Wivu kwa mchepuko

Tukitulia wake zetu wasiolewa fulsa watazipataje?huyo kafanyiwa kilakitu na maisha yanaenda wataka uongeze ugumu kwa wenzio wewe sio bure
Ni kweli kabisa mkuu pia na magonjwa mnawasaidia kuyabeba na kuwaletea wake zenu.
 
Ni kweli mkuu, hawa wawili wote ni wezi, inabidi wawe wadogo kwa muda. Wayamalize kiutu uzima
Ukumbuke huyu mwanamke anaendesha maisha yake kupitia jamaa subili baada myezi kazaaa kama hujamkuta mchepuko unauza nyama
 
Kiendacho kwa mgema.....Mchepuko ni starehe kama unavyokwenda bar, kesho unaweza kuuliza kwanini kiti chako bar kuna mtu amekalia? Matatizo wengine mnajisahau mnafikiri mmeoa😛😛
Ndo kishatemwa sasa nani ataumuia zaidi kwa mtazmo wako?
 
Hata ukipata usalama wa damu yake, ile wiki wewe uko na my wife wako yeye hujui yuko na nani.
Kweli kabisa Mkuu na hivi nilikuwa nina hisi pale sikuwa peke yangu though alikuwa ananishangaa wakati nikivaa kinga anajisemesha kuwa eti simuamini.Ila nilikuwa namtoa shaka tu kuwa hata mimi mwenyewe sijiamini so asiwe na hofu kinga ni kwa usalama wetu wote.
 
Watu "mnakolezwa"!!...Yaani haikutosha kuchepuka nae tu na nyumba kumpangia,ukaona umfungulie na duka kabisa??.
Hivi huwa mnaingiza "mwili wote" ama kitu gani hasa?.
Ukiwa na pesa jambo dogo sana hili mkuu acha tu wenzio wale maisha
 
Hapo ndio nimeshajipiga chini mkuu sirudi nyuma sijui kwa ile biashara kama ataweza kulipa kodi ya nyumba ikiisha.

Duh! nimesoma stori nikakuonea hurumaaa, nkataka jibu ila hapa naona ushajishauri na kujijibu.

kama biashara ndogo tembea tu kwa amani ukafanye mingine, suala langu lilikua kwenye huo mtaji, lakini kama hataweza kulipa kodi we mwache tu uende na uwe na amani.

Ngoja nifanye recap; kipindi cha ujana nilihongaga ile nokia tochi kwa mwanamke mmoja, baada ya muda na wingi wa mapenzi nikaja jua anachepuka. roho iliniumaaaaa, ila nkakaa nikawaza kumbe nlikua naumia na ile simu bana hahahaha si ndo mara ya kwanza nahongaa sasa. Anyways point ni kwamba HESHIMU PESA YAKO.
 
Kula maisha unazani asingemuezesha apo angekua na mabwana wangapi labda

Kila mwenye fedha afanye hivyo kupunguza uzinzi
 
Ukishauri mtu ukumbuke na maisha hayafanani pia
 
Hayo mengine sio lazima kujibu yawezakanaje kwako iwe njaa hafu uwekeze nnje?
 
Ukishauri mtu ukumbuke na maisha hayafanani pia
1. Katika dunia ya hesabu y*x jibu litakua moja hata kama njia ni tofauti
2. Pschology, criminal minds zinakua na kitu kimoja in common.
Hii ndiyo sababu kubwa ya threads hapa kufunguliwa na watu kujulishana yaliyotokea na kuombana ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…