Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Aliesoma kitabu chab TIE general chemistry huwezi mfananisha na aliyesoma general chemistry ya Ngaiza`series ,kamwe ni Bora kuongea uhalisia kuliko kuongopa wanaoumia ni wadogo zetu
 
We kama mtu serious umeisaidia nini Nchi so far?

D ianzie 65+ wewe vyeti vyako vikibadilishwa saiv utajikuta una Division 4 mbovu sana au zero.

Fundisheni watu wapate maarifa sio wapate grades nzuri mwisho wa siku tumesoma lakini hatuna maarifa ya kutengeneza hata kijiti cha kuchokonoa meno.

Hovyo sana waafrika tunawekeza kukomoa sana na kukariri.

Afrika haitoboi kwa akili hizi tulizonazo za kuangalia grades tu
🤣🤣Kanikumbusha mzazi flan kweny kikao flan ,dhidi ya walim kutokan na kufeli wanafunzi akatoa maoni si Bora Hawa watot "watomb...ne" tu maan shule hawatak
 
Nimesoma physcs advance nakumbuka teacher alikuwa mmoja tu inabidi afundishe 5 na 6 mbaya zaid mwalimu wenyewe muda wote yupo town kushika shika mademu tu.
Daah lakini mungu ni mwema wengi tulitoboa ni jitihada binafsi za wanafunzi na ushirikiano.
 
Umesema ukweli mtupu Exactly,izo mbinu haziepukiki na wanafanya ivo kutokana na ugumu wa syllabus ,tatzo kuu ni syllabus MDA, CONTENTS NYINGI(MATOPICS+ PRACTICAL),VITABU .
Mwalimu wangu wa somo la chemistry advance aliwahi kupelekea maoni wizara ya elimu kuwa advance miaka miwili kidogo ina mambo mengi ni vigumu mwanafunzi kuelewa vyote kwa muda mfupi kama ule.

Na ni kweli kwa wale tuliosoma masons ya Sayansi lazima ukubali advance mziki mnee mtu ulileta urembo wa O_level wewe kufeli ni swala rahisi sana ndio maana shule kubwa wanaanza masomo mapema na wenye uwezo watoto wao wanapiga tuti za uhakika muda wa shule unakuta wameshakava vitu vingi..
 
Acheni Ngono someni

Mimi nimefundisha hapo Temeke Advance wanafunzi mnatombana Sana.

Mwanafunzi smart hawezi kufeli Advance pia huko vijijin ngono imetawala . Serikali naomba Alama ziongezwe za kutoka Advance kuja chuo kikuu Angalau D inabidi Kuanzia 65+
Kwa uandishi huu, huwezi kuwa mwalimu wa Advance, hata hivyo hapa watu wanajadili mada serios ya PCB/M na sio vitu vingingine ambavyo hata ukilala unatoboa
 
Muda ni kweli mdogo, lakini kwa mwanafunzi aliye serious kufaulu ni simple tu.

Na trend inaonesha ufaulu wa advance ni mkubwa kushinda wa Ordinary.

Huo muda uliwekwa kwa standard za kimataifa wala hakuna shida yoyote kwenye sylabus.

Ukitaka kujua nachoongea ni kweli, nenda hapo Kenya ambako wanasoma secondary miaka 4 tuu vitu vyote vinavyofundishwa kwa miaka 6 hapa Tanzania.
 
Nakataa kwa 100% wanaovitumia nna maoni yao mengi wanasema havina maajabu,usiingize siasa mkuu
Wanafunzi Advance wanagombea hivyo vitabu mimi mwalimu wangu ni mtaalamu sana yeye alihusika vitabu vya TIE vya mwanzo kabla ya vipya hivi kuzuiliwa kwani vilipotoka alikagua pamoja na kupelekea maoni yeye na wenzake sehemu husika mpaka vikazuiliwa na mimi nimeviona vilikuwa shallow sana hivi vipya hata yeye mtaalamu mkubwa wa kufundisha somo la Kemia kabisa asilimia 85/% mpk 90%

Na mimi mbobezi wa biology ninepitia vitabu vipya vya TIE vya biology 5 &6 vipo vyema na ni viko competence based hata maswali yake yapo vizuri ukiwa umekariri huwezi hautoboi hata swali moja wamesamarazi vizuri na wakati nasoma Biology nikipita vitabu kama Understanding biology, Biological science ,Chandy na Oxford hakuna tofauti kubwa na vya kwetu TIE tena wao wamerahisisha concepts bila kuondoa vitu muhimu..
 
Aliesoma kitabu chab TIE general chemistry huwezi mfananisha na aliyesoma general chemistry ya Ngaiza`series ,kamwe ni Bora kuongea uhalisia kuliko kuongopa wanaoumia ni wadogo zetu
Haiwezi kuwa sawa kwa TIE ilivyo mtu ukitumia moja kwa moja kile hatopata matokeo mazuri moja kwa moja vile vinatoa muongozo na kurahisisha concept ngumu kama mwanafunzi akipitia vitabu vingine kisha kudogea mule naamini ataongeza kitu kikubwa sana ..

Kutegemea kitabu kimoja ni tatizo hata mimi Biology kuna vitu nilitoka kapa kwenye BS nikaelewa zaidi kwenye understanding Biology ..
 
Mwalimu wangu wa somo la chemistry advance aliwahi kupelekea maoni wizara ya elimu kuwa advance miaka miwili kidogo ina mambo mengi ni vigumu mwanafunzi kuelewa vyote kwa muda mfupi kama ule.

Na ni kweli kwa wale tuliosoma masons ya Sayansi lazima ukubali advance mziki mnee mtu ulileta urembo wa O_level wewe kufeli ni swala rahisi sana ndio maana shule kubwa wanaanza masomo mapema na wenye uwezo watoto wao wanapiga tuti za uhakika muda wa shule unakuta wameshakava vitu vingi..
Nakumbuka kipindi hicho naingia advance sijapiga hata pindi moja infact wakati watu wanaunga mapindi ya pre form 5..mimi nilikuwa zangu likizo.Ile naingia class siku ya kwanza nakutana na jamaa ana counter book la quire 4 limejaa notsi za physics, ana ma counter mengine ya chemistry yamejaa notsi...nilipagawa aisee.

Dah ilibidi niende race sana miezi ya mwanzo ili niweze kucover topics zote...ila cha ajabu wao waliokuwa wamesoma preform 5...likija pepa nawakimbiza vibaya.

RIP Moody Physics.

Shou out kwa Mbuga na Sir Unga.
 
Haiwezi kuwa sawa kwa TIE ilivyo mtu ukitumia moja kwa moja kile hatopata matokeo mazuri moja kwa moja vile vinatoa muongozo na kurahisisha concept ngumu kama mwanafunzi akipitia vitabu vingine kisha kudogea mule naamini ataongeza kitu kikubwa sana ..

Kutegemea kitabu kimoja ni tatizo hata mimi Biology kuna vitu nilitoka kapa kwenye BS nikaelewa zaidi kwenye understanding Biology ..
Kipindi hicho kila mtu ana BS lake la Bios.

Huku nina UP (university physics),linkon na roger muncaster na kwa mbaali kuna sCHANDS.

Mpaka tunaingia necta maticha hawajamaliza syllabus...kama mwanafunzi alikuwa akiwategemea ilikuwa inakula kwake.
 
Nakumbuka kipindi hicho naingia advance sijapiga hata pindi moja infact wakati watu wanaunga mapindi ya pre form 5..mimi nilikuwa zangu likizo.Ile naingia class siku ya kwanza nakutana na jamaa ana counter book la quire 4 limejaa notsi za physics, ana ma counter mengine ya chemistry yamejaa notsi...nilipagawa aisee.

Dah ilibidi niende race sana miezi ya mwanzo ili niweze kucover topics zote...ila cha ajabu wao waliokuwa wamesoma preform 5...likija pepa nawakimbiza vibaya.

RIP Moody Physics.

Shou out kwa Mbuga na Sir Unga.
Hata mimi mda ambao wenzangu wanapiga Pre_4m5 nilikuwa nacheza chandimu mtaani kufika class sijui hata majina ya vitabu nakuta wadau washusha machandy kwenye meza kuna mwamba nilikaa nae nilimuuliza umesoma nini jamaa alinijibubkwa tambo nimekava kila kitu akaja kukaa kidogo akatoa kidaftari na kitabu anasovu BAm huku akilalsmika hili somo amekava topic tatu tu nikasema mchizi amelisonea tuti mpk somo la ziada nikamuhma siku ile ile nikamtafuta Mwanangu ambaye hatuchekani nikae nae mwishowe mchizi kucheza mwingi necta kala 4..
 
Siku hizi njia za kupata elimu zimekuwa rahisi sana. Yaani unaweza kusoma topic nzima Youtube.Kipindi sisi tunasoma kumiliki simu tu ya button ilikuwa mtiti. Hakuna watsapp,twitter wala facebook
 
Back
Top Bottom