Wishing you a holy good friday

Wishing you a holy good friday

miss you much mtoto mzuri!

ndo nini kunipigia kimya hivyo jamani?

btw, mwenzio nalala strabag, si unajua tena mafuriko ya jangwani! lol.

Asante, Majukumu yamekua mengi mpaka natamani kujikimbia.

hahaaaa pole ila angalau roho yako imesalimika
 
Napenda kuwatakia wadau na mmarafiki woote I jima a kuu njema.
Kumbukeni kutafuta AMANI na watu wote na kwamba amri kuu ni UPENDO.


Dark City
babu yangu holy good friday, Mume wangu kipenzi Eli79 Mwanyasi, kyanaKyoMuhaya , Fixed Point, @C6, charminglady Arabela, Ladymasa, Erickb52, BAK, CHUAKACHARA, @YYNNAH, Preta, PakaJimmy, kabanga, kiwatengu, shansarie, Kaizer, KakaKiiza, Arushaone< Mr and Mrs Filipo marejesho, Blaki Womani, Lily Flower, Preta, Maxence Melo, Jiwe Linaloishi, babu yangu Asprin, Mtambuzi, Mkirua, Madame B, amu, @Chocks, gfsonwins, IGWE, liverpoolFC, Mzee wa Rula, AshaDii, Mentor, Zinduna, kabanga, TANMO, Boflo, Nicas Mtei, The Boss, Mamndenyi, snowhite, BHULULU, janeth1, DEMBA, Valentina, Excel, Washawasha, Blue G, sweetlady, Lady doctor, Heaven on Earth wewe tukutane jumamosi saa 10 jioni, Eiyer, Karucee, Slave, Mr Rocky, Mwita Maranya, watu8, miss neddy, Ruttashobolwa, Mutta, Passion Lady, nitonye, Munkari, Baba V, Chimbuvu, judgement, Smile, Tized, Tuko, sosoliso, Paloma, Nivea, Fidel80, Vin Diesel, Ennie, mzabzab,

Na wooote kabisa, nawapenda sana eee

Tupia pia wishes zako kwa wapendwa wako hapa......

Asante kwa salamu njema. Nami nakutakia sikukuu njema yenye furaha tele. Tufufuke na Bwana Yesu!
 
na kwa wale wanachuo wooote waliohamia kwa ma bf/gf zao mara tu baada ya kumaliza vipindi va mwisho va alhamis salamu ziwafikie huko uhamishoni mlipo kwa muda!
 
Thanks a lot my daughter Lady doctor na niwatakie nyote pasaka njema
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom