Wito kwa wana diaspora wote wapenda haki

Wito kwa wana diaspora wote wapenda haki

HILI NALO MKALITAZAME.

Mimi kama mama yenu sikubaliani na mbwinu hizi za kunizomea nikiwa mamtoni.

Sipendi jambo hili. Nina walinzi wenye mbavu nene nitawawajibisha nyinyi.

Kaeni mbali nami, sipendi kufokewa nina kisukari na tumbo kubwa nisije kupasuka hadharani.

Mimi mama yenu ni mtiifu sana na ninaupiga mwingi kwenye hilo.

Jitazameni sana. Jeshi langu la MAAFANDE VIGIMBI likiongozwa na Lucas Mwashambwa halitawaacha salama.

Nitawararua huko huko kwa Trump hata kama sina visa.
Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe kama Mazuzu
 
Ukiwa na akili timamu huwezi kumlaumu Rais Samia ......
Yeye Sio tatizo isipokuwa ni matokeo tu ....
Zima hisia washa akili ....

Hakuna external force inaweza kukusaidia kusolve yako ya ndani .....
Acheni ujinga watanzania...
Period
Nani kaomba msaada wa nje?
 
Naunga mkono hoja , haramu ni haramu tu hata ikitiwa nakshi ya dhahabu.

Huyu nyang'au hana uhalali maana hakuchaguliwa na wananchi bali ile tume ya vidampa wake akina Mwambengele.
 
Maxence Melo
Kama inawezekana, uwekeeni pin huu uzi ili uweze kubaki juu wakati wote.

Ndugu wana diaspora wa Kitanzania, hususan kwenye nchi za Ulaya Magharibi, Scandinavia, Marekani, Canada, na hata Kenya pia, katika kuhakikisha tunamwajibisha Samia, tusimuache aishi wala kusafiri kwa faraja kwenda kwenye hizi nchi ambazo zinaheshimu haki za binadamu na zina uhuru mkubwa wa watu wake kujieleza.

Tuhakikishe kuwa, endapo itatokea huyu mtu anasafiri kwenda kwenye moja ya hizo nchi, basi Watanzania wote wapenda haki na walioumizwa na mauaji aliyoyafanya Oktoba 29, tunampa wakati mgumu sana kwa kuandamana alipofikia, atapotembelea, na popote pale atapoonekana akiwa huko.

Mimi na watu wangu tumeshajiandaa kikamilifu kuandamana na kumpinga, kumzomea, na kumfanya mengine ambayo kwa sasa ni siri yetu.

Hatutanii. Ajichanganye aje pande hizi aone. Huku hatuwaogopi hao wanaomlinda. Wakileta za kuleta, tutawapatia wanachokitaka.

Haiwezekani na haikubaliki kabisa aue Watanzania wasio na hatia yoyote ile kisa tu aendelee kutawala.

Hivyo basi, Watanzania muishio kwenye nchi za magharibi, jipangeni kwa namna muwezavto kumkabili endapo ataleta pua yake sehemu ambazo mpo.

Na siyo lazima muwe kwenye vikundi. Hata mtu binafsi tu unaweza kupanga jinsi ya kumkabili endapo atakuja sehemu ambayo nawe upo.

Wana diaspora hatuna kabisa sababu ya kumuogopa huyo mtu.

Yeye yupo upande wa uovu na sisi wema upo upande wetu. Na daima siku zote wema huushinda uovu.

Tumwandame huyu mtu mpaka awajibike.
Ni kweli uongozi wa sasa unaudhi saaaana! Sasa hivi kwa mfano ufisadi umestawi sana, watu wanapiga hela na kiburi kimekuwa kikubwa kwa watendaji na viongozi wa serikali. Ni kama hakuna kiongozi nchi hii, ni hovyo, hakuna haki na wala mama huyu hajali chochote. Inaudhi.
 
Maxence Melo
Kama inawezekana, uwekeeni pin huu uzi ili uweze kubaki juu wakati wote.

Ndugu wana diaspora wa Kitanzania, hususan kwenye nchi za Ulaya Magharibi, Scandinavia, Marekani, Canada, na hata Kenya pia, katika kuhakikisha tunamwajibisha Samia, tusimuache aishi wala kusafiri kwa faraja kwenda kwenye hizi nchi ambazo zinaheshimu haki za binadamu na zina uhuru mkubwa wa watu wake kujieleza.

Tuhakikishe kuwa, endapo itatokea huyu mtu anasafiri kwenda kwenye moja ya hizo nchi, basi Watanzania wote wapenda haki na walioumizwa na mauaji aliyoyafanya Oktoba 29, tunampa wakati mgumu sana kwa kuandamana alipofikia, atapotembelea, na popote pale atapoonekana akiwa huko.

Mimi na watu wangu tumeshajiandaa kikamilifu kuandamana na kumpinga, kumzomea, na kumfanya mengine ambayo kwa sasa ni siri yetu.

Hatutanii. Ajichanganye aje pande hizi aone. Huku hatuwaogopi hao wanaomlinda. Wakileta za kuleta, tutawapatia wanachokitaka.

Haiwezekani na haikubaliki kabisa aue Watanzania wasio na hatia yoyote ile kisa tu aendelee kutawala.

Hivyo basi, Watanzania muishio kwenye nchi za magharibi, jipangeni kwa namna muwezavto kumkabili endapo ataleta pua yake sehemu ambazo mpo.

Na siyo lazima muwe kwenye vikundi. Hata mtu binafsi tu unaweza kupanga jinsi ya kumkabili endapo atakuja sehemu ambayo nawe upo.

Wana diaspora hatuna kabisa sababu ya kumuogopa huyo mtu.

Yeye yupo upande wa uovu na sisi wema upo upande wetu. Na daima siku zote wema huushinda uovu.

Tumwandame huyu mtu mpaka awajibike.
nonsense 🐒
 
We jamaa akili yako ndogo sana wewe , Mange n.k

Ni kweli mabadiliko yanahitaji ila njooni ktk ground tuyapambanie kwa pamoja
 
We jamaa akili yako ndogo sana wewe , Mange n.k

Ni kweli mabadiliko yanahitaji ila njooni ktk ground tuyapambanie kwa pamoja
Kwa vipi? Wakati wakija Kwa pamoja watu wema kama kina lissu mnawatengenezea zengwe kuwatoa kwenye bunge na kuwauwa? Yani nyie njia za amani hamzitaki hii ni danganya toto...! Bunge la SAMWEL SITTA lilikuwa Bora sana kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu ila mkalihujumu na chaguzi fake kununua wapinzani Kwa fedha za umma na mkamalizia na kumpiga LISSU risasi kwahiyo nyie sio watu wa kuaminika Kwa hoja kama hii yako eti tuyapambanie mabadiliko Kwa pamoja shenzi kabisa.
 
Back
Top Bottom