Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Na wengine wajitokeze watuonyeshe kabla na baada ya matumizi turidhishe nafsi zetu.....
Mimi natafuta za kuongeza mashavu...
Hahaha mashavu! !!

Mashavu yapi mkuu. ..?fafanua kwa kina tafadhali
 
Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?

Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.
Kwa picha ingia hii link
Na hapa:
https://www.jamiiforums.com/threads/madhara-ya-dawa-za-kukuza-makalio-habari-na-picha.684693/

Athari zake
Picha zaidi: Hapa
 
hakuna hata kdg, mwanaume akienda kwa dada poa/changudoa kilichompeleka ni tamaa na sio upendo na akimaliza pale lazma ajute, tamaa hzo hzo ndio zinamfanya abake, hakuna upendo unaokutuma kubaka
kweli lakin
 
Yaani kwanza nime -staajabu mashavu Una yanenepesha vipi mkuu ''kwa madawa. Hata kama hizo dawa zipo sidhani kama zina soko kubwa kiasi hicho-- ...Wewe singatia Lishe bora tu yatajaa yenyewe ''

Naam ndio mashavu mengine yapo -' so nilikuwa sijui kama unayaongelea hayo ya usoni
Mashavu mashavu....nina uso umekondeana....

Ina maana kuna aina nyingine? Naona umecheka.....
 
Asante
Yaani kwanza nime -staajabu mashavu Una yanenepesha vipi mkuu ''kwa madawa. Hata kama hizo dawa zipo sidhani kama zina soko kubwa kiasi hicho-- ...Wewe singatia Lishe bora tu yatajaa yenyewe ''

Naam ndio mashavu mengine yapo -' so nilikuwa sijui kama unayaongelea hayo ya usoni
 
Wananzengo naomba kuuliza hivi hizi waziitazo dawa za kuongeza makalio ambazo ki ukweli insta karibu asilimia kubwa wanazitangaza kwa sasa zinazidi kuongezeka je ni kweli zinafanya kazi?

Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?

Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.

Hilo lako mchina hajahusika?
 
Back
Top Bottom