Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 503
- 269
Kwanini Kuna gharama za vipimo kwa watoto wachanga waliozaliwa njiti?
Mi maoni yangu kada ya udaktari imedominate wizara ya afya kimapato na kimuundo hata baadhi ya malipo sasa ni kama unyonyaji kwa kada nyingine ni muda mwafanya wizara ya afya kuleta usawa na mgawanyo sawa wa maslahi yanayozalishwa kwenye taasisi mbalimbali za afyaNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Niko na shida ya muda mrefu kupata choo kuna muda inakuwa kavu sana lakini pia mkojo nakojoa ila unatoka kwa unyonge sana, choo kubwa pia kuna muda napush mpaka naona sehemu ya aja kubwa inavimba kidogo kwa ajili ya kupush mzigo. Naomba anayejua ni dalili za nini anijuzeNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Hiili laleseni za udaktari na utabibu kuchukulia Dodoma wote mliangalie vizuri halijakaa sawa, hasa kwa karne hii ya sayansi na teknolojia.Anngalau mngeligawa kikanda.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Unaish nchi ganiHiili laleseni za udaktari na utabibu kuchukulia Dodoma wote mliangalie vizuri halijakaa sawa, hasa kwa karne hii ya sayansi na teknolojia.Anngalau mngeligawa kikanda.
Una maanisha nini?Naishi Dodoma!Unaish nchi gani
Me lesen yangu nimetumiwa kaka sijafwata ndo maana nimekushangaa unavoaema hawaruusuUna maanisha nini?Naishi Dodoma!
Kwa hiyo unaona sawa?Me lesen yangu nimetumiwa kaka sijafwata ndo maana nimekushangaa unavoaema hawaruusu
Na nichosema unaniona mjinga?Na walifuata huku leseni hawakusoma !ila wewe!Kwa hiyo unaona sawa?
MAZINGATIO KUHUSU BIMA YA AFYA"TOTO AFYA KADI"Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Vituo vya afya kweli mmjenga vingi,lakini sehemu zingine,wananchi wasita kuvitumia kutokana na gharama,mtu anaumwa kituo Cha afya Cha mpuguso huku Tukuyu kwa mfano,kumwona daktari eti 8000,mtu anasema Bora angenda moja kwa Moja duka la dawa nikanunue dawa za malaria tu,MAZINGATIO KUHUSU BIMA YA AFYA"TOTO AFYA KADI"
Kuondolewa kwa bima ya TOTO AFYA KADI kunaweza kukarudisha hatari ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano,vilivyokuwa vimepungua kwa kiasi kikubwa sana,na moja ya sababu zilozochangia kupungua kwa vifo hivyo ni pamoja na mpango huu wa TOTO AFYA KADI.
Ushauri wangu wakati mnaangalia ustawi wa mfuko,pia mzingatie maendeleo ya jamii kwa vipato vyao,kwa gharama ya TOTO AFYA KADI ilivyokuwa ilisaidia watu wengi kumudu ,hivyo watoto wengi waliweza kupata huduma za kimatibabu kwa wakati tofauti na hapo awali.
kuondolewa kwa mpango huu kutafanya watoto wengi kutopata huduma ya matibabu kwa wakati kwa ukosefu wa pesa,au upatikanaji wa huduma hafifu kwa kuzingatia unafuu wa gharama ,hari itakayopelekea watoto wengi kupoteza maisha.
Binafsi naona ni wakati wa mifuko ya kijamii kujitathmini na kujua njia ipi sahihi ya kujiendesha badala ya kuhangaika,iwe sehemu ya kurahisha na sio kuweka ugumu,kuna njia nyingi za kudhibiti na kujiboresha lakini sio kuondoa huduma ambazo tayari ni msaada kwa jamii.
Kituo cha Afya kumuona daktari 8000 Wapi uko mzee? Hiyo gharama sina hakika kama ipo kwenye vituo vyetu nchi hii.Vituo vya afya kweli mmjenga vingi,lakini sehemu zingine,wananchi wasita kuvitumia kutokana na gharama,mtu anaumwa kituo Cha afya Cha mpuguso huku Tukuyu kwa mfano,kumwona daktari eti 8000,mtu anasema Bora angenda moja kwa Moja duka la dawa nikanunue dawa za malaria tu,
Asante kwa kuwasiliana nasi.
Kupima Maambukizi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (Covid-19) kwa Raia wa Tanzania ni Shilingi 40,000, raia wa kigeni ni USD 50$