Bodi ya Famasia watoke maofisini na kufanya kazi yao.
Maduka ya dawa yanauza dawa hovyo bila maelekezo yoyote. Leo nimenda pharmacy moja akaja Mmasai mmoja na kudai apewe "RANGI MBILI"za elfu mbili, akapewa amoxicillin bila kuulizwa na kuelekezwa lolote 😭
Maduka ya dawa yanauza dawa hovyo bila maelekezo yoyote. Leo nimenda pharmacy moja akaja Mmasai mmoja na kudai apewe "RANGI MBILI"za elfu mbili, akapewa amoxicillin bila kuulizwa na kuelekezwa lolote 😭