Michael Andrew Jr
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 219
- 665
Wakuu kwema? Hivi mmejiuliza kama mimi huu utitiri wa kila anayejiona anafahamika na watu kutaka kua mbunge umetokana na nini? Waigizaji, waimba muziki, watangazaji na hata wadangaji maarufu nao wanataka kua wabunge. Je ni kweli wanautaka ubunge au wametumwa kwa malengo fulani fulani?
Ikiwa hawa wanasiasa wa kizazi kipya watapewa ridhaa ya kugombea na mwisho kuwa wabunge, vipi kuhusu nafasi ya wakongwe kwenye siasa hususani ndani ya chama tawala? Ni nini ambacho kinapangwa?? Maana haiwezekani kila mtu atake kua mbunge.
Roosevelt aliwahi kusema "kwenye siasa hakuna kitu kinaitwa bahati mbaya". By the way tusubiri tuone
Ikiwa hawa wanasiasa wa kizazi kipya watapewa ridhaa ya kugombea na mwisho kuwa wabunge, vipi kuhusu nafasi ya wakongwe kwenye siasa hususani ndani ya chama tawala? Ni nini ambacho kinapangwa?? Maana haiwezekani kila mtu atake kua mbunge.
Roosevelt aliwahi kusema "kwenye siasa hakuna kitu kinaitwa bahati mbaya". By the way tusubiri tuone