bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Sababu ni utamu wa dyudyu umeongezeka..!Wakuu habari,
Kumekuwa na wimbi kubwa la wadada wa sasa kuzalia nyumbani.
Wapo waliopata mimba kwa bahati mbaya..na wapo ambao wanaamua kuzaa tu kwa kuona umri umeenda.
Tujadili kwa undani...
Je chanzo cha haya yote ni nini?
Kwanini wadada hawaolewi?
Doncute