Wimbo mkali kuliko zote katika Bongo Fleva...

Wimbo mkali kuliko zote katika Bongo Fleva...

Wakuu kiukweli nimesikiliza bongo fleva nyingi sana ni kama zote....

Kuna nyimbo kali sana zimewahi kutokea/kuimbwa na wasanii wa hapa Nyumbani. Ila kwa upande wangu hakuna wimbo unaoweza kuufikia "Gheto Langu" Wa Mangwea aliomshirikisha Mez B...

Wakuu huu wimbo ni mkali sana, kuanzia beat, chorus, idea na stahili ya kughani...

R.I.P Ngwea..



Je wewe kako unaona ni wimbo gani ni bora kuzidi zote??


Nje kidogo kuna studio ya kiaina
 
Nimechezea bahati Artist Simkumbuki ila Dully alishirikishwa


hii nyimbo namkumbukaga kipenzi changu dah 😂😂😂
 
Nang'atuka wa prof J, nau-relate na regime ya entrepreneur
 
Prof Jay- Jina langu
Prof Jay-Kikao cha dharura
Prof Jay-Ndiyo Mzee
Nilikuwa na ninamkubali sana prof Jay.
Kweny jina langu kuna mistari:

"Nikikosa hela washkaji wanatoweka"
"Nikirekebisha pumbafu wanasogea"

Sasa hivi Prof Jay anatamba na ngoma yake "Yatapita" aliyomshirikisha Harmonize.

Jamaa huwa anaumiza akili sana katika kuandika mambo yanayoakisi jamii.

Yaani, kama ni mchezaji wa kandanda tunasema anazeeka na kiwango chake.
 
"sio kama mimi sitaki demu,ila sijapata mwenye sifa...uzuri ulionao wewe ni kama malaika wangu.
anaeujua uu wimbo aweke jina lake APA na muimbaji.

Sijawahi kukaa nao mbali uu wimbo
 
Back
Top Bottom