Wishing you a holy good friday

Wishing you a holy good friday

Last edited by a moderator:
Ahsante kwa response nzuri.

Yeah,hapa elimu sahihi na uelewa wa kutosha ndio silaha kubwa kupindukia kabla ya hela. Upotofu unaleta hofu, kutojiamini na mwishowe kusababisha watu kuwa na maamuzi ya mwisho na yasiyo na mabadiliko hata pale panapohitaji mawazo mapya. Pole kwa kukumbana na vipingamizi ktk kuunda jamii yenye dira sahihi.

Na ndio maana wenzetu wana vyama ambavyo ni conservative, democratic, liberal etc ambavyo vinapambana kuleta mabadiliko, kuzuia mabadiliko yasiyo na msingi etc.Katik vuta nikuvute huku ndipo panapofikiwa muafaka ambao unaweza kuwa optimum. Yaani panakuwepo na constant process ya kufikia equilibrium. Sasa kwa bongo hapa tunachagua moja na kubaki huko matokeo yake hakuna cha kuturudisha ktk dira na yeyote atakayejaribu hilo anahukumiwa kuwa mpotoshaji.

Kuhusu kutumia traditional products km ngombe wa kienyeji na si wa hawa wa kisayansi(hata wazungu nao wana wao wa kiasili japo wanapungua) hiyo nayo ni ishue. Tatizo la wabongo hatupendi alternatives "Na ndio maana naamini kabisa km mbongo ndiye angegundua pikipiki baada ya kugundua baiskeli basi basikeli zingepotea na maendeleo yake yasingefika hapa yalipo leo". Na ndio maana tunakimbilia kutaka jenga majengo yote ya sehemu za starehe kwa kutumia malighafi za bei mbaya, huku anakuaj mzungu anajenga mabanda ya makuti na kuchuma hela kibao na kuishia zake.Tatizo hapa si nini (what), ila ni how (yaani aje). Sasa sisi huwa tunaishia ktk nini (what?) na kushindwa angalia how?

TEF wanachoweza fanya ni kuanzia wazo pale


To you my love Jerrymsigwa
 
Last edited by a moderator:
Hayaa popote walipooo Gogle pole kwa kifungo Excel amu TATIANA ladykim/MENTION Gossipcowarumi lusungo Evelyn Salt, Tyta Karucee Jerrymsigwa Olesaidim qn of sheba ICHANA makoyo Majigo bila kumsahau mke mwenza wangu nyumba ndogo ambayo haina adabu abakorakamo pokea salam huko huko gerezanii ukirud utanikuta nimejaa telee kama ubwabwaa upoooooooooo

nawatakia ijumaa kuu njema na safi mbarikiweeeeee

i appreciate dina...pole kwa kifungo....welcome back tuliendeleze gurudumu la jf...
 
Thank you, na kwako pia

miss you much mtoto mzuri!

ndo nini kunipigia kimya hivyo jamani?

btw, mwenzio nalala strabag, si unajua tena mafuriko ya jangwani! lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom