Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,947
NO, NO, NO,...
TUNAJENGA CHAMA KWANZA! ...
Dokta Slaa
TUNAJENGA CHAMA KWANZA! ...
Dokta Slaa
Said BagaileMagamba bana! Mpini aukalie mwingine, mauno mkatike nyie. Sijaonaga Unafiki wa kiwango kikubwa namna hii. Sisi Chadema tumetulia tulii, nyie Magamba ndio mnaweweseka. Hata kama hamumtaki Mbowe kwasababu anawatesa, yeye ndiye atakayeendelea kuwatesa mpaka 2015 mtakapopelekwa kaburini. Dadadadeq!
Hatubadilishi uongozi kwasasa, Mapandikizi mliyoyaandaa ili yaje kuchukua uongozi mtapiga nayo picha mwaka huu, lazima yawadodee. Dadeq!
Chris LukosiNO, NO, NO,...
TUNAJENGA CHAMA KWANZA! ...
Dokta Slaa
hizo ni hadithi za bunuasi or fisi na sungura, Chadema ata wabunge 25 hawatafika na amini majimbo yote ya mjini yanaludi Ccm. kufanyika kwa uchaguzi chadema ni lazima kumbukeni Chadema ni Taasisi, lazima uchaguzi uweopo.
Samson Mwigamba, wewe ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha ....hii Angalia ulivyojisahau na kuweka I'd ya komputa yako hapo chini, ni aibu na Mungu huwa ananjia za kuumbua wanafiki........
Yeye kama Mwenyekiti wa Mkoa ameshughulikiaje hiyo ratiba alizosema kwenye mkoa wake .? Huu ni unafiki wa hali ya juu.Haki Sawa
===>Bora amesema,inawezekana ni ishu ambayo ina malalamiko ya chini kwa chini
Haki Sawa
===>Bora amesema,inawezekana ni ishu ambayo ina malalamiko ya chini kwa chini
Said BagaileDuh! Kweli Shetani hana urafiki wa kudumu na mtu! Leo hii anamvua bikini hadharani pandikizi lililokuwa litumalize kwa vipande thelasini vya CCM! Na bado wengine wataendelea kuumbuliwa mchana kweupe!!! Tulianza na Mungu.......
Yeye kama Mwenyekiti wa Mkoa ameshughulikiaje hiyo ratiba alizosema kwenye mkoa wake .? Huu ni unafiki wa hali ya juu.
===>Kama hamkutoa majibu ya kuridhisha mlitegemea nini?Kuna mabo ya kuandika JF na kuna mambo ya kutafuta majibu kupitia ngazi za chama. Ukishajihakikishia na majibu ya chama bado una haki na nafasi ya kuyaleta JF yakiwa yameiva.
Hapa Mwigamba kachemsha alitakiwa atupe majibu si maswali
Samson Mwigamba, wewe ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha ....hii Angalia ulivyojisahau na kuweka I'd ya komputa yako hapo chini, ni aibu na Mungu huwa ananjia za kuumbua wanafiki........
Mimibaba CDM inabidi waifanyie kazi hii kitu,narudia pale pale Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene kuna kitu mmeona hapa,fanyieni kazi,hata kama amesema nani,inaonekana kuna kitu kipo kinazungumzwa na vizuri mkafanyia kazi.Mkuu mimi nipo JF shabiki wa Jukwaa la Siasa sina nafasi yo yote ya kutoa jibu lo lote la kisiasa la chama cho chote, wala nafasi hiyo sitarajii kuipata. Ila kwa ushabiki tu, sipendi mwanasiasa anayeuliza maswali ambayo anatakiwa ayatolee majibu
Kwani lazima awe ni yeye?labda kuna mtu alikuwa anatumia computer yake.Sidhani kama ataendeleza tena juma lijalo ! Huku ndio kuchamba kwingi !
Mimibaba CDM inabidi waifanyie kazi hii kitu,narudia pale pale Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene kuna kitu mmeona hapa,fanyieni kazi,hata kama amesema nani,inaonekana kuna kitu kipo kinazungumzwa na vizuri mkafanyia kazi.