Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,820
Halafu yakishamshinda ndo anataka kuolewa sasa, wakati inakuwa too lateUkweli mtupu!!
Wengi wao wanataka kuzaa/kuwa na watt wenye mionekano mizuri wawanyoe vduku vyao na kuwapeleka kupiga picha waweze kuwatambia wenzao kuwa ana mtt mwenyew sura nzuri km ya bwana wake(wengi wao wanakuwa mabishoo..wakati kiuharisia huyo baba wa mtt anakuwa hana mbele wa nyuma ila binti katamani tu amzalie mtt, akimtazama nafsi yake iridhike,,, wasipobadirika watazalishwa sana