muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,002
He hee hebu kitulizeni huko
Ha ha ha....acha vitisho banaa
He hee hebu kitulizeni huko
Baki njia kuu......
Tatizo ukienda mchepukoni na ukakutana na jam kutoka inakuwa ishu.....bora njia kuu ....foleni ikiisha mnatembea fasta......ni kuvumilia tu na kuyafukia mashimo ya njia kuu ili muende sawa........Ha ha haaah....mpendwa wakati mwingine labda heavy traffic au mashimo mashimo yaliyoko njia kuu ndio yanaweza ku-dictate mtu uchepuke. Just thinking though!! Ha ha haah
Hajui kula na kipofu........Uyo chepuko boya kwl
Mkuu walokole wanaongoza kuchepuka ukishamkwa na hamu na maudhi ya ndoa kuchepuka hakukwepekiHaya Diva, bora sie walokole, maana tunayasikiaga tu hayo.
ah ah, itabidi nikutafute PM nikushushie maombi ya nguvu mkuu.Mkuu walokole wanaongoza kuchepuka ukishamkwa na hamu na maudhi ya ndoa kuchepuka hakukwepeki
YaaaaniiiHajui kula na kipofu........

Wee nitafte tu ila MTU akiwa na ashki haijalishi ni mpagani au mshika diniah ah, itabidi nikutafute PM nikushushie maombi ya nguvu mkuu.
waweza kujizuia pia, mbona simple...Wee nitafte tu ila MTU akiwa na ashki haijalishi ni mpagani au mshika dini
Najizuia kwa njia gani labda hebu nambiewaweza kujizuia pia, mbona simple...
Habari za wakati huu wana MMU,
Juma mosi ya juzi nilivyotoka kazini nikawa sina mahali pakwenda kupumzika kama mnavyojua hiyo siku huwa tunafanya kazi nusu siku .
Mke wangu kipenzi alikuwa amesafiri so nikaona niende kwa mchepuko wangu bila kutoa taarifa kwake. Nilivyofika mlangoni nikaona kuna sandals za kiume sikuwa na shaka ila radio ilifunguliwa kwa sauti ya juu sana.
Niligonga mlango wala sikupata majibu yoyote ikabidi nimpigie simu lakini haikupokelewa.Ikabidi nisepe ila roho ilikuwa inaniuma sana.
Baada ya dakika tano wala sikuwa nimefika mbali akanibip nikampigia.Akasema nipo kwenye gari simu ilivyoita sikuisikia, Nikamuuliza nyumbani kuna mtu akasema nyumba ameifunga so hakuna mtu. Nikasikia hasira sana yaani amenifanya mimi boya.
Ikabidi nigeuze nirudi mpaka pale kwake ili nihakikishe kama kweli hakuna mtu au niliangalia vibaya.Bahati nzuri pale nilimfungulia biashara ya kuuza duka na duka lilikuwa wazi nikaenda dukani nikajifanya nahitaji kununua bidhaa pale mara akatoka yeye alivyoniona alipata mshtuko mpaka akawa ameganda tu pale hata hajanisemesha mbaya zaidi alikuwa amevaa upande tu wa kanga.
Nikamuuliza umerudi saa ngapi hakujibu nikamwaambia endelea na maisha yako mama siwezi kupigana mimi.
Jana jumapili ilipita kimya hakunisumbua wala nini ila leo nashangaa ghafla nakuta msg ya kuomba msamaha na maelezo kibao wala sijamjibu mpaka sasa na nilishatia nia ya kumuacha moja kwa moja kwa sababu sina nguvu za kupigania papuchi.
Kwa wale wazoefu hivi roho inapouma kwa mchepuko wako kuchepuka katika nyumba unayolipia kodi ni dalili ya wivu au ni kujihisi umefanywa mjinga?
Ndo malipo hayo... Tulieni na wake zenu
Mi naona kafanya vzur tu,we una mmke bado ukuni unakuendesha mbio na ukongwe wote huo mmkuu.mpotezeeeHabari za wakati huu wana MMU,
Juma mosi ya juzi nilivyotoka kazini nikawa sina mahali pakwenda kupumzika kama mnavyojua hiyo siku huwa tunafanya kazi nusu siku .
Mke wangu kipenzi alikuwa amesafiri so nikaona niende kwa mchepuko wangu bila kutoa taarifa kwake. Nilivyofika mlangoni nikaona kuna sandals za kiume sikuwa na shaka ila radio ilifunguliwa kwa sauti ya juu sana.
Niligonga mlango wala sikupata majibu yoyote ikabidi nimpigie simu lakini haikupokelewa.Ikabidi nisepe ila roho ilikuwa inaniuma sana.
Baada ya dakika tano wala sikuwa nimefika mbali akanibip nikampigia.Akasema nipo kwenye gari simu ilivyoita sikuisikia, Nikamuuliza nyumbani kuna mtu akasema nyumba ameifunga so hakuna mtu. Nikasikia hasira sana yaani amenifanya mimi boya.
Ikabidi nigeuze nirudi mpaka pale kwake ili nihakikishe kama kweli hakuna mtu au niliangalia vibaya.Bahati nzuri pale nilimfungulia biashara ya kuuza duka na duka lilikuwa wazi nikaenda dukani nikajifanya nahitaji kununua bidhaa pale mara akatoka yeye alivyoniona alipata mshtuko mpaka akawa ameganda tu pale hata hajanisemesha mbaya zaidi alikuwa amevaa upande tu wa kanga.
Nikamuuliza umerudi saa ngapi hakujibu nikamwaambia endelea na maisha yako mama siwezi kupigana mimi.
Jana jumapili ilipita kimya hakunisumbua wala nini ila leo nashangaa ghafla nakuta msg ya kuomba msamaha na maelezo kibao wala sijamjibu mpaka sasa na nilishatia nia ya kumuacha moja kwa moja kwa sababu sina nguvu za kupigania papuchi.
Kwa wale wazoefu hivi roho inapouma kwa mchepuko wako kuchepuka katika nyumba unayolipia kodi ni dalili ya wivu au ni kujihisi umefanywa mjinga?