Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Wito kwa Watanzania.
Achaneni na huyu mpuuzi Kenan Kihongosi anayewakilisha kiburi cha Taasisi anayotoka ( ccm) na kebehi za chama chao kwa Watanganyika baada ya kutuua na kumwaga damu zetu kikatili sana.
Achaneni na Waigizaji wote na CCM na madalali wao ambao muda huu wanalipwa kuleta maigizo ya maridhiano ya mchongo ili kuidanganya Jumuiya ya Kimataifa.
Focus yetu Watanzania kwa sasa inapaswa kuwa kwenye hizi kesi ambazo Mungu ametupa kama zawadi baada ya hawa wauaji kuwaua ndugu zetu na kumwaga damu zao kama kuku.
Wenye mapenzi ya kweli kwa Watanganyika wanapambana sasa ICC ili watu waliomwaga damu zetu waweze kuwajibishwa kweli na wajifunze na kukoma kutuona Watanganyika kama mapoyoyo na wanyama wasio na thamani.
Wito wangu kwa Watanzania. Achaneni na huyo Kenan Kihongosi, achaneni na hawa ccm na kiburi chao. Dawa yao ipo sehemu moja tu nayo ni ICC. Ni ICC tu ndo inaenda kutengeneza mustakabali mpya wa Taifa letu hili baada ya CCM kujaa kiburi kilichotukuka.
Achaneni na hawa wajinga CCM. Tujikite kukusanya ushahidi wetu vizuri maana kuna watu wamejitolea vizuri kuhakikisha hawa wenye kiburi wanashughulikiwa ipasavyo na ICC. Siku si nyingi ICC inaenda kuwafurahisha vizuri hawa wapumbavu na wataanza kuelewa nini thamani yetu sisi Watanzania.
Achaneni na huyu mpuuzi Kenan Kihongosi anayewakilisha kiburi cha Taasisi anayotoka ( ccm) na kebehi za chama chao kwa Watanganyika baada ya kutuua na kumwaga damu zetu kikatili sana.
Achaneni na Waigizaji wote na CCM na madalali wao ambao muda huu wanalipwa kuleta maigizo ya maridhiano ya mchongo ili kuidanganya Jumuiya ya Kimataifa.
Focus yetu Watanzania kwa sasa inapaswa kuwa kwenye hizi kesi ambazo Mungu ametupa kama zawadi baada ya hawa wauaji kuwaua ndugu zetu na kumwaga damu zao kama kuku.
Wenye mapenzi ya kweli kwa Watanganyika wanapambana sasa ICC ili watu waliomwaga damu zetu waweze kuwajibishwa kweli na wajifunze na kukoma kutuona Watanganyika kama mapoyoyo na wanyama wasio na thamani.
Wito wangu kwa Watanzania. Achaneni na huyo Kenan Kihongosi, achaneni na hawa ccm na kiburi chao. Dawa yao ipo sehemu moja tu nayo ni ICC. Ni ICC tu ndo inaenda kutengeneza mustakabali mpya wa Taifa letu hili baada ya CCM kujaa kiburi kilichotukuka.
Achaneni na hawa wajinga CCM. Tujikite kukusanya ushahidi wetu vizuri maana kuna watu wamejitolea vizuri kuhakikisha hawa wenye kiburi wanashughulikiwa ipasavyo na ICC. Siku si nyingi ICC inaenda kuwafurahisha vizuri hawa wapumbavu na wataanza kuelewa nini thamani yetu sisi Watanzania.