Muungano wa kiuchumi Jumuiya ya Afrika mashariki hauwezi ukatokea

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Jun 3, 2018
726
1,850
Wanaofikiri/ wenye mawazo kwamba EAC jumuiya ya umoja wa Afrika mashariki ipo siku inaweza ikaungana wanajidanganya kama ilishindikana kwa kipindi kile ambacho nchi zetu zilikuwabado ni changa sioni kama sasa inawezekana na hata wakijaribu kuungana haitochukua muda watavurugana.

Kama sasahivi tu nchi za Afrika mashariki zinawekeana vikwazo vya kibiashara mipakani na tunasikia hakuna maelewano kati ya Rwanda na Congo hivi kwa akili ya kawaida nchi hizi zinaweza kweli kujifungamanisha katika uchumi mmoja.

Kuwa na Bank kuu moja inayowaunganisha? It doesn't make sense
 
Kipindi sahihi cha kufanya hii economic coalition ilipaswa kuwa enzi jumuiya inaundwa na nchi tatu. ( Kenya, Tanzania na Uganda).

Then nchi nyingine zikiomba uwanachama, wao wafit katika misingi iliyowekwa. Kama ilishindikana kuwa na soko huria pamoja na common currency kipindi icho, sitegemei maajabu kipindi hiki
 
Kipindi sahihi cha kufanya hii economic coalition ilipaswa kuwa enzi jumuiya inaundwa na nchi tatu. ( Kenya, Tanzania na Uganda).

Then nchi nyingine zikiomba uwanachama, wao wafit katika misingi iliyowekwa. Kama ilishindikana kuwa na soko huria pamoja na common currency kipindi icho, sitegemei maajabu kipindi hiki
Umeongea point ya msingi Sana kaka . Halafu sijajua utaratibuwao wa kukaribisha wanachama wapya huwa wanazingatia nini ? Maana Kuna nchi kuzipa uanachama ni kukaribisha Matatizo mapya mfano leo nimesikia Somalia amekuwa mwanachama SMH
 
Back
Top Bottom