GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Kichwa cha Habari ni hiki....
YANGA YAMBAKA MUME WA SIMBA
Najua Simba na Yanga ni Watani wa Jadi ila sidhani kama katika Tasnia ya Habari Lugha hii ya 'Kihuni' na 'Udhalilishaji' inakubalika.
Na kama GENTAMYCINE nitajibiwa kuwa ni Lugha njema tu hiyo basi nitaiomba Wizara husika na MCT wayaruhusu na Magazeti ya Kawaida pia kuanza kutumia Lugha hizi hizi za 'Kihuni' ili twende sawa.
Nategemea kuona Tamko Kali kutoka Wizarani ( japo najua Waziri Bashungwa ) ni mwana Yanga SC lia lia na pia kutoka kwa Baraza la Habari Tanzania ( MCT )
Mkilunyamazia hili Gazeti la Yanga na huu Uandishi wao wa Kipuuzi, Uchokozi na Uchochezi kwa Aina ya hiki Kichwa chao cha Habari ' YANGA YAMBAKA MUME WA SIMBA ' basi na Simba SC nao wakijibu Mapigo muwe Wavumilivu na msinune kwani kama ni maneno ya Shombo tu Simba SC yapo sana tu na huenda hata Yanga SC wakajuta kwa kuianzisha Vita hii ya Maneno makali ya Vichwa vya Habari Magazetini ( hasa katika Magazeti haya ya Michezo ) yanayomilikiwa na hivi Vilabu vikubwa nchini Tanzania.
Ni kweli Yanga SC imemfunga mbabe wa Simba SC ambaye ni Prisons FC lakini na Simba SC nao wameshamfunga sana tu mbabe wa Yanga SC Timu ya Coastal Union ya Tanga ( ns hata Azam FC na Kagera Sugar FC kwa nyakati tofauti ) ila sijawahi kuona Gazeti la Simba SC likija na Vichwa vya Habari vya 'Kihuni' kama ilivyofanya na Gazeti hili la Klabu ya Yanga katika Toleo lake la leo.
Je, Simba SC nayo tarehe 8 May, 2021 ikimfunga Yanga SC Kesho Gazeti la Simba SC likija na Kichwa cha Habari kama hiki...' YANGA YAKOJOLESHWA NA SIMBA ' au ' YANGA YAUKUBALI MUHOGO WA SIMBA ' au ' YANGA HUBEBA UPESI MIMBA YA SIMBA ' itakuwa ni sawa hasa hasa kwa Afya ya Tasnia nzima ya Habari nchini Tanzania?
YANGA YAMBAKA MUME WA SIMBA
Najua Simba na Yanga ni Watani wa Jadi ila sidhani kama katika Tasnia ya Habari Lugha hii ya 'Kihuni' na 'Udhalilishaji' inakubalika.
Na kama GENTAMYCINE nitajibiwa kuwa ni Lugha njema tu hiyo basi nitaiomba Wizara husika na MCT wayaruhusu na Magazeti ya Kawaida pia kuanza kutumia Lugha hizi hizi za 'Kihuni' ili twende sawa.
Nategemea kuona Tamko Kali kutoka Wizarani ( japo najua Waziri Bashungwa ) ni mwana Yanga SC lia lia na pia kutoka kwa Baraza la Habari Tanzania ( MCT )
Mkilunyamazia hili Gazeti la Yanga na huu Uandishi wao wa Kipuuzi, Uchokozi na Uchochezi kwa Aina ya hiki Kichwa chao cha Habari ' YANGA YAMBAKA MUME WA SIMBA ' basi na Simba SC nao wakijibu Mapigo muwe Wavumilivu na msinune kwani kama ni maneno ya Shombo tu Simba SC yapo sana tu na huenda hata Yanga SC wakajuta kwa kuianzisha Vita hii ya Maneno makali ya Vichwa vya Habari Magazetini ( hasa katika Magazeti haya ya Michezo ) yanayomilikiwa na hivi Vilabu vikubwa nchini Tanzania.
Ni kweli Yanga SC imemfunga mbabe wa Simba SC ambaye ni Prisons FC lakini na Simba SC nao wameshamfunga sana tu mbabe wa Yanga SC Timu ya Coastal Union ya Tanga ( ns hata Azam FC na Kagera Sugar FC kwa nyakati tofauti ) ila sijawahi kuona Gazeti la Simba SC likija na Vichwa vya Habari vya 'Kihuni' kama ilivyofanya na Gazeti hili la Klabu ya Yanga katika Toleo lake la leo.
Je, Simba SC nayo tarehe 8 May, 2021 ikimfunga Yanga SC Kesho Gazeti la Simba SC likija na Kichwa cha Habari kama hiki...' YANGA YAKOJOLESHWA NA SIMBA ' au ' YANGA YAUKUBALI MUHOGO WA SIMBA ' au ' YANGA HUBEBA UPESI MIMBA YA SIMBA ' itakuwa ni sawa hasa hasa kwa Afya ya Tasnia nzima ya Habari nchini Tanzania?