Windows 8 is out for use

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Naidownload now and ntawapa majibu namna inavyofanya kazi baada ya siku chache za kuitumia
 
Naidownload now and ntawapa majibu namna inavyofanya kazi baada ya siku chache za kuitumia

acha fix wewe. Win 8 itakua released mwishoni mwa mwezi wa kumi, hata Nokia Lumia haijatoka na ndo itakayointroduce win8. Check sources zako vizuri
 
acha fix wewe. Win 8 itakua released mwishoni mwa mwezi wa kumi, hata Nokia Lamia haijatoka na ndo itakayointroduce win8. Check sources zako vizuri

Tofautisha Windows 8 na Windows Phone 8, jamaa abaongelea Windows 8 ya Computer sio ya Simu
 
Tofautisha Windows 8 na Windows Phone 8, jamaa abaongelea Windows 8 ya Computer sio ya Simu

yeah microsoft corp wataintroduce win 8 to the world kwanza kwenye hii device ili wa2 waanze kupata feel of win8 afu ndo wanalipua win 8 kwa PC. Saw this on BBC click. Kipindi cha latest tech hiki
 
baba mzazi mm ninayo kwenye laptop yng,ila inaniboa haina wireless drivers kiasi cha kwamba cwez ku-access any wireless connection networks near me labda niwe na modem au nitumie cable,au kuna vitu natakiwa kufanya ila ipo bomba sana,nisaidie kama utaweza man,laptop yng ni mecer new brand kabisa
 
yeah microsoft corp wataintroduce win 8 to the world kwanza kwenye hii device ili wa2 waanze kupata feel of win8 afu ndo wanalipua win 8 kwa PC. Saw this on BBC click. Kipindi cha latest tech hiki

Nmekupata fresh
 
baba mzazi mm ninayo kwenye laptop yng,ila inaniboa haina wireless drivers kiasi cha kwamba cwez ku-access any wireless connection networks near me labda niwe na modem au nitumie cable,au kuna vitu natakiwa kufanya ila ipo bomba sana,nisaidie kama utaweza man,laptop yng ni mecer new brand kabisa

dats what they call Windows 8 consumer preview. Zipo tangu kati ya mwaka i think, ni beta version tu, real deal bado
 
yeah microsoft corp wataintroduce win 8 to the world kwanza kwenye hii device ili wa2 waanze kupata feel of win8 afu ndo wanalipua win 8 kwa PC. Saw this on BBC click. Kipindi cha latest tech hiki

Aaah mtu mzima taratibu wewe. Mbona ipo mtaani kitambo tu. mimeiweka kwenye pc mda tu, ndo hivo lakini haijatulia tu.
 
window 8 consumer preview kama jina linavojielezea ni ya kitambo tu,sema ilitolewa ili watu waipitie na kutoa maon but ipo poa kidogo
 
yeah microsoft corp wataintroduce win 8 to the world kwanza kwenye hii device ili wa2 waanze kupata feel of win8 afu ndo wanalipua win 8 kwa PC. Saw this on BBC click. Kipindi cha latest tech hiki
Mkuu mbona windows 8 pro washa release kitambo mi nimeshaijaribu nimeona ipo very compleceted nika unstall
 
Windows 8 is an operating system produced by Microsoft for use on personal computers, including home and business desktops, laptops,tablets, and home theater PCs.
Development of this operating system started before the release of its predecessor in 2009. Its existence was first announced in January 2011 at Consumer Electronics Show. During its development and test phases, Microsoft released three pre-release versions: Developer Preview (September 13, 2011), Consumer Preview (February 29, 2012), and Release Preview (May 31, 2012). On August 1, 2012, Windows 8 graduated from the development stage and was released to manufacturing. Windows 8 is slated for general availability on October 26, 2012.[SUP][2]

source: [/SUP]
Windows 8 - Wikipedia, the free encyclopedia


 
nimeitumia kwa wiko sasa windows 8 pro build 9200 final iko poa sana-its works much better than windows 7,kwa wakazi wa Moshi na Arusha-wani PM i will provide to them for free-NAWAKILISHA.
 
baba mzazi mm ninayo kwenye laptop yng,ila inaniboa haina wireless drivers kiasi cha kwamba cwez ku-access any wireless connection networks near me labda niwe na modem au nitumie cable,au kuna vitu natakiwa kufanya ila ipo bomba sana,nisaidie kama utaweza man,laptop yng ni mecer new brand kabisa

mi mwenyewe ninayo kwenye machine yangu japo inazengua inshort si yours friend kabisa aswa ktk start bar yake
 
Ndugu na jamaa, niliwaambia nilikuwa na download windows 8, Nimemaliza na nimepata siku 90 za kuifanyia evaluation na leo ni siku ya pili naitumia. Mpaka sasa haya ni maoni yangu.
  1. moja ina muonekano mzuri sana ila iko extremely complicated
  2. ina features nyingi sana lakini zaidi ya 75% zinataka uwe connected kwenye internet
 
Kwa sasa nina mwezi natumia hii Windows 8 Release Preview, ni nzuri sana na inafanya shughuli zangu zote hasa uki update windows after installing it.
Nakushauri usiweke anti virus nyingine sababu inakuja na antivirus ni ku update tu
Yeah kwa mimi XP na Win 7 ndo basi tena sitarudi kamwe huko maybe...

System Requirements
Windows 8 Release Preview works great on the same hardware that powers Windows 7:

  • Processor: 1 gigahertz (GHz) or faster
  • RAM: 1 gigabyte (GB) (32-bit) or 2 GB (64-bit)
  • Hard disk space: 16 GB (32-bit) or 20 GB (64-bit)
  • Graphics card: Microsoft DirectX 9 graphics device with WDDM driver

Additional requirements to use certain features:


  • To use touch, you need a tablet or a monitor that supports multitouch.
  • To access the Windows Store and to download and run apps, you need an active Internet connection and a screen resolution of at least 1024 x 768.
  • To snap apps, you need a screen resolution of at least 1366 x 768.
  • Internet access (ISP fees might apply

ISO images

  • An ISO image must be converted into installation media stored on a DVD or a USB flash drive. Instructions are provided on this page. Developer tools are available for download from Windows Dev Center.
  • Important: If you decide to go back to your previous operating system, you'll need to reinstall it from the recovery or installation media that came with your PC, which is typically DVD media. If you don’t have recovery media, you might be able to create it from a recovery partition on your PC using software provided by your PC manufacturer. Check the support section of your PC manufacturer’s website for more information. After you install Windows 8, you won’t be able to use the recovery partition on your PC to go back to your previous version of Windows.

  • English

    64-bit (x64) Download (3.3 GB) Sha 1 hash — 0xD76AD96773615E8C504F63564AF749469CFCCD57

    32-bit (x86) Download (2.5 GB) Sha 1 hash — 0x8BED436F0959E7120A44BF7C29FF0AA962BDEFC9

    Product Key: TK8TP-9JN6P-7X7WW-RFFTV-B7QPF


    Karibuni Windows 8:

UPDATE
Steve Ballmer, Microsoft CEO, keeps talking up the oncoming Windows 8. He insists that Windows 8 will most likely be the most significant product launch in the history of software giant.

2012-09-08T165749Z_1_CBRE8871A7U00_RTROPTP_2_NOKIA-MICROSOFT.JPG


Ballmer admitted that Windows 95 was undoubtedly the most important thing in the last two decades until now. Microsoft CEO believes that Windows 8 will certainly surpass it. During the interview to local media, Steve was so confident about Windows 8 that he wouldn’t even entertain the idea that the new OS and the software built around will be anything more than a huge success. His confidence is built on the idea that the computer market is stronger than it seems.

Ballmer claimed that there will be around 400,000,000 computers sold in 2013, which creates a huge market for Windows 8, which will propel that volume. Here Microsoft CEO comes up against analysts who believe that the personal computer has been replaced by the smartphone. In fact, they can prove this with computer sales drop.

But Ballmer may believe that computer sales decrease is probably due to the global economic recession. In addition, the software giant is not ignoring the tablet space, with the company going to start selling its new Surface tablet on the Internet and in Microsoft stores in October.

Nevertheless, it looks like Ballmer was preparing a spectacular own goal on that: according to the rumors, his tablet was to be cheap in order to win competition. But he admitted that the device wouldn’t be that cheap: $300 to $800. This changes things: such price would actually be surrendering the software market to Apple while leaving Ballmer dependant on Microsoft’s PC roll of the dice.


By:
Paxman
September 29th,2012
 
Back
Top Bottom