Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 775
MimibabaKwa utendaji wa Kurugenzi ya Habari ya CHADEMA nina imani kabisa watabandika kitu hapa JF kutueleza kilichojiri. Nawamini kwa sababu HAWAKURUPUKI
===> Kurugenzi ya Habari hapa ndio wajue kuwa haya malalamiko yapo,na ni vizuri ya kuyafanyia kazi,sio kuyatolea tamko tu.
Last edited by a moderator: