Nani kalia wakati tuliambiwa tusinyimane...hajawahi kukigawa even once,wanamsarandia tu na kifanyio chakekaah...... Kumbe wewe ndio unaye muharibu mumeo, sasa mbona akianza kukigawa unalialia!!!????
Huko ndio unakoniwezea loltwende ukaoge basi
Inahuuuuutajibeba!!!!
Duh aisee siamini uporoto01 km ni wewe khaaaa
Ngoja nimuite sweetlady Kabakabana klorokwini na Husninyo waje aisee dah longtime sana.
BTW nimefurahi kiukweli sana
ngoja niombe ruhusa kwa dada yangu ladyfurahia akikubali uje
Nna hasira leo sijala daku teh teh
u don't need to worry about me honey, mie ni wako daima..!!!!!!!!!
''My love for u is stronger than anything that tries to break us''
Cc: Ruttashobolwa, Bishanga, The secretary, Erickb52
Mungi nahisi Expire date yake ilikuwa 31 Dec 2013
Kwa sasa ni joka la kibisa ndio maana hata Lily Flower kala kona
We nae husikii wivu kwa majonjo ambayo sweetlady kamfanyia bwanako? Ama kweli penzi lako kwa Erickb52 ni la mashaka,halafu na wewe Nicas Mtei wewe.....subiri.
Cc: ndugu yangu nitonye
Miss you sana aiseenakumiss sana