Wimbi la wadada wa sasa kuzaa bila kuolewa chanzo ni nini?

Nimegundua Kwanini "Wadada" Wanasherekea "Birthday" Kama "Harusi" Sikuizi Maana "Ndoa" Zimekua "Bahati Nasibu" Kama Mchezo Wa "Biko"
1f602.png
1f602.png
1f601.png
1f601.png
1f60e.png
1f60e.png
 
Wanafikiri kubeba mimba ndio kuolewa mwishowe wanaachwa na kuzalia home
Unapoint. Itabid waamke kuwa kuzaa na mwanaume ambae unaona kabisa hana future na ww lakin ww unaamua kubaki nae ukiamin kuw ahiyo mimba itamfanya akutafute zaid. Umeumia.
 
Kwanza ni swala la wadada kuangalia mionekano ya wanaume badala ya mapenzi ya dhati, unakuta Dada anapendwa na jamaa ila ye hamtaki sababu hana muonekano, hivyo anaamua kuwa na jamaa mwenye muonekano ambao wengi ni mabishoo wasio na mbele wala nyuma matokeo yake wakiwapa mimba hao kina Dada wanashindwa kutimiza majukumu. Kingine kina Dada wanaangalia sana pesa kuliko upendo wa kweli, mwanaume najua kabisa we umenipendea pesa na huna mapenzi ya kweli na mimi hivyo ni bora tu nikuzalishe na nimhudumie mwanangu kuliko kuishi na wewe.
Una point brother. Pesa mbele kuliko utu vinauwa dada zetu hawa. Mwanaume anapohisi tu kuwa uko kwake kwa sababu fulani.. tayari anajisogeza mbali mapema.
 
Exactly, ndo maana siku hizo unakuta mtu anaoa Demu wa kawaida tu ambaye hana swaga wala nini maana hawa masista du wengi malaya
Kuna kaka angu mmoja alia binti wa huko kagera.. dada ninwa kawaida tu hana ule muonekano wa maslay queen.
Ndugu wa kike walimsema sana anaoa mke ambae hana mvuto ilihali yeye anapesa nyingi , aliwajib tu "siku mkikua mtaelewa".

Japo nikikuwa mdogo huu msemo niliubeba, na leo najiona kuwa alikuwa right kabisa. Ndoa is not about face na marangi rangi.. is about uvumilivu heshima adab na upendo wa kweli.
Ila madadaz wa dar hawataki kuelewa hili
 
Kuna kaka angu mmoja alia binti wa huko kagera.. dada ninwa kawaida tu hana ule muonekano wa maslay queen.
Ndugu wa kike walimsema sana anaoa mke ambae hana mvuto ilihali yeye anapesa nyingi , aliwajib tu "siku mkikua mtaelewa".

Japo nikikuwa mdogo huu msemo niliubeba, na leo najiona kuwa alikuwa right kabisa. Ndoa is not about face na marangi rangi.. is about uvumilivu heshima adab na upendo wa kweli.
Ila madadaz wa dar hawataki kuelewa hili
Hao madadaz sio wakuoa,hata kuwazalisha tu,labda iwe bahati mbaya
 
Wakuu habari,

Kumekuwa na wimbi kubwa la wadada wa sasa kuzalia nyumbani.

Wapo waliopata mimba kwa bahati mbaya..na wapo ambao wanaamua kuzaa tu kwa kuona umri umeenda.

Tujadili kwa undani...

Je chanzo cha haya yote ni nini?

Kwanini wadada hawaolewi?


Doncute
1. Wanadai wanaume wengi hawana vigezo wanavyovitaka.....
2. Wengi wanataka wanaume ready made... amkute ana hela, mali kedekede etc
3. Nyodo... zile za YOU ARE NOT MY TYPE
4. Muda mwingi kuutumia wakiwa na waliokata tamaa ya kuolewa, au walioachika mwisho wake wanaishi kama wao
5. Wengi hudhani ndoa ni utumwa... Yale mambo ya kumpikia, kumfulia etc mtu mwingine kwao ni utumwa
6. Wengine hawataki kupoteza identity.... Yaani kama mtoto akizaliwa hataki aitwe kwa jina la baba... MFANO, WEWE KAMA UNA MTOTO ANAITWA JOICY, basi shule akaandikishe JOYCE DONATILA....
 
Hao madadaz sio wakuoa,hata kuwazalisha tu,labda iwe bahati mbaya
Nikwambie tu shida yao wanajifanya wajuaji. Tena mmoja akaniwekea swag kuwa anachat tu kwa english, hajui kiswahili.
Ni slay queen , mtu anashinda saloon, hana future , anawaza kuhudhuria sherehe za watu muda wote.

Nika mtest kama kweli hajui kuandika kiswahili. Nikatuma mpesa na hela kidogo, akaniandikia "mbona umetuma hela nusu" nikamwambia mjinga ww unajifanya mzungu kumbe kiswahili unajua kuandika kabisa
 
1. Wanadai wanaume wengi hawana vigezo wanavyovitaka.....
2. Wengi wanataka wanaume ready made... amkute ana hela, mali kedekede etc
3. Nyodo... zile za YOU ARE NOT MY TYPE
4. Muda mwingi kuutumia wakiwa na waliokata tamaa ya kuolewa, au walioachika mwisho wake wanaishi kama wao
5. Wengi hudhani ndoa ni utumwa... Yale mambo ya kumpikia, kumfulia etc mtu mwingine kwao ni utumwa
6. Wengine hawataki kupoteza identity.... Yaani kama mtoto akizaliwa hataki aitwe kwa jina la baba... MFANO, WEWE KAMA UNA MTOTO ANAITWA JOICY, basi shule akaandikishe JOYCE DONATILA....
5 na 2 ,3 ndio zinawaangusha sana. Wengi wao wanakuja shtuka age imeshakwenda kabisaaa. Wanabaki kulalama
 
Tatizo akinadada wanajali kitu kuliko Utu kila mdada atakwambia anataka mwanaume tajiri wakati mama yake aliolewa na baba yake wakalala chini mpk now wanamagari sasa wao hawataki msoto wanataka kipindi cha raha na mm nasema
tutawapa mimba wazalie nyumbani kuoa ni kenya na Uganda hapa TZ ni kuzalishia nyumbani tu
 
Wakuu habari,

Kumekuwa na wimbi kubwa la wadada wa sasa kuzalia nyumbani.

Wapo waliopata mimba kwa bahati mbaya..na wapo ambao wanaamua kuzaa tu kwa kuona umri umeenda.

Tujadili kwa undani...

Je chanzo cha haya yote ni nini?

Kwanini wadada hawaolewi?


Doncute
chnazo ni Munalove
 
Kila mtu ana Sababu zake wengine kulubuniwa na wanaume Kuwa ntakuoa. ...afu akisha beba mimba mwanaume anaenda kuchagua kigoli....
 
wanawake wengi huwa hawapati wale wanaume wanaowataka(presentable) ko wanaamua kuzaa na hao presentable wakitaka watoto wazuri
 
Ila wengi wasomi wanawake nimeona wengi hawana watoto na wengine wanalea watoto za dada zao au wadogo zao sijui shida ni nini kwa nini hawazai na umri unakuta ushasogea kiasi
Unajua kutongoza ni uhongo unaoambatana na mapenzi sasa wanaporudi mtaan kijana wa form 4 anaanzia wp kumdanganya wa dada wa degree!!?Wadada wasomi wataendelea kukosa wa kuwatongoza mpaka hapo hali ya elimu itakapokuwa sawa.
 
Nikwambie tu shida yao wanajifanya wajuaji. Tena mmoja akaniwekea swag kuwa anachat tu kwa english, hajui kiswahili.
Ni slay queen , mtu anashinda saloon, hana future , anawaza kuhudhuria sherehe za watu muda wote.

Nika mtest kama kweli hajui kuandika kiswahili. Nikatuma mpesa na hela kidogo, akaniandikia "mbona umetuma hela nusu" nikamwambia mjinga ww unajifanya mzungu kumbe kiswahili unajua kuandika kabisa
Hahaha maslei queen wengi wao hapa town ndo single mother
 
Back
Top Bottom