Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,023
- 1,609
Kutokana na taarifa za kuenea kwa ugonjwa unaosababishwa na #MonkeyPoxVirus, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa hadi sasa hakuna kisa kilichorekodiwa cha mgonjwa wa virusi hivyo nchini.
-
Aidha Wizara imesema inaendelea kuchukua hatua stahiki kukabiliana na ugonjwa huo kama kuchunguza wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka yote, viwanja vya ndege, bandari na nchi kavu.
-
Vile vile Wizara hiyo imetoa wito kwa wote wenye dalili za vipele vyenye majimaji au usaha, homa, mwili kuchoka na kichwa kuuma kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kwa uchunguzi zaidi.
-
Aidha Wizara imesema inaendelea kuchukua hatua stahiki kukabiliana na ugonjwa huo kama kuchunguza wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka yote, viwanja vya ndege, bandari na nchi kavu.
-
Vile vile Wizara hiyo imetoa wito kwa wote wenye dalili za vipele vyenye majimaji au usaha, homa, mwili kuchoka na kichwa kuuma kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kwa uchunguzi zaidi.