Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
kWA MARA NYINGINE TENA SIMBA KAUNGURUMA
unasemaWenzetu wanafikisha hizo viewes kwa instagram ndani ya masaa tu, huu pia ni mwanzo mzuri natumai nasisi tutafikia hatua hiyo
Wenzetu wanafikisha hizo viewes kwa instagram ndani ya masaa tu, huu pia ni mwanzo mzuri natumai nasisi tutafikia hatua hiyo
kwa Vyvyte vile huwez fananish msanii (comedian) marufu wa marekani na Msanii wa bongo/africaKuna video moja Kevin Hurt almost ndani ya masaa views mil 8
Wenzetu wanafikisha hizo viewes kwa instagram ndani ya masaa tu, huu pia ni mwanzo mzuri natumai nasisi tutafikia hatua hiyo
Sio hii chaliangu ile inaitwa The one ina views mil7 saiv,hii inaitwa InamaIle ngoma aliyoiba na kui sample kutoka Namibia ni ipi? Ndio hii au ile nyingine?
Mshauri aumize kichwa asitembelee nyota za watu watampausha kwa copyright.Sio hii chaliangu ile inaitwa The one ina views mil7 saiv,hii inaitwa Inama