Wishing you a holy good friday

Wishing you a holy good friday

Asante sana mdogo wangu KOKUTONA.
Hope ulikuwa na good Easter...... Mine ilikuwa mbaya sana. Ijumaa Kuu nilifiwa na my shem ambaye alikuwa karibu sana na familia yangu. Pasaka yoote tulikuwa msibani na tumezika Jumatatu ya Pasaka.
RIP my shem, We really miss you!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mdogo wangu KOKUTONA.
Hope ulikuwa na good Easter...... Mine ilikuwa mbaya sana. Ijumaa Kuu nilifiwa na my shem ambaye alikuwa karibu sana na familia yangu. Pasaka yoote tulikuwa msibani na tumezika Jumatatu ya Pasaka.
RIP my shem, We really miss you!!!!!
Ooooooh pole sana sana my dear, yaani poolee, pole hizi zimfikie na shemeji yanguu pia. Mungu akupe faraja katika wakati huu mgumu. Poleee mpendwa
 
Ooooooh pole sana sana my dear, yaani poolee, pole hizi zimfikie na shemeji yanguu pia. Mungu akupe faraja katika wakati huu mgumu. Poleee mpendwa
Amina mdogo wangu na asante sana......
Ni ngumu sana ila tunaamini Mungu pekee atatuvusha kwenye hili.
Mungu alimpenda zaidi, nisaidie tu kumwombea.
 
Amina mdogo wangu na asante sana......
Ni ngumu sana ila tunaamini Mungu pekee atatuvusha kwenye hili.
Mungu alimpenda zaidi, nisaidie tu kumwombea.

Tupo pamoja mpenzi wangu. Mungu ndiye mfariji wa kweli
 
amaaaa...............yani kweli unathibitishia ulimwengu wa jf kuwa smolu hauz yako ni babe Passion Lady.........
subiri..............ukigeuka upepo usije kulia.............

naskia rutta smolu house yake ni lara1
umemfanyaje tena mpaka akahama?
mi babe soso simkorofishi ng'oooo!!
 
Shoga huwez pendwaa na wote humuu mi napenda uwe unaniitaa popotee we niitee we jembee banaaaa alaaaa

Ntakua nakuitaa usijal diaaa niko poaa kabisaaa ndio kwanza nanenepaaa
 
babe mi opa sipendi,bora
hata karav 4 nyu model babe!!
love u mmmwaaaaah in the name of rav 4!!


View attachment 153815
attachment.php
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom