Hakika, hatuko salama, hatukuwa salama, na hatutakuwa salama.Mizaha mizaha tu, maisha ya watanzania yanapotea hivi hivi tu.Si mara ya kwanza, nasema na kwa uthabiti kabisa, si mara ya kwanza, tumechoka, enenda zako!!!!:sad:
Hakika, hatuko salama, hatukuwa salama, na hatutakuwa salama.Mizaha mizaha tu, maisha ya watanzania yanapotea hivi hivi tu.Si mara ya kwanza, nasema na kwa uthabiti kabisa, si mara ya kwanza, tumechoka, enenda zako!!!!:sad:
Mpaka jamaa anatoka madarakani cha moto tutakua tumekiona!!
Wangesema hizi ni njama za kile chama cha .............. kuvuruga ushindi wa kishindoimagine leo ingekuwa siku ya uchaguzi mkuu..............!!!!!!
Mkuu Mallaba , itakuwa ngumu sana kama teuzi zitafuata mtu anayependwa Jeshini , labda kama mtazamo ndio huo basi katika mabadiliko ya katiba watoe mapendekezo CDF awe anapikiwa kura na jamii ya TPDF - LOLhata mimi nimeongea na jamaa yangu mjeshi kaniamabia kuna hali ya kinyongo miongoni wa wajeshi. hawamtaki shimbo na mwamnyange kwa sababu uteuzi wao ulizingatia uswaiba badala ya weledi. tena kasema kimsingi hao jamaa niliowataja hapo juu hawana sifa kwenye nafasi hizo ila mkuu kawapa kishikaji .
halafu huyu rais si alikuwa ni mwanajeshi? au ni rais buyu
wangekuwa wanafukuzwa hivyo mbona maisha yangekuwa marahisi sana? ila tupo pamoja ndugu. Hakika hatuko salamaHakika, hatuko salama, hatukuwa salama, na hatutakuwa salama.Mizaha mizaha tu, maisha ya watanzania yanapotea hivi hivi tu.Si mara ya kwanza, nasema na kwa uthabiti kabisa, si mara ya kwanza, tumechoka, enenda zako!!!!:sad:
na bado mpaka mkome,si mlimchagua wenyewe?
na bado mpaka mkome,si mlimchagua wenyewe?