Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthday dogo Erickb52
sweetlady kwen kamati ya vinywaji namba umwongeze Remmy na princess enny nina sababu zangu za binafsi na za lazma.
sIWAAMINI KABISA HAWA WABABA WAWILI NILIOPANGIWA NAO!..Wadada sina shida nao!Happy birthday
:A S-heart-2:
:A S 465: Happy birthday :A S 465:
VINYWAJI watakuwepo hawa wafuatao: Asprin , Kaizer, PakaJimmy, Preta na Blaki Womani ( PJ atakuwa msimamizi kwenye hili kundi )
Asante sana kiongozi!Happy Birthday Brother
Siku yako hii ikawe ya baraka na rehema na ubarikiwe kuishi maisha marefu yenye furaha na amani.
Mungu akujalie siku zako zikawe za heri uishi kuona kile ambacho Mungu amepanga katika maisha yako miaka yako ikawe kama ya Ibrahim yenye baraka tele.
Happy Birthday once again brother
sweetlady kazi yangu nishafanya na tutakuja baadae na my wife wangu Yummy kushangilia na kupata ulaji
Ila Erickb52 aangalie sana asimalize cake mapema
Happy birthday buddy Erickb52. Ukifikisha miaka 19 niambie nikukabiz mjukuu wangu ummu kulthum umkague. BTW karibu kwenye chama chetu cha walisogeleao kaburi. Chonde chonde uzee noumaaa!
Hahahaaa PakaJimmy usijali hawa jamaa wakishajidunga kama masaa mawili huwa wanapoteza network so hutakuwa na shida nao we waache wafakamie then inakula kwao muda si mrefusIWAAMINI KABISA HAWA WABABA WAWILI NILIOPANGIWA NAO!..Wadada sina shida nao!
Naomba sana nibadilishiwe, maana hawa wataathiri sana stock ya KONYAGI!
Nilifanya nao shughuli pale Mabwepande walivuruga sherehe, maana walisababisha wanywaji wa KONYAGI waondoke wakavu!
Naomba mleta mada fikiria upya, weka wengine wowote, lakini si hao wawili!
Tujali majaliwa na haki ya wanywa KONYAGI wengineo bana...khaaaa!
Hahahaha! FYI nshamkagua kwa ile ID nyingine....... STUKA!!! Baada ya ukaguzi nikamwambia abadili ID ili apekuliwe na vijana wangu. Si unajua tena vijana wakishajua nimekagua wanaogopa kupekua?
Kaka unamwaga kuku kwenye mchele kiduchu? Mi nadhani hii kamati imekamilika sema tu watuonngezee binti mmoja ili tukizidiwa vigezo na masharti vizingatiwe....sIWAAMINI KABISA HAWA WABABA WAWILI NILIOPANGIWA NAO!..Wadada sina shida nao!
Naomba sana nibadilishiwe, maana hawa wataathiri sana stock ya KONYAGI!
Nilifanya nao shughuli pale Mabwepande walivuruga sherehe, maana walisababisha wanywaji wa KONYAGI waondoke wakavu!
Naomba mleta mada fikiria upya, weka wengine wowote, lakini si hao wawili!
Tujali majaliwa na haki ya wanywa KONYAGI wengineo bana...khaaaa!
Haina shida, ntabakia na ummu kulthum na princess enny mie mwenyewe. Watanifaa sana kipindi wives zangu cacico, BADILI TABIA na Yummy watakapoanza kuchoka.Huyu miaka 19 bado sana yaani leo ndio kwanza katimiza 14yrz......utasubiri sana Asprin huyo ummu kulthumu mkabidhishe tu kwa platozoom !