Wito kwa Miss Neddy

nijuavyo mie Excel ni senior bazazi..sijui kama atabadilika..lakini kama mdogo wetu ka fall deeply wacha waoane


Baba paroko amekataa kuwafungisha Ndoa
 
Last edited by a moderator:
Huyo anakuongopea kabisa mimi na uran hatuna undugu wowote ila nilitaka kumpindua sema mapinduzi yakagoma
 
Patamu usiniambie best yangu Daudi1 unapata jiko baada ya upweke na mahangaiko ya muda mrefu?
Usisahau tu kunitambulisha wifi tumlee kama yai.
Kaka yangu Excel ubazazi unamzidi.
 
Patamu usiniambie best yangu Daudi1 unapata jiko baada ya upweke na mahangaiko ya muda mrefu?
Usisahau tu kunitambulisha wifi tumlee kama yai.
Kaka yangu Excel ubazazi unamzidi.
Dah! nilikuwa nimekaa chini ya mwembe huku nikiwa na njaa naona embe limeanguka lenyewe acha nile
 
Dah! nilikuwa nimekaa chini ya mwembe huku nikiwa na njaa naona embe limeanguka lenyewe acha nile

Valentina shostito njoo huku luv, huku unakanwa leo. Yaani Daudi1 hafai kwa mafuta wala nazi. Ngoja siku umeme umkatikie si jenereta tu atakosa hata mshumaa hatouona. Yangu macho
 

hahahahahahahahaha hapa ndo unaponikoshaga maana wajua kucheza na vitenzi wacha kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
Valentina shostito njoo huku luv, huku unakanwa leo. Yaani Daudi1 hafai kwa mafuta wala nazi. Ngoja siku umeme umkatikie si jenereta tu atakosa hata mshumaa hatouona. Yangu macho
Kwani uran hamtoshi? mtaka mawili kwa pupa hukosa yote ngoja nitulie na mtoto nimpunguzie machungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…