dola uchochoroni hakuna siku tutakamatwa na kuitwa wahujumu uchumi?
 
Hayo ni madhara ya uchumi mbovu, uchumi wa makaratasi, uchumi wa fremu, uchumi wa kuagiza.

Ilitakiwa watu wawe wanakuja Tanzania kununua bidhaa na huduma hapo ndio tungepata madolari, ilitakiwa tuwe tunauza nje (export) zaidi kuliko tunavyo agiza. Inatakiwa tuwe na viwanda vya kutengeneza bidhaa mbalimbali. Watu toka nchi mbalimbali duniani wanakuja Tanzania kufunga mzigo kama watu wanavyoenda Uturuki, Dubai, China.


Zaidi ya hapo tutaendelea kuporomoka mpaka dola moja iifike laki tisa 🤣🤣
 
Sasa namuelewa Waziri wa Elimu kwa nini anahangaika kufumua mitaala,.jitu linasema black market, halafu linasema imeruhusiwa
Kati ya yeye na wewe, yeye ana nafuu sana. Wewe ulichoona ni hayo maneno unayokomaria hapa, yeye kaeleza kirefu na ameeleweka.
Kwani hao wanaouza huko mitaani hawajui kuwa Samia ndiye mtawala? Acha wafaidi, wakati wao ndio huu.
 
Hayo ni madhara ya uchumi mbovu, uchumi wa makaratasi, uchumi wa fremu, uchumi wa kuagiza.

Ilitakiwa watu wawe wanakuja Tanzania kununua bidhaa na huduma hapo ndio tungepata madolari, ilitakiwa tuwe tunauza nje (export) zaidi kuliko tunavyo agiza. Inatakiwa tuwe na viwanda vya kutengeneza bidhaa mbalimbali. Watu toka nchi mbalimbali duniani wanakuja Tanzania kufunga mzigo kama watu wanavyoenda Uturuki, Dubai, China.


Zaidi ya hapo tutaendelea kuporomoka mpaka dola moja iifike laki tisa 🤣🤣
Lakini tuna Waziri wa Fedha anadai digirii yake ni 1st class, sio Sawa na za Akina Mramba etc hivyo uwezo wake ni mkubwa kuliko wale wa zamani
 
Lakini tuna Waziri wa Fedha anadai digirii yake ni 1st class, sio Sawa na za Akina Mramba etc hivyo uwezo wake ni mkubwa kuliko wale wa zamani
Wenye Dola wamefungia Dola zao,Dola ni shida duniani kote,acheni ungese
 
Kati ya yeye na wewe, yeye ana nafuu sana. Wewe ulichoona ni hayo maneno unayokomaria hapa, yeye kaeleza kirefu na ameeleweka.
Kwani hao wanaouza huko mitaani hawajui kuwa Samia ndiye mtawala? Acha wafaidi, wakati wao ndio huu.
Komalia na si komaria,wewe ni mbumbumbu
 
Biashara yakuuza dola imekuwa na mkanganyiko mkubwa. Mabenki na taasisi za kubadilisha fedha wametangaza hawana dola.

Ila yapo maeneo sasa hivi unanunua dola kwa bei karibia na elfu tatu na fedha hizi zinaletwa kwenye mifuko.

Waagizaji mizigo wengi tunachofanya sasa hivi ni kununua dola kwenye black market tuweze kulipia uagizaji wa mizigo.

Zipo bidhaa ambazo baadhi ya wafanyakazi wa mabenki ikiwemo nmb wanapokea Tshs ila wanafanya exchange kwa high rate. Wao dola wanazitoa wapi.

Labda BoT na wizara ya fedha watoke adharani watueleze kwanini dola ni nyingi kwenye black market? Sisi tunaonunua dola uchochoroni hakuna siku tutakamatwa na kuitwa wahujumu uchumi?
noma sana.
 
Huyu mama kaharibu kila kitu, hata pesa yetu imeporomoka sana thamani dhidi ya majirani zetu Kenya na Uganda.
 
Biashara yakuuza dola imekuwa na mkanganyiko mkubwa. Mabenki na taasisi za kubadilisha fedha wametangaza hawana dola.

Ila yapo maeneo sasa hivi unanunua dola kwa bei karibia na elfu tatu na fedha hizi zinaletwa kwenye mifuko.

Waagizaji mizigo wengi tunachofanya sasa hivi ni kununua dola kwenye black market tuweze kulipia uagizaji wa mizigo.

Zipo bidhaa ambazo baadhi ya wafanyakazi wa mabenki ikiwemo nmb wanapokea Tshs ila wanafanya exchange kwa high rate. Wao dola wanazitoa wapi.

Labda BoT na wizara ya fedha watoke adharani watueleze kwanini dola ni nyingi kwenye black market? Sisi tunaonunua dola uchochoroni hakuna siku tutakamatwa na kuitwa wahujumu uchumi?
Black market ina maana ya kwamba hiyo biashara hairuhusiwi, kinyume na sheria, wanakwepa taratibu za serikali.
Kwa hiyo, serikali imeshindwa kudhibiti kwa sera, sheria, kanuni na taratibu nzuri kiuchumi.
Hata hivyo, haijaruhusu.
Inawezekana kulegeza masharti ya ubadilishaji, dola ikapatikana kwa urahisi na uchumi ukapanda kuliko majirani.
Kwa sasa raia wanapigwa.
 
Black market ina maana ya kwamba hiyo biashara hairuhusiwi, kinyume na sheria, wanakwepa taratibu za serikali.
Kwa hiyo, serikali imeshindwa kudhibiti kwa sera, sheria, kanuni na taratibu nzuri kiuchumi.
Hata hivyo, haijaruhusu.
"...kushindwa kudhibiti...", hakuna tofauti kubwa na kuruhusu. Uzembe unafanyika na hakuna wa kuuzuia ni sawa na kutazama pembeni watu wafanye wanayotaka wenyewe.
 
L
Wenye Dola wamefungia Dola zao,Dola ni shida duniani kote,acheni ungese
Kama ukiuza gold yako au kahawa nk , aliyefungia dollar yake atatoa au atafungia.
Ndio ungese unapoanzia hapo.
Gas ipo hapa Bongo, badala ya hayo magari ya serikali kutumia gas tunayozalisha, wewe unatumia petroli au dizeli unategemea unajenga uchumi wako au unabomoa, hapo ndio ungese unapoongezeka.
 
L

Kama ukiuza gold yako au kahawa nk , aliyefungia dollar yake atatoa au atafungia.
Ndio ungese unapoanzia hapo.
Gas ipo hapa Bongo, badala ya hayo magari ya serikali kutumia gas tunayozalisha, wewe unatumia petroli au dizeli unategemea unajenga uchumi wako au unabomoa, hapo ndio ungese unapoongezeka.
Siku hizi umekua mjinga
 
"...kushindwa kudhibiti...", hakuna tofauti kubwa na kuruhusu. Uzembe unafanyika na hakuna wa kuuzuia ni sawa na kutazama pembeni watu wafanye wanayotaka wenyewe.
Advertent negligence? Sina hakika kama wanajua madhara ya kutokutenda kwao.
Kumbuka udhibiti wa awamu ya tano, watu kunyang'anywa pesa na kufunga maduka ya kubadilisha fedha.
Hata hivyo, wahusika ni wale wale (alikufa Magufuli tu).
 
Huu ni mchongo wa staff wa BOT wame outsource kwa wadau wanagswana faida. Yy kizimkazi mwenyewe hayupo nchini atajulia wapi.



Kazi ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom