Wito: Kampeni ya kum-follow Pompeo

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,320
Wale tuliofurahishwa na maamuzi ya Secretary Pompeo naomba tumfollow Twitter, tuvamie Twitter page yake na following za kutosha.

Kama ilivyo kwa watu wa mpira walivyofollow aston villa hadi wazungu wakajua tulivyofurahishwa na usajili wa Samatta kule kwao basi tumfollow Pompeo hadi ajue Watanzania wamefurahishwa na hatua ambazo wamechukua.

Hii itawapa moyo kuendelea kuchukua hatua nyingi zaidi kurejesha Tanzania yetu ya amani, upendo na ushirikiano ambao unaelekea kupotea kutokana na matukio ya kuuana, kutekana, kutupwa baharini nk kutokana na watu kama kina Bashite.

Tumuombe Pompeo amfungie jamaa mmoja anatoa mimacho kama mtu aliekamatwa ugoni.

Unamfollow na kulike ile tweet ya block ya Bashite. Tufikishe likes 15k ajue Watanzania tumeamua na tumefurahishwa sana.
 
Ok
tapatalk_1580061002910.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale tuliofurahishwa na maamuzi ya Secretary Pompeo naomba tumfollow Twitter, tuvamie Twitter page yake na following za kutosha.

Kama ilivyo kwa watu wa mpira walivyofollow aston villa hadi wazungu wakajua tulivyofurahishwa na usajili wa Samatta kule kwao basi tumfollow Pompeo hadi ajue Watanzania wamefurahishwa na hatua ambazo wamechukua.

Hii itawapa moyo kuendelea kuchukua hatua nyingi zaidi kurejesha Tanzania yetu ya amani, upendo na ushirikiano ambao unaelekea kupotea kutokana na matukio ya kuuana, kutekana, kutupwa baharini nk kutokana na watu kama kina Bashite.

Tumuombe Pompeo amfungie jamaa mmoja anatoa mimacho kama mtu aliekamatwa ugoni.

Unamfollow na kulike ile tweet ya block ya Bashite. Tufikishe likes 15k ajue Watanzania tumeamua na tumefurahishwa sana.
Nimefanya toka jana saa 4 usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajuua mnachokifanya????..... jibu ni hamjui....MAKONDA amepigwa ban kuingia marekani sababu alikua anapinga mashoga na si vinginevyo..... And that's why amempiga ban tu sababu wao wanatetea mashoga na wanaish nayo na evidence waliyonayo ni makonda kupinga mashoga ....... inamaana great thinker wa jf wengi ni vilaza.........so GT wa jf mnatetea mashoga?...tuache ujinga africans..hata tushoboke vp..Ss kwa mzungu ni nyani tu...mzungu hatokuja kututakia mema....na tuache kufuata mkumbo......kabla hujanijibu make sure una 4 degree.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom