Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 612
Naona kitambulisho Changu Cha nhif kime expire nabatanisha Nini na nn wkt wa renew?
MsaadaNaona kitambulisho Changu Cha nhif kime expire nabatanisha Nini na nn wkt wa renew?
Evening!!! Mimi Nina shida binafsi mnanisaidiaje nilifika dodoma kurekebisha mshahara wangu niliambiwa baada ya siku 21 nitapata majibu yangu,sasa nawaza ili swala nitafanikisha kweli kupitia kupiga simu naombeni mnisaidie kurudisha mshahara wangu ulisimamishwa Asante Nina imani mtanisaidiaNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Katika hali ya kushangaza Mh Naibu Waziri wa Afya Mh Molleli alielekeza huduma za Hospitali ya rufaa ya Mkoa kuhama katika majengo yaliyokuwa ya kitumika hapo awali ambapo huduma za maabara na vipimo zilikuwa zinatolewa katika jengo lenye hadhi na vifaa vya kutosha. Matokeo ya kutekeleza maelekezo ya Mh Naibu Waziri Menejimenti ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa waliamua kuhamishia huduma za maabara na vipimo katika jengo ambalo ni jiko la kupikia na jengo la kufulia nguo kitu ambacho ni hatari kwa Afya za Wananchi.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Badala yake Walifuta paapBima ya afya kwa watoto
Ili kuhimiza wamama kuzalia hospitali na kuondoa udanganyifu, kila mtoto anaezaliwa apate kadi ya Bima na akija clinik aandikishwe bima ya afya. Hilo litasaidia kuongeza mahudhurio cliniki pia
Mngetoa elimu kwanza, na kutoa Transition period kabla ya kuondoka ghafla Bima Toto ya 5000.Asante kwa hoja hii. Tunalipokea na kuwasilisha kwa mamlaka husika, tutakuja na majibu
Wasipokuelewa shauri yao. Wengine tumekuelewa!!Nipo tayari kuwatengenezea mfumo ambao mwananchi atakuwa na uwezo wa kufanya booking hospitalini kufungua faili na kufanya malipo ya awali akiwa nyumbani kwa simu yake. Hii itasaidia kupunguza foleni mahospitalini pamoja na Habari ya Rushwa. Pia itapunguza usumbufu wa kwenda hospitali kumuona daktari ambaye kumbe siku hiyo hayupo.
Ni wakati sasa wa sekta ya afya kutumia teknolojia ipasavyo.
KWANZA WIZARA YA UMMY INAONGOZWA NA WASIOMJUWA MUNGU KABISA.Kuondoka Bima Toto NHIF ghafla paap iliwaacha maelfu ya watoto katika shida kubwa. Wizara ilikurupuka Kwa maamuzi Bila elimu na utayarishaji wa Transition:
Kufuta Bima Toto ya 50000 na kuweka ya 120000 iambatane na mzaxi ya 240000 ni ngumu Kwa masikini Watanzania.
Pili: Maafisa wa NHIF wanasema ili upate Bima ya 50000 Kwa Mtoto, inakatwa Kwa makundi Shuleni. * Wizara ya afya ilipaswa kutoa elimu Kwa walezi au Wizara ya elimu..ili wazaZi wajiandae.
Kwa Nini NHIF isingetoa taarifa kwanza kwenye mashule?