Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
7,235
Reaction score
4,342
Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu.

Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini pia swala la afya ya mwanafunzi ni jambo la muhimu ,hivyo tunaomba serika kuhakisha ya kwamba miongozo ya elimu inayotolewa inafuatwa kwa ukamilifu wake.
 
Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu.
Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini pia swala la afya ya mwanafunzi ni jambo la muhimu ,hivyo tunaomba serika kuhakisha ya kwamba miongozo ya elimu inayotolewa inafuatwa kwa ukamilifu wake.

Taja kabisa na jina la shule ama sivyo huu utakuwa umbea tu
 
Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu.
Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini pia swala la afya ya mwanafunzi ni jambo la muhimu ,hivyo tunaomba serika kuhakisha ya kwamba miongozo ya elimu inayotolewa inafuatwa kwa ukamilifu wake.
Kibaya zaidi wanawabakiza watoto hata bila ridhaa ya wazazi na wanataka wazazi wachangie gharama za kuwepo shuleni mdo huo.
 
Mnataka watoto wenu wafaulu vizuri ili hamtaki wapitie life style ya kuwasaidia wafaulu vizuri.
 
Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu.
Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini pia swala la afya ya mwanafunzi ni jambo la muhimu ,hivyo tunaomba serika kuhakisha ya kwamba miongozo ya elimu inayotolewa inafuatwa kwa ukamilifu wake.
Mkuu huna Haja ya Kutaja jina la shule, ni shule nyingi kama sio zote zinafanya hivyo ili watoto wafaulu daaaa😩😩😎
 
Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu.

Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini pia swala la afya ya mwanafunzi ni jambo la muhimu ,hivyo tunaomba serika kuhakisha ya kwamba miongozo ya elimu inayotolewa inafuatwa kwa ukamilifu wake.
NO REFORMS NO ELECTION
ni kweli shule hasa za mjini wana tabia wanajua wao hawafungi hasa likizo ya mwezi huu
 
Nina mchepuko wangu ni mwalimu huko Mkuranga - Pwani, anasema wao wanafundisha kwa wiki mbili wanafunzi wa darasa la nne na la saba.
Amesema hiyo ni kwa wilaya nzima ya Mkuranga.

Ndugu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dkt. Gwajima D , tafadhali wasiliana na TAMISEMI na ELIMU kwa mustakabali mwema wa watoto hawa wa masikini.
 
Ni kweli, Shule nyingi Wanafunzi wanaendelea na masomo. Watapewa wiki moja tu ya kupumzika.
 
Nina mchepuko wangu ni mwalimu huko Mkuranga - Pwani, anasema wao wanafundisha kwa wiki mbili wanafunzi wa darasa la nne na la saba.
Amesema hiyo ni kwa wilaya nzima ya Mkuranga.

Ndugu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dkt. Gwajima D , tafadhali wasiliana na TAMISEMI na ELIMU kwa mustakabali mwema wa watoto hawa wa masikini.
Unamtaka mchepuko wako au siyo unapitamo humu humu
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Utaratibu huu wa kutofunga shule umeanzishwa na shule nyingi za watu binafsi ili kujipatia kipato. Sasa naona hata shule za serikali nazo zimeiga.
 
Acheni watoto wasome mfano Mimi namuunga mkono REO WA MOROGORO yeye alikuwa very specific juu ya hili na alitoa sababu mvua mwaka Jana na mwaka huu zimenyesha sana hivyo watoto walisoma kwa muda mfupi sana akawaomba walimu angalau likizo hii wawasogeze watoto kufidia upotevu wa vipindi Sasa hapa shida Iko wapi? Kwakweli kwa hili namuunga mkono mama Buchuma 100%.
 
Acheni watoto wasome mfano Mimi namuunga mkono REO WA MOROGORO yeye alikuwa very specific juu ya hili na alitoa sababu mvua mwaka Jana na mwaka huu zimenyesha sana hivyo watoto walisoma kwa muda mfupi sana akawaomba walimu angalau likizo hii wawasogeze watoto kufidia upotevu wa vipindi Sasa hapa shida Iko wapi? Kwakweli kwa hili namuunga mkono mama Buchuma 100%.
Akawaomba walimu au akawalazimisha walimu? Kuna Mwalimu ambae hapendi kupumzika na kutembelea ndugu jamaa na marafiki? Alipaswa kuwalipa hao waalimu na sio kuwaamrisha ambako wewe hapa unatudanganya eti kawaomba waalimu.
 
Back
Top Bottom