Mkuu Fairplayer,
Heshima mbele sana, ni kwamba wote wawili ni washikaji wangu wa karibu sana, ndio maana nimekaa pembeni, ingawa ukweli ni kwamba Mama Janeti amekuwa kwenye kampeni kwa muda mrefu sana na anakubalika na wengi kumrithi anayeondoka,
Lakini Waziri Sophia, ameamua kutumia karata ya power na ukaribu na muungwana, maana huyu ni one of the most trusted soldier wa muungwana, kwa sababu at one time alikuwa mshikaji wa karibu sana na Mama Kilango, ndiye aliyewasiaidia sana Mtandao kumzidi kete Malecela, kwenye ule uchaguzi kwani aliwapa data zote kuwa jina la Malecela likiingia ndani ya NEC, they are done, kwa hiyo wakamzunguka kwa mstaafu wa uwt aliyekuwa close sana na Malecela, na hatimaye wakamkaba koo masikini ya Mungu Mkapa, Mtandao wakapita,
Mama Janeti, anajua kuwa sasa hapo ana wakati mgumu sana kushinda, maan you bet muungwana, atamsaidia Sophia, by any means necessary, na atashinda case close!
Hapa naona Mama Janeti anajaribu kutafuta sympathy ya public maana anajua kuwa uchaguzi umeshaisha tayari na ame-lost!
FM wenzenu kina nani wasiowaamini....
To me simba anafaa zaidi ya huyo mama kahama anayetafuta sympathy ya umma huku akijua ameanza dirty game longtime ili amrithi anna magret abdallah.
Acheni na morogoro nayo itoe mkiti walau wa uwt jamani
Philemon Mikael,Fundi Mchundo,Kuhani,FMES,...
..ile nidhamu ya Chama imeanza kupotea kwa kweli. naona sasa kila mtu anaropoka mitaani, kuanzia Msuya,Sumaye,Butiku,Warioba,Makamba,Nchimbi,...
..wakati wa Juliasi haikutokea wanachama wakatofautiana waziwazi tena kwa kuzungumza mitaani kama inavyotokea sasa hivi.
Hi ni treak ya washindani wa Aunt Sophy, kimsingi ktk wagombea wote yeye ndie aliyekuwa na nafasi ya kushinda nafasi kiulaini sasa ninashindwa kuelewa ni nani amemwingiza ktk trap hiyo? Yeye mwenyewe si mtu ushari kiasi ila ni lazima nikiri kuwa chaguzi za CCM ktk mikoa ya DAR -Morogoro mchezo huu ni wa kawaida sana ila kuna kitu behind hapa ambacho sisi hatujaonyeshwa na mlalamikaji na mlalamikiwa. Huenda PM anachosema kina ukweli ila ni vema tukajikita ktk kuichunguza hii hali vizuri maana akina Mamuya wako jiii nao wamechukua form pia.
Aunt Sophy , simama imara ktk hili maoni yako yahifadhi uyatumie ktk vikao halali vya chama na si magazetini maana kwa kuyaanika magazetini yalojiri kikaoni ni kukihujumu chama.
Steak ktk msimamo wako,
Tumia dada zako na kaka zako jipange uishinde vita hii ambayo tayari ishaonyesha adui zako wako tayari kukuangamiza kwa silaha yoyote ile.
To me simba anafaa zaidi ya huyo mama kahama anayetafuta sympathy ya umma huku akijua ameanza dirty game longtime ili amrithi anna magret abdallah.
Unajua mambo mengine bongo ni kulazimisha tu, lakini ukweli ni kwamba UWT watafanya nini ambacho CCM wameshindwa kukifanya kwa taifa letu? Hii nafasi zamani ilikuwa ya bure na hakuna aliyekosa usingizi nayo, mpaka Mama Anna Abadallah, alipoigeuza kuwa ni ya pamoja na ubunge kwa kumtumia rafiki yake na wa kusini mwenziwe Mkapa, sasa nafasi imekuwa nafasi,
What is at play hapa as I know ni:-
1. Hii nafasi Mama Anna Abdallah alipo igombea huko nyuma, aliipata kwa sababu ya kuwa na backing ya Mkapa, na pia kuwa the most senior katika wabunge wanawake.
2. Mara baada ya Mama Anna Abdallah kupewa hiyo nafasi, wakati huo Mama Kilango na Sophia wakiwa mashoga sana kwa pamoja, waliamua kugombea NEC kupitia UWT, kwa makusudi mazima Mama Anna Abdallah akawakata majina kwenye kikao cha CC ya UWT bila maelezo.
3. Sophia alipogombea ubunge wa viti maalum UWT, ni Mama Janeti akishirikiana na Mama Kilango, ndio waliompiga chini, alipojaribu kila njia kuwa mbunge wa kupitia viti vingine bado akapigwa vita sana na hao hao kina Janeti akashindwa, ndipo ikaja turufu ya muungwana ya ubunge wa bure na uwaziri juu kwa Sophia.
4. Kabla Sophia, hajakaa sawa kufikiria namna ya ku-revenge kwa Mama kilango na Janeti, wakatokea maadui wapya Mama Mbatia, na Buriani, vita ikawa kali sana mpaka ikabidi Sophia akaombe msaada kwa adui yake namba moja Mama Kilango, maana Buriani was too much kwake kwamba mshikaji wake muungwana hakuweza kuingilia hivyo vita, na hatimaye vita vikaisha kwa njia za kichini chini nyingi.
5. Sasa Mama Abdallah akapiga mahesabu na kuamua kuwa sio worhty etna wyeye kugombea tena maana kule UWT watamla mzima mzima, akaamua kujitoa mapema, all this time Mama Janeti amekuwa akipiga kampeni na kukubalika sana na ilikuwa inaelekea kuwa hana mpinzani, ndipo Sophia alipoamua kuja kulipa kisasi na pia kujiweka sawa na ubunge iwapo atakosa wa bure kwa muungwana, maana kuna viongozi wengi waliomsaidia muungwana kuwa rais, sasa hawahitaji tena hivyo amewatema tayari, ingawa kwa sasa Sohpia ni mmoja wa the wachache sana trusted wa muungwana,
6. Kwahiyo kinachoendelea sasa ni vita vikali sana ambavyo Sophia, ana uhakika wa kushinda, sasa ninaamini Mama Janeti anajaribu kutumia public kummuweka muungwana mbali na huu uchaguzi, maana bila mkono wake Sophia hawezi shinda, na kuukimbiza mkono wa muungwana dawa ni kupiga makelele ya mbweha! mbweha! maana yakizidi kutakuwa na attention kubwa huko kwenye uchaguzi wao na wananchi watadai haki na ikifanyika haki basi Sophia atakuwa nje!
My take:- ni kwamba sina uhakika na what UWT is doing kwa maendeleo ya taifa, huenda kuna something wanakifanya positive kwa wanawake kama kuna anything serious na taifa kutoka huku UWT, I would rather have Mama Janeti kwanza ni mtu mzima, ametulia na ni kichwa sana. Ninakumbuka last Krismas, nilialikwa kwenye dinner moja ambapo nilikaa meza moja na Mama Janeti na Karamagi, ukaanza mjadala mmoja very serious kuhusu faida na hasara za cellphone,
wooow! sikutegemea jinsi mama alivyokuwa anambana mbavu Karamagi enzi zile bado akiwa waziri, mama akidai kuwa hizi cell bongo tunazirukia tu lakini zina madhara makubwa sana kwa afya zetu, kuna wakati nilidhani zitaruka ngumi, lakini pakatulia kwa kweli mama alinimaliza na hoja zenye utafiti na za kisomi na hasa kutokuogopa, I was very pleased na ile perfomance ya mama, maana alikuwa akiwaongela wanyonge tunaorukia hizi sumu bila kujua madhara yake.
Na siku zote Janeti ni mama mwenye busara nzito sana, kwa sababu Sophia bado kidogo, ingawa pia ninamheshimu sana kwa msimamo, kwa sababu kama sio yeye mpaka leo Chenge angekuwa bado waziri. Lakini busara ya kuwaongoza wanawake wote Tanzania, siamini kuwa ameifikia tayari na hasa kuhusiana na haya matusi na rushwa ninazozisikia zinatembezwa sasa hivi kwa jili ya hiyo nafasi. Wananchi tujiulize, hivi huko kwenye huu uongozi wa siasa ziku hizi kuna nini hasa mpaka imekuwa vita kiasi hiki?
Maana niliyoyasikia leo huko ndani kuhusu hivi vita vya hawa wawili sio masihara, halafu nasikia kuwa imezuka vita kali kweli kati ya Makamba na Komba, nasikia huko nako ni moto wakuotea mbali sana, sasa hivi huku CCM kuna nini hasa?
Mungu Aibariki Tanzania.
Unajua mambo mengine bongo ni kulazimisha tu, lakini ukweli ni kwamba UWT watafanya nini ambacho CCM wameshindwa kukifanya kwa taifa letu? Hii nafasi zamani ilikuwa ya bure na hakuna aliyekosa usingizi nayo, mpaka Mama Anna Abadallah, alipoigeuza kuwa ni ya pamoja na ubunge kwa kumtumia rafiki yake na wa kusini mwenziwe Mkapa, sasa nafasi imekuwa nafasi,
What is at play hapa as I know ni:-
1. Hii nafasi Mama Anna Abdallah alipo igombea huko nyuma, aliipata kwa sababu ya kuwa na backing ya Mkapa, na pia kuwa the most senior katika wabunge wanawake.
2. Mara baada ya Mama Anna Abdallah kupewa hiyo nafasi, wakati huo Mama Kilango na Sophia wakiwa mashoga sana kwa pamoja, waliamua kugombea NEC kupitia UWT, kwa makusudi mazima Mama Anna Abdallah akawakata majina kwenye kikao cha CC ya UWT bila maelezo.
3. Sophia alipogombea ubunge wa viti maalum UWT, ni Mama Janeti akishirikiana na Mama Kilango, ndio waliompiga chini, alipojaribu kila njia kuwa mbunge wa kupitia viti vingine bado akapigwa vita sana na hao hao kina Janeti akashindwa, ndipo ikaja turufu ya muungwana ya ubunge wa bure na uwaziri juu kwa Sophia.
4. Kabla Sophia, hajakaa sawa kufikiria namna ya ku-revenge kwa Mama kilango na Janeti, wakatokea maadui wapya Mama Mbatia, na Buriani, vita ikawa kali sana mpaka ikabidi Sophia akaombe msaada kwa adui yake namba moja Mama Kilango, maana Buriani was too much kwake kwamba mshikaji wake muungwana hakuweza kuingilia hivyo vita, na hatimaye vita vikaisha kwa njia za kichini chini nyingi.
5. Sasa Mama Abdallah akapiga mahesabu na kuamua kuwa sio worhty etna wyeye kugombea tena maana kule UWT watamla mzima mzima, akaamua kujitoa mapema, all this time Mama Janeti amekuwa akipiga kampeni na kukubalika sana na ilikuwa inaelekea kuwa hana mpinzani, ndipo Sophia alipoamua kuja kulipa kisasi na pia kujiweka sawa na ubunge iwapo atakosa wa bure kwa muungwana, maana kuna viongozi wengi waliomsaidia muungwana kuwa rais, sasa hawahitaji tena hivyo amewatema tayari, ingawa kwa sasa Sohpia ni mmoja wa the wachache sana trusted wa muungwana,
6. Kwahiyo kinachoendelea sasa ni vita vikali sana ambavyo Sophia, ana uhakika wa kushinda, sasa ninaamini Mama Janeti anajaribu kutumia public kummuweka muungwana mbali na huu uchaguzi, maana bila mkono wake Sophia hawezi shinda, na kuukimbiza mkono wa muungwana dawa ni kupiga makelele ya mbweha! mbweha! maana yakizidi kutakuwa na attention kubwa huko kwenye uchaguzi wao na wananchi watadai haki na ikifanyika haki basi Sophia atakuwa nje!
My take:- ni kwamba sina uhakika na what UWT is doing kwa maendeleo ya taifa, huenda kuna something wanakifanya positive kwa wanawake kama kuna anything serious na taifa kutoka huku UWT, I would rather have Mama Janeti kwanza ni mtu mzima, ametulia na ni kichwa sana. Ninakumbuka last Krismas, nilialikwa kwenye dinner moja ambapo nilikaa meza moja na Mama Janeti na Karamagi, ukaanza mjadala mmoja very serious kuhusu faida na hasara za cellphone,
wooow! sikutegemea jinsi mama alivyokuwa anambana mbavu Karamagi enzi zile bado akiwa waziri, mama akidai kuwa hizi cell bongo tunazirukia tu lakini zina madhara makubwa sana kwa afya zetu, kuna wakati nilidhani zitaruka ngumi, lakini pakatulia kwa kweli mama alinimaliza na hoja zenye utafiti na za kisomi na hasa kutokuogopa, I was very pleased na ile perfomance ya mama, maana alikuwa akiwaongela wanyonge tunaorukia hizi sumu bila kujua madhara yake.
Na siku zote Janeti ni mama mwenye busara nzito sana, kwa sababu Sophia bado kidogo, ingawa pia ninamheshimu sana kwa msimamo, kwa sababu kama sio yeye mpaka leo Chenge angekuwa bado waziri. Lakini busara ya kuwaongoza wanawake wote Tanzania, siamini kuwa ameifikia tayari na hasa kuhusiana na haya matusi na rushwa ninazozisikia zinatembezwa sasa hivi kwa jili ya hiyo nafasi. Wananchi tujiulize, hivi huko kwenye huu uongozi wa siasa ziku hizi kuna nini hasa mpaka imekuwa vita kiasi hiki?
Maana niliyoyasikia leo huko ndani kuhusu hivi vita vya hawa wawili sio masihara, halafu nasikia kuwa imezuka vita kali kweli kati ya Makamba na Komba, nasikia huko nako ni moto wakuotea mbali sana, sasa hivi huku CCM kuna nini hasa?
Mungu Aibariki Tanzania.
Field Marshall,
Hii inaweza kuwa ni posti yako ya kwanza ever ambayo sina tatizo nayo at first blush. Kwa sababu hukuiweka kama factual presentation kutoka kwa vyanzo vyako vya dataz. Kwa hiyo hata nikikutana na kitu ambacho naki doubt sishtuki na kukushambulia kwa sababu umeshatoa disclaimer. Sasa ngoja nikaisome, maana inakaribisha toka mwanzo.
Halafu acha kuniutmia tumia messgae kwenye PM za kujikomba komba, ndio maana huwa sijibu maaana nasikia kutapika nikiziona!
Ahsante Mkuu!
Quote: Kuhani
Ha haaa ahaaaaaaa You are so funny, you know that right? So funny. Kwa nini unapenda kutengeneza hadithi we mtu? Mtu mzima, duuuh! Je siku nikikutumia e-mail kweli si ndio utaipeleka NIPASHE. Sawa Mkuu.
Kuhani :Kuhani has no status.
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2008
Re: Bodi, shule ya Dr. Masau: Cheti chake hakimruhusu kupasua watu
Originally Posted by Lusajo
Sasa kama hakusoma/ kusomea Texas hiyo "DR" kaitoa wapii/ yaani hajawahi kusoma mahali popote pengine zaidi ya TX? nadhani alikuwa Daktari kabla ya kwenda TX au?
Chochote alichosomea huko muhimbili na kwingine hakikuwa upasua moyo. Yeye mwenyewe anasema kwenye website yake kwamba kajifunza upasua moyo Marekani. Tatizo ni kwamba waliomfundisha Marekani wanasema huwezi kujifunza upasua moyo kwa kutazama tu.
Upasua moyo huwa ni residency ya miaka minne. Unapasua mioyo ya watu kwa miaka minne mafunzoni. Dk. Masau hakuwahi kugusa mgonjwa mafunzoni. Yani mafunzo yake hayakubaliki huko katika nchi aliyosomea.
Sasa kama hafai kupasua moyo wa watu wa huko alikosomea sisi ndio kuku wa yeye kujifunzia ?
Kuhusu success rate yake, data niliyoipata ni ya zamani. Alikuwa ana success rate ya 62% mwaka 2003. Na hiyo ni data aliyoitoa mwenyewe. Inaweza ikawa chini ya hapo, kwenye hamsini na.
Yani kwa wastani alikuwa akigusa wagonjwa wawili mmoja lazima afe!