Mideko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 36,715
- 197,426
ila wanaume wanaomwaga mbegu zao ovyo hawa inakuajetatizo wanawake wenyewe kutojiheshimu
ila wanaume wanaomwaga mbegu zao ovyo hawa inakuajetatizo wanawake wenyewe kutojiheshimu
kwahiyo wewe unswatusi wanawake wenzio kisa umeolewa au?Tena wanaume bila aibu anamwambia mdada nizalie nitalea...mxiuuuuu!
ni dawa gani hizi
Hongera kama ni kwelWatoto 2...nimeolewa
Nimeona hongera sanaNimejibu kasome
hongeraSijamtusi tunajadili hapa...
Wengine wana ndoa zao tayariNgoja waje,ila pia wanaume kuzalisha bila ndoa imekaaje?
Nilikua natafta jibuWatoto 2...nimeolewa
Mapenzi Hayana formula wala manualKwanza ni swala la wadada kuangalia mionekano ya wanaume badala ya mapenzi ya dhati, unakuta Dada anapendwa na jamaa ila ye hamtaki sababu hana muonekano, hivyo anaamua kuwa na jamaa mwenye muonekano ambao wengi ni mabishoo wasio na mbele wala nyuma matokeo yake wakiwapa mimba hao kina Dada wanashindwa kutimiza majukumu. Kingine kina Dada wanaangalia sana pesa kuliko upendo wa kweli, mwanaume najua kabisa we umenipendea pesa na huna mapenzi ya kweli na mimi hivyo ni bora tu nikuzalishe na nimhudumie mwanangu kuliko kuishi na wewe.
Ukweli mtupu!!Kwanza ni swala la wadada kuangalia mionekano ya wanaume badala ya mapenzi ya dhati, unakuta Dada anapendwa na jamaa ila ye hamtaki sababu hana muonekano, hivyo anaamua kuwa na jamaa mwenye muonekano ambao wengi ni mabishoo wasio na mbele wala nyuma matokeo yake wakiwapa mimba hao kina Dada wanashindwa kutimiza majukumu. Kingine kina Dada wanaangalia sana pesa kuliko upendo wa kweli, mwanaume najua kabisa we umenipendea pesa na huna mapenzi ya kweli na mimi hivyo ni bora tu nikuzalishe na nimhudumie mwanangu kuliko kuishi na wewe.