Wito kwa wana CHADEMA wote!

Wito kwa wana CHADEMA wote!

Wannabe be wa Chadema wana matatizo kweli.

Tatizo la ajila limeharibu akili za vijana sasa wanadhani siasa ni ajila! Janga.
 
Katiba ya CDM haina ukomo unaweza kuwa Mwenyekiti hadi kufa kikubwa uwe mchaga na ukioa Ule ukoo wa mabasi Yale ya Mtei aswaaa utakaa milele!

Ukitokea kigoma, mtwara au Singida hapa kwetu ndio usahau kabisa!

Hii ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia

Nape haitambui ile ziara ya kwenda kufanya uzinzi Marekani na Uingereza, pesa ya safari irudishwe haraka maana ni ruzuku inayotokana na kodi zetu.
 
Mbowe siyo kwamba amisaidia cdm tu, bali amechange sura nzima ya how politics is done in TZ, including ccm, bunge etc.

Acha kupiga kelele zako hapa, upinzani siyo lelemama, ukishindwa jiunge chama cha magamba.

I like your point...hoja yake ni ipi? apewe yeye uenyekiti? nani anamuona anaweza kufanya ambacho Mbowe hajafanya..? I sense something from L7
 
Kwa jinsi CDM inavyopendwa kwa wakati huu, huyo Mwigamba hata akihamia kwa magamba wenzake ni sawa tu. CDM haitatikisika bali itakuwa ni sawa na unyasi mmoja unadondoka kutoka kwenye nyumba!!
 
Wannabe be wa Chadema wana matatizo kweli.

Tatizo la ajila limeharibu akili za vijana sasa wanadhani siasa ni ajila! Janga.

mbowe ni mungu mtu....akiguswa wachaga wote tunakufa na msaliti atayemsumbua.
 
CDM uchaguzi bado, utafanyika tu mapema iwezekanavyo. Haitafika hadi 2029 watafanya tu. wafuasi wa CDM musiwe na haraka!

NO HURRY in Africa! Bado wanaimarisha chama vuteni Subra. Mwenyekiti ni mkwe wa mwenye chama anaweza kukaa hadi kufa wao ndio wenye chama!

Halafu ndani ya CDM hutakiwi kuuliza maswali kwa viongozi wako ni dhambi kubwa! Maamuzi ya chama ndani ya chadema hayaulizwi! Jambo lolote linalomuhusu Mbowe na Slaa marufuku kuhoji maana hawa ni untouchable! Zitto unaweza hoji na kuungwa mkono na pande zote!

Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia

labda aungwe na magamba,hatuwezi mchagua mtu yeyote anayependekezwa na magamba,huko ni kukiweka chama chetu rehani.binafsi nilimkubali sana zitto ila kwa sasa nadhani inshu ya uenyekiti kwake ipo oversize.nipo mwanza na tupo imara.hatutetereki na mapambio yenu hapa jukwaani na nawaapia KWA NGUVU ZA MOLA HAMTAFANIKIWA KAMWE,GIZA HALIWEZI KUISHINDA NURU.
 
Acapela ya ruzuku imekwama , ya uswis mmekiona cha moto , maana majina halali mmewekewa humuhumu , sasa mmekuja na upuuzi mwingine , eti ushauri ! Tangu lini wahalifu wakawapa ushauri watu wema ?
Erythrocyte
===>Mimi naamini hapa kuna hoja,na inawezekana viongozi wa CDM hawajalitolea ufanunuzi hili suala,
===>Lakini viongozi wa CDM lazima wajue kuwa wao ni viongozi tu na pia wapo wanachama ambao wanahitaji kujua nini kinachoendelea kwenye chama chao.
 
Last edited by a moderator:
Mbowe ameleta changamoto kubwa katika medani za siasa za Tanzania. Hizi ni chuki binafsi tu kwa mheshimiwa Mbowe. Kwa hiyo unataka tukuchague wewe mamluki? Una nini kipya ndani ya CDM? Iwapo umechoka milango iko wazi uende kwa magamba wenzako!!!!
 
Hapa Tech.... Mmekamatwa, ni lazima kwa uwezo wa Bwn mafisadi wa CCM waondolewe magogoni, na kiongozi anayechukia ufisadi sio wasinii mapandikizi wa wezi!!!
 
Last edited by a moderator:
"nilibahatika kushika nafasi mbalimbali ndani ya chadema"ina mana sasa hivi hupo ndani ya chadema upo wapi?kilichokutoa chadema ni kitu gani?lumumba boy kalale.

mwigamba ni mwenyekiti wa cdm mkoa wa arusha
 
Hata za ccm hapa tabora mjini nyingine hazifanyi kazi maamuzi yetu ni kujaribu na ofisi nyingine hapa tanzania.....kwanini tuendelee kuwa conservatives.

pesa tamu muulize yuda
 
Mkuu Hiroshima umempasha kweli, yeye badala ya kuimalisha chama tuondoe uozo wa CCM,anangangana
kuyumbisha chama kwa hoja za kisaliti. Kama amechoka CDM, hamia CCM Baba Mkwe akupe kazi!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndiye mwandishi wa makala hii kama ID yake ya Computer aliyoitumia ilivyoonekama!!!

clip_image001.gif

Itaendelea juma lijalo…..
 
Vijana wa CHADEMA tuna matatizo mno, tumekuwa wapenzi mno hadi tunaona makosa si makosa, nyeupe ni nyeusi na si nyeupe. Uongozi lazima uwe ni wa kuachiana vijiti,hata kama tunaona Zitto hafai kuongoza tumpe Mh. Lissù. Huu ùhuni wa kung'ang'ania madaraka haukubaliki hata kidogo. Naona kumeibuka tabia ya kuattack watu na si kujadili hoja. Kwenye makosa turekebishe la sivyo wananchi hawatuelewa na 2015 tutaona EL huyo Magogoni.
 
Nape haitambui ile ziara ya kwenda kufanya uzinzi Marekani na Uingereza, pesa ya safari irudishwe haraka maana ni ruzuku inayotokana na kodi zetu.

aliye kwenda kuzin marekani ni slaa na demu wake
 
Naomba kumuuliza bwana Tumaini Makene swali:

Umesema huwezi kujibu chochote hadi pale utakapo jiridhisha kua alie post hapa ni bwana Mwigamba (au sio bwana Mwigamba). Hivi jibu lako litakua tofauti ikiwa ni yeye au sio yeye? Ukweli si ni ule ule, na hauhitaji kupikwa?
 
mbowe ni kiongozi wa maisha chadema,,amesaidia sana kuimarisha chama bado hatujaona wa kumpa chama na anaemkosoa mbowe na slaa ni msaliti sababu awa ni malaika..

unachuki na slaa we hujui ni chaguo la mungu
 
Back
Top Bottom