Wivu kwa mchepuko

Inawezana Mkuu nikawa kivulana kwa umri wa above 30?Any way huo ni mtazamo wako pia na siwezi kuupinga nitajitahidi kuuzingatia ushauri wako pia.
 
Wivu wa nini kwa mchepuko. Kinachoumia wengi ni zile gharma wanazoziingia wakati wakila raha na hiyo michepuko. Pole, siku nyingine acha kuendekeza ni kugharamia michepuko. Bei zao huwa hazizizdi sh 10,000/=, unapiga, unalipa, unasepa.
 
Inawezekana lakini sidhani kama yeye ndiye ila nahisi yeye anaweza kuwa na mchepuko wake kwa sababu sasa hivi yupo Ifakara na baridi la kule huwa sipati picha kama anaweza kuafford kulala peke yake.
Wanamtafuna akirudi yani nimechoka ukome
 
Kwani wewe umetulia na mume wako?
Piga chini hakukutafta onspot baada ya tukio kwakuwa alikuwa bado na huyo bwanake anabinuliwa.
Kasubiri aondoke ndipo kakutafta baada ya kutafakari akaona wewe ni ATM
 

Inawezekana wewe ni muhuni...sasa unatiana na mke wa mzee huoni ni kinyume...huyo.teyari ni mkewe...anyway ukikuwa utatomb.ewa pia
 

Well said...

But the biggest rule for men.Usiwekeze kwa mwanamke ikiwa hajakuzalia.

Unajua ni aghalabu kumpata mwanamke unayempenda na pia mungu akakubaruki kupitia yeye...anaweza kutokea mmoja kwa miaka kumi...ukampoteza ukajuta sana...

Wewe kaka ulieandika huu uzi...jitathmini ni nini kilikufanya ukampenda huyu demu...
Kama ni papuchi tu..basi umege tu mzigo kisha usiendelee kuwekeza...na wenzio wachangie...

Kama anakubariki mtie mimba umzalishe kwanza kisha musaidiane kulea mtoto wenu...

Mwanamke kawaida hutia akili akiishazaa.
 
Kwani mkeo hakuridhishi mpaka uwangaike na hawara?jamani nyie wanaume kha mungu saidia
Mke wangu ni mtu wa kusafiri sana yaani ndani ya mwez huwa anakaa nyumbani week moja tu ila huwa ana play part yake vizuri tu akiwa home.
 
🙂🙂🙂🙂🙂
 
Yes ila ni ukanda huu huu wa Africa masharika na kati.
Do kweli ndoa ndoano, wakati mke wako anasafiri anahangaikia familia wewe unapata mtaji wa kufungua maduka. Fikiria huyo bi dada ni wangapi wazuri anaokutana nao lakini anajua anacommitment, au wenzetu definition yake bado hamjaielewa?
 
hiyo ndo athari za michepuko....hivi huwa unatumia kinga? hofu yangu ni hiyo networking mnayodevelop.....halafu umeutoa ddm!!! ukauleta jijini,,,,,,kakautana na wauza urembo na samaki majumbani....hahahahahaaaaaaaa....achana nae mkuu..anza upya,,this time nenda moshi kabisa kachukue dadangu....
 
Do kweli ndoa ndoano, wakati mke wako anasafiri anahangaikia familia wewe unapata mtaji wa kufungua madua. Fikiria huyo bi dada ni wangapi wazuri anaokutana nao lakini anajua anacommitment, au wenzetu definition yake bado hamjaielewa?
Tunajifunza kutokana na makosa ila siwezi jua nadhani kwenye kipimo cha uaminifu kila mtu anajijua mwenyewe.Kusafiri kwake ni mimi ndiye niliyempa huo mataji pia sio kwamba alikopa bank au nilimkuta na hiyo biashara .Na mimi pia naendelea na kufanya kazi zangu ili kuongeza mfuko wa familia.
 
Mkuu kinga muhimu siwezi kufanya hivyo hali ya kuwa sijapima usalama wa damu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…