Ebanae huo wimbo si mchezo...naona Pollow kaamua kufunika kwenye track ila Jeezy kachemsha kiaina, angemweka Luda ama TIP
Ebanae huo wimbo si mchezo...naona Pollow kaamua kufunika kwenye track ila Jeezy kachemsha kiaina, angemweka Luda ama TIP
Leo nilikuwa nawasikiliza sana U2.Leo hii nyimbo imenikaa sana kichwani...Feelin' on your booty...R. Kelly....booty...boooty...booohoooty...boohoooooooooty.......hahahahahaha....he's tupid
Naona ATL bado ina-dominate anga za hip-hop....thats whats up
Sawa mzee BENZINO tumekukubali hii ya COMMON nayo vipi?This Song Is One Hundred Percent Fire
http://www.zshare.net/audio/8127071f040e64/
Leo nilikuwa nawasikiliza sana U2.
R.Kelly ni genius, jamaa ana baadhi ya nyimbo zake very interesting kama mmoja unaitwa Sex Planet.
ATL kuna talents...sema akina Dem Franchize Boys, Soulja boy ndio wanachafua game.. Lil Jon kaishia wapi?
Tatizo la ATL ni one hit wonders kuwa wengi...nikianza kukutajia one hit wonders nitajaza ukurasa....Lil Jon naona ame-lay low sasa hivi lakini usishangae akiibuka kwa nguvu...
Kuna couple of artists niliwaona wakiperform kwenye club ATL next thing unawasikia wanadominated airwaves.
Monica nasikia amejifungua tena, Toni Braxton sijui amejificha wapi Da Brat naye sijui lini atatoa album kama Funkdafied.