Wito kwa wana CHADEMA wote!

Wito kwa wana CHADEMA wote!

Hivi Mwigamba ndiyo Samson Mwigamba? Kama ni yeye basi kajianika sana hapa. Ukisikia SOO basi ndiyo hili. Sijui kama atarudi tena hapa kuandika zaidi hii habari yake.
 
Samson Mwigamba, wewe ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha ....hii Angalia ulivyojisahau na kuweka I'd ya komputa yako hapo chini, ni aibu na Mungu huwa ananjia za kuumbua wanafiki........

Haki sawa

Mbali ya kwamba hakuna hoja yenye ukweli katika hilo andiko, kwamba hakuna kitu kimeandikwa hapo ambacho tunaweza kukipatia majibu yenye ukweli, unaotokana na facts, ni vyema jambo hilo ambalo nawe umeligundua, ambalo nami nimeliona hapa, wakati napitia andiko hili kwa makini kabla ya kujibu, nilitafutie ufafanuzi.

Asante.

Makene

0752 691569

 
Soma bandiko #23

Mtu yeyote mwenye akili ya kuhoji mantiki na kutafuta ukweli kwa facts, anaweza kudiriki kuita hiki kitu ni porojo zile zile, zenye malengo yale yale pengine na watu wale wale (naweza kumalizia kitu kingine...).
Tunaweza kujibu andiko lote hili. Lote kabisa kuonesha kuwa ni ---- yenye mission yake. Lakini jina linaloonekana hapo chini kuwa ni ID ya mmiliki wa kompyuta iliyopost hii thread, inanilazimu kufuatilia kwanza kujiridhisha, kisha tuweke kumbukumbu sawa hapa kwa kujibu hoja kwa hoja.

Asanteni.

Makene

0752 691569
Mimibaba na Tumaini Makene
===>Pamoja na kujibu au kujiridhisha nani ametuma hiyo habari,lakini pia ni vizuri mkija na majibu ya hayo ambayo yameulizwa,maana yameleta habari mpya ambayo inazua udadisi wa watu kutaka kujua kinachoendelea ndani ya CDM
 
Last edited by a moderator:
Yeye kama Mwenyekiti wa Mkoa ameshughulikiaje hiyo ratiba alizosema kwenye mkoa wake .? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

kwa akili yake hawezi kufanya lolote, angekuwa na akili nzuri angepeleka haya kwenye vikao halali vya chama ! Sitashangaa kusikia kesho kawafuata akina mwampamba

hoja yake hapa ni mashambuzi nachuki binafsi kwa Mbowe hakuna jipya
 
CDM hawawezi kujibu hizi tuhuma kwani ni chama ambacho hata ukiwaambia mazuri Kwao ni mabaya na kuanza kuporomosha mitusi mikubwa mikubwa!

Wafuasi wa CDM msiwe na haraka kufanya uchaguzi subirini hadi 2030 mtafanya maana mtakuwa mmeimarika Kama Dr Slaa alivyowahi nena!

Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia!
 
Haki sawa

Mbali ya kwamba hakuna hoja yenye ukweli katika hilo andiko, kwamba hakuna kitu kimeandikwa hapo ambacho tunaweza kukipatia majibu yenye ukweli, unaotokana na facts, ni vyema jambo hilo ambalo nawe umeligundua, ambalo nami nimeliona hapa, wakati napitia andiko hili kwa makini kabla ya kujibu, nilitafutie ufafanuzi.

Asante.

Makene

0752 691569


Kama hajakupigia,mpigie utupe update.Pengine atasema kuna mtu katumia kompyuta yake.Halafu itaanza vuta nikuvute ya nani aliyeitumia nk.

Personally,guts zangu zinaniaminisha ni yeye,hopefuly atakuwa bold enough na kujitokeza,hilo litasaidia mjadala kuwa constructive na wa hoja kwa hoja.
 
Malalamiko kuhusu cdm kwanini yatoke lumumba ?
Erythrocyte
===>Haya ni ya kufanyia kazi,mna ushahidi gani kuwa yametoka lumumba?
===>Mnafikiri wanachama wenu hawana malalamiko?misuguano na mijadala tofauti katika taasisi kama CDM ni ya kawaida,kikubwa hapa ni kufanyia kazi suala hili,na kama limeanza kuongelewa na Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha mji ambao ni ngome ya CDM basi ujue suala hili sio dogo kama ambavyo wanafikiria
===>Na ni vizuri busara ikatumika kulitafutia ufumbuzi badala ya kuanza kufukuzana.
 
Last edited by a moderator:
CDM hawawezi kujibu hizi tuhuma kwani ni chama ambacho hata ukiwaambia mazuri Kwao ni mabaya na kuanza kuporomosha mitusi mikubwa mikubwa!

Wafuasi wa CDM msiwe na haraka kufanya uchaguzi subirini hadi 2030 mtafanya maana mtakuwa mmeimarika Kama Dr Slaa alivyowahi nena!

Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia!

Acapela ya ruzuku imekwama , ya uswis mmekiona cha moto , maana majina halali mmewekewa humuhumu , sasa mmekuja na upuuzi mwingine , eti ushauri ! Tangu lini wahalifu wakawapa ushauri watu wema ?
 
Kama hajakupigia,mpigie utupe update.Pengine atasema kuna mtu katumia kompyuta yake.Halafu itaanza vuta nikuvute ya nani aliyeitumia nk.

Personally,guts zangu zinaniaminisha ni yeye,hopefuly atakuwa bold enough na kujitokeza,hilo litasaidia mjadala kuwa constructive na wa hoja kwa hoja.
jmushi1
===>Na pia sio vibaya hizi hoja zikajibiwa,kwani ni uongo uchaguzi haujaitishwa?Kuna mtu au uongozi ambao umeshawahi kutoa tamko kuhusiana na hili?
 
Last edited by a moderator:
CDM hawawezi kujibu hizi tuhuma kwani ni chama ambacho hata ukiwaambia mazuri Kwao ni mabaya na kuanza kuporomosha mitusi mikubwa mikubwa!

Wafuasi wa CDM msiwe na haraka kufanya uchaguzi subirini hadi 2030 mtafanya maana mtakuwa mmeimarika Kama Dr Slaa alivyowahi nena!

Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia!

hakuna hoja ya kujibu kwani hizo ni chuki zake na Mbowe, yeye anama kazi anayofanya Mbowe na hali za chama hadi sasa
 
mimi naona kuna kitu hakiko sawa chadema,sema jamaa wanatishwa sana wanaogopa kusema ukweli na matokeo ndio aya..mbowe na kikundi chako iki chama ni wakati sasa kiwe cha kitaifa,kiwe mikononi mwa umma sio kikundi chenu kidogo.
 
CDM uchaguzi bado, utafanyika tu mapema iwezekanavyo. Haitafika hadi 2029 watafanya tu. wafuasi wa CDM musiwe na haraka!

NO HURRY in Africa! Bado wanaimarisha chama vuteni Subra. Mwenyekiti ni mkwe wa mwenye chama anaweza kukaa hadi kufa wao ndio wenye chama!

Halafu ndani ya CDM hutakiwi kuuliza maswali kwa viongozi wako ni dhambi kubwa! Maamuzi ya chama ndani ya chadema hayaulizwi! Jambo lolote linalomuhusu Mbowe na Slaa marufuku kuhoji maana hawa ni untouchable! Zitto unaweza hoji na kuungwa mkono na pande zote!

Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia
 
Huyo mwigamba anatumika kama ndomu pamoja ni vibaraka wenzie,hata akistaafu mbowe nawahakikishia kuwa hatutaruhusu wanafiki na wasaliti kuongoza chama chetu.mamluki wote jipimeni na mchukue hatua mapema maana kusudio lenu halitatimia.TUNAMTAKA M/KITI MPAMBANAJI NA SI WALE WANAOSIFIWA NA MAGAMBA DAILY HAPA JAMVINI.kama wanataka uongozi waende magambani wakagombee.OVA
 
Kama hajakupigia,mpigie utupe update.Pengine atasema kuna mtu katumia kompyuta yake.Halafu itaanza vuta nikuvute ya nani aliyeitumia nk.

Personally,guts zangu zinaniaminisha ni yeye,hopefuly atakuwa bold enough na kujitokeza,hilo litasaidia mjadala kuwa constructive na wa hoja kwa hoja.

Jadilini hoja,acheni kujadili mtoa hoja...mbowe sio chadema,,kama mbowe hatakiwi kuguswa au mchaga yoyote hapo cdm basi msijiite nguvu ya uma jiiteni nguvu ya moshi.
 
Katiba ya CDM haina ukomo unaweza kuwa Mwenyekiti hadi kufa kikubwa uwe mchaga na ukioa Ule ukoo wa mabasi Yale ya Mtei aswaaa utakaa milele!

Ukitokea kigoma, mtwara au Singida hapa kwetu ndio usahau kabisa!

Hii ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia
 
hakuna hoja ya kujibu kwani hizo ni chuki zake na Mbowe, yeye anama kazi anayofanya Mbowe na hali za chama hadi sasa

mbowe ni kiongozi wa maisha chadema,,amesaidia sana kuimarisha chama bado hatujaona wa kumpa chama na anaemkosoa mbowe na slaa ni msaliti sababu awa ni malaika..
 
Acapela ya ruzuku imekwama , ya uswis mmekiona cha moto , maana majina halali mmewekewa humuhumu , sasa mmekuja na upuuzi mwingine , eti ushauri ! Tangu lini wahalifu wakawapa ushauri watu wema ?

uchaguzi lini?
 
Back
Top Bottom